The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
- Thread starter
-
- #81
Watalii hii nchi hawaji kwa ajili ya Arusha, wanakuja kwa sababu ya Serengeti, hivyo hata wakishukia mtwara au kigoma safari yao ni Serengeti not Arusha.Arusha is well known World Wide than Mwanza.
Watu wanahoji kwa nini Rais Magufuli anapeleka maendeleo kwao, Chato na Geita kwa ujumla, kama vile watu wa Chato au Geita hawastahili kupata maendeleo, sasa asipeleke Chato apeleke wapi?
Unapokuja kwenye rasilimali za nchi hii haziko kwenye mgawanyo sawa, kuna mahala pengine utafikiri sio Tanzania hii na mahala pengine utafikiri ni gerezani.
Mfano, Serengeti ndio mbuga maarufu kuliko zote Tanzania, kwa takwimu za Tanapa, zaidi ya 80% ya watalii na mapato ya utalii nchini yanatokana na mbuga ya Serengeti ila nenda Serengeti kwenyewe uone watu wake wakoje, wanaoneemeka ni wengine kabisa. Hata chuo tu cha utalii au chuo cha wanyamapori hakikujengwa Serengeti, vyuo vikajengwa mahala ambapo hata panya hayupo. Hata Hotel moja ya kueleweka haipo Mugumu, na hili sio bahati mbaya, lilifanyika makusudi kabisa.
Ukienda Kanda ya Ziwa kwa ujumla hakuna chuo kikuu chochote cha serikali ukiachana na Chuo Kikuu Huria, sehemu nyingine vyuo vya serikali vimejaa eneo moja kama siafu. Hili pia halikuwa linafanyika kwa bahati mbaya, ni makusudi kabisa. Mwaka huu NBS walitoa takwimu za mikoa masikini zaidi, miwili ilitoka Kanda ya Ziwa, Geita na Kagera, unajiuliza kanda tajiri kwa rasilimali kiasi kile inakuaje masikini, jibu ni moja tu, mgawanyo usio sawa wa rasilimali za nchi.
Sasa pale Rais anapojaribu kuwakumbuka watu waliokuwa wamesahaulika kwenye keki ya taifa hili, maneno yanakuwa maneno, kwamba awaache wale ambao hawakuwa na kitu awakumbuke wale walionavyo vimejaa, haiwezekani.
Watu mnapata wapi ujasiri kuhoji watu wa Chato na Geita kukumbukwa kwenye keki ya taifa?
Nyerere hakupendelea Mara.Hakuna Rais wa Tanzania ambaye hakupendelea kwao hata kama hakutaka ni kama ililazimishwa, labda ndo mfumo wa nchi ulivyo!
NonsenseWatu wanahoji kwa nini Rais Magufuli anapeleka maendeleo kwao, Chato na Geita kwa ujumla, kama vile watu wa Chato au Geita hawastahili kupata maendeleo, sasa asipeleke Chato apeleke wapi?
Unapokuja kwenye rasilimali za nchi hii haziko kwenye mgawanyo sawa, kuna mahala pengine utafikiri sio Tanzania hii na mahala pengine utafikiri ni gerezani.
Mfano, Serengeti ndio mbuga maarufu kuliko zote Tanzania, kwa takwimu za Tanapa, zaidi ya 80% ya watalii na mapato ya utalii nchini yanatokana na mbuga ya Serengeti ila nenda Serengeti kwenyewe uone watu wake wakoje, wanaoneemeka ni wengine kabisa. Hata chuo tu cha utalii au chuo cha wanyamapori hakikujengwa Serengeti, vyuo vikajengwa mahala ambapo hata panya hayupo. Hata Hotel moja ya kueleweka haipo Mugumu, na hili sio bahati mbaya, lilifanyika makusudi kabisa.
Ukienda Kanda ya Ziwa kwa ujumla hakuna chuo kikuu chochote cha serikali ukiachana na Chuo Kikuu Huria, sehemu nyingine vyuo vya serikali vimejaa eneo moja kama siafu. Hili pia halikuwa linafanyika kwa bahati mbaya, ni makusudi kabisa. Mwaka huu NBS walitoa takwimu za mikoa masikini zaidi, miwili ilitoka Kanda ya Ziwa, Geita na Kagera, unajiuliza kanda tajiri kwa rasilimali kiasi kile inakuaje masikini, jibu ni moja tu, mgawanyo usio sawa wa rasilimali za nchi.
Sasa pale Rais anapojaribu kuwakumbuka watu waliokuwa wamesahaulika kwenye keki ya taifa hili, maneno yanakuwa maneno, kwamba awaache wale ambao hawakuwa na kitu awakumbuke wale walionavyo vimejaa, haiwezekani.
Watu mnapata wapi ujasiri kuhoji watu wa Chato na Geita kukumbukwa kwenye keki ya taifa?
Umewahi kufika Geita ujue kama ni tajiri au masikini?Dictators never learn. Mobutu aliyafanya haya haya lkn leo Gbadolite is a desolate town.
Hata huyu akija kutoka hali haitakuwa tofauti ila kwa sasa kwa kuwa watanzania wana hulka ya unafiki watampongeza tu kwa uovu wowote atakaofanya.
Tunaona leo kule Angola jinsi familia ya Dos Santos inavyolipia uovu waliofanya wakati baba yao alipokuwa madarakani bila kusahau Al Bashir kule Sudan.
Wanatoa takwimu za uongo ili ionekane kuwa Geita ni mkoa masikini, wakati sio kweli kusudi wahalalishe kuipelekea resources nyingi kuliko mikoa mingine.
Magufuli ni mfano wa watu waliobahatika kupata kitu wasichostahili kabisa kupata. Atakapoondoka ofisini watafanya reverse ya haya anayoyafanya kwa kupendelea mkoa wake na ndipo matokeo yake atapata stroke ya nguvu ambayo itampelekea afe even prematurely.
Geita yenye madini, watu wana mifugo na mazao ya kilimo kama pamba nk pamoja na samaki wanavua sasa watakuwaje masikini kupita wananchi wa mikoa kama Dodoma, Singida, Lindi nk.Umewahi kufika Geita ujue kama ni tajiri au masikini?
Watanzania ukiwasikiliza sana hautafanya jambo lolote. Midomo yao imezoea kulaani badala ya kubariki.Watu wanahoji kwa nini Rais Magufuli anapeleka maendeleo kwao, Chato na Geita kwa ujumla, kama vile watu wa Chato au Geita hawastahili kupata maendeleo, sasa asipeleke Chato apeleke wapi?
Unapokuja kwenye rasilimali za nchi hii haziko kwenye mgawanyo sawa, kuna mahala pengine utafikiri sio Tanzania hii na mahala pengine utafikiri ni gerezani.
Mfano, Serengeti ndio mbuga maarufu kuliko zote Tanzania, kwa takwimu za Tanapa, zaidi ya 80% ya watalii na mapato ya utalii nchini yanatokana na mbuga ya Serengeti ila nenda Serengeti kwenyewe uone watu wake wakoje, wanaoneemeka ni wengine kabisa. Hata chuo tu cha utalii au chuo cha wanyamapori hakikujengwa Serengeti, vyuo vikajengwa mahala ambapo hata panya hayupo. Hata Hotel moja ya kueleweka haipo Mugumu, na hili sio bahati mbaya, lilifanyika makusudi kabisa.
Ukienda Kanda ya Ziwa kwa ujumla hakuna chuo kikuu chochote cha serikali ukiachana na Chuo Kikuu Huria, sehemu nyingine vyu vya serikali vimejaa eneo moja kama siafu. Hili pia halikuwa linafanyika kwa bahati mbaya, ni makusudi kabisa. Mwaka huu NBS walitoa takwimu za mikoa masikini zaidi, miwili ilitoka Kanda ya Ziwa, Geita na Kagera, unajiuliza kanda tajiri kwa rasilimali kiasi kile inakuaje masikini, jibu ni moja tu, mgawanyo usio sawa wa rasilimali za nchi.
Sasa pale Rais anapojaribu kuwakumbuka watu waliokuwa wamesahaulika kwenye keki ya taifa hili, maneno yanakuwa maneno, kwamba awaache wale ambao hawakuwa na kitu awakumbuke wale walionavyo vimejaa, haiwezekani.
Watu mnapata wapi ujasiri kuhoji watu wa Chato na Geita kukumbukwa kwenye keki ya taifa?
Hakuna kunapondelewa, ni dhana potofu ya kimasikii tunayopenda kuifuga vichwani mwetu.Hakimu Mfawidhi, Kwa uelewa wako, unaamini kuwa airport kubwa ikijengwa Chato, ndiyo itaondoa umaskini?
Umaskini hauondolewi na serikali bali unaondolewa na mtu mmoja mmoja. Serikali kazi yake ni kujenga mazingira wezeshi.
Najiuliza, hivi shughuli kuu za kiuchumi za wananchi wa Chato na Geita kwa ujumla ni nini? Nahisi ni kilimo, ufugaji na uvuvi. Kama nipo sahihi - cha kujiuliza, airport ya Chato itamsaidia namna gani na kwa kiasi gani mvuvi, mfugaji na mkulima wa Chato? Namna nyingine, uwanja ule ni prestige tu kuliko kuwabadilisha wananchi wa Chato na Geita.
Kwa kadiri ya report ya kitengo cha takwimu, Mikoa mitatu inayoongoza kwa utajiri Tanzania ni
1) Dar
2) Kilimanjaro
3) Njombe
Sasa niambie, mkoa kama Njombe umepewa upendeleo gani na serikali hata ukaweza kuizidi mikoa kama Arusha au Mwanza?
Wanaofikiria kuwa upendeleo wa serikali katika kutoa huduma ndio utaleta maendeleo wanajidanganya.
Ndege zitatua Chato lakini wasafiri hawatakuwa wa Chato. Daraja litajengwa Busisi lakini watakaopita na magari ya kifahari juu yake hawatakuwa wananchi wa Misungwi au Sengerema. Faida kubwa kwao itakuwa kuwa kwanza kila siku kuyaona magari yakipita kwenye daraja refu.
Kama kuna kanda au mkoa ambao ni maskini na wanaamini kuwa ni kwa sababu serikali haikuwapendelea, waende wakawaulize watu wa Njombe ni kwa vipi wanaweza kuwa na vipato vizuri huku Serikali kwa muda mrefu ikiwa imewasahau? Nadhani makanisa yameshirikiana na wanachi vizuri zaidi katika kuyatafuta maendeleo kuliko hata serikali.
Kupendelewa kunadumaza akili, huondoa fikra za jitihada na hujenga utegemezi.
Unakosea sana kwa mawazo kama haya, msukumo wa Serikali ni muhimu sana katika kuleta Maendeleo, hasa kwa kujenga miundombinu ambayo haiwezi kujengwa na mtu mmoja mmoja au sekta binafsi. Hivi unazani bila kujengwa kwa barabara, umeme, shule na vyuo vya Serikali katika hayo maeneo, hayo Maendeleo Unaoyosema wamejiletea wenyewe yasingekuwepo. Nani ambaye hajui kwamba viongozi wengi kwenye Sekta nyeti za Serikali walitoka maeneo hayo.Hakimu Mfawidhi, Kwa uelewa wako, unaamini kuwa airport kubwa ikijengwa Chato, ndiyo itaondoa umaskini?
Umaskini hauondolewi na serikali bali unaondolewa na mtu mmoja mmoja. Serikali kazi yake ni kujenga mazingira wezeshi.
Najiuliza, hivi shughuli kuu za kiuchumi za wananchi wa Chato na Geita kwa ujumla ni nini? Nahisi ni kilimo, ufugaji na uvuvi. Kama nipo sahihi - cha kujiuliza, airport ya Chato itamsaidia namna gani na kwa kiasi gani mvuvi, mfugaji na mkulima wa Chato? Namna nyingine, uwanja ule ni prestige tu kuliko kuwabadilisha wananchi wa Chato na Geita.
Kwa kadiri ya report ya kitengo cha takwimu, Mikoa mitatu inayoongoza kwa utajiri Tanzania ni
1) Dar
2) Kilimanjaro
3) Njombe
Sasa niambie, mkoa kama Njombe umepewa upendeleo gani na serikali hata ukaweza kuizidi mikoa kama Arusha au Mwanza?
Wanaofikiria kuwa upendeleo wa serikali katika kutoa huduma ndio utaleta maendeleo wanajidanganya.
Ndege zitatua Chato lakini wasafiri hawatakuwa wa Chato. Daraja litajengwa Busisi lakini watakaopita na magari ya kifahari juu yake hawatakuwa wananchi wa Misungwi au Sengerema. Faida kubwa kwao itakuwa kuwa kwanza kila siku kuyaona magari yakipita kwenye daraja refu.
Kama kuna kanda au mkoa ambao ni maskini na wanaamini kuwa ni kwa sababu serikali haikuwapendelea, waende wakawaulize watu wa Njombe ni kwa vipi wanaweza kuwa na vipato vizuri huku Serikali kwa muda mrefu ikiwa imewasahau? Nadhani makanisa yameshirikiana na wanachi vizuri zaidi katika kuyatafuta maendeleo kuliko hata serikali.
Kupendelewa kunadumaza akili, huondoa fikra za jitihada na hujenga utegemezi.
Mahali salama pa kufikia. Mnapingana na hali halisi na mtaishia kuteseka sana. Arusha kuna hoteli zenye hadhi ya kupokea watalii kuliko miji mingine.Watalii hii nchi hawaji kwa ajili ya Arusha, wanakuja kwa sababu ya Serengeti, hivyo hata wakishukia mtwara au kigoma safari yao ni Serengeti not Arusha.
Exergeration tu. Mbona Kagera, Ruvuma (Peramiho na Mbinga), Mbeya (Tukuyu, Mbozi na Kyela) zilikuwa na zina watu huko unakosema wewe. Tabia ya population ni muhimu sana.Unakosea sana kwa mawazo kama haya, msukumo wa Serikali ni muhimu sana katika kuleta Maendeleo, hasa kwa kujenga miundombinu ambayo haiwezi kujengwa na mtu mmoja mmoja au sekta binafsi. Hivi unazani bila kujengwa kwa barabara, umeme, shule na vyuo vya Serikali katika hayo maeneo, hayo Maendeleo Unaoyosema wamejiletea wenyewe yasingekuwepo. Nani ambaye hajui kwamba viongozi wengi kwenye Sekta nyeti za Serikali walitoka maeneo hayo.
Nyerere alipendelea wapi ndugu, kwenye kitu gani?