Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Lakini kwa kuwapelekea moto mambwiga kama nyie niko vizuri.Wewe kwa comment zako, unaonekana kichwani hamna kitu, shule ndogo
Peleka motoooo🔥🔥🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kwa kuwapelekea moto mambwiga kama nyie niko vizuri.Wewe kwa comment zako, unaonekana kichwani hamna kitu, shule ndogo
Point ni kwamba wachaga wamekuacha mbali sana, wewe unatukana humu kutwa nzima, wenzio wachaga wamekuachia uzi wanafungua maduka kkoo, wewe unawaza kupeleka motoLakini kwa kuwapelekea moto mambwiga kama nyie niko vizuri.
Peleka motoooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wameniacha kwa kunywa gongo, wizi, dhulma na kula kitimoto.Point ni kwamba wachaga wamekuacha mbali sana, wewe unatukana humu kutwa nzima, wenzio wachaga wamekuachia uzi wanafungua maduka kkoo, wewe unawaza kupeleka moto
Nenda soko la kati, buyuni etc huko kote pameshajaaWameniacha kwa kunywa gongo, wizi, dhulma na kula kitimoto.
Maduka wanafungua Kariakoo, kwanini hawafungui Kilimanjaro huko mnakokusifia kila siku ?
Kwani kuna mashindano ya makabila?Nyuzi za Rombo zimekua nyingi sana kipindi hiki, anyway subiria Wahaya pia waje na moto hawakubaligi kushindwa.
Hayo ndo makabila yenye sifa zaidi Tanzania ..Kwani kuna mashindano ya makabila?
Kwan Kilimanjaro Hakuna maduka? Unachekesha,ma supermarket hadi vijijin marangu, machame hukoWameniacha kwa kunywa gongo, wizi, dhulma na kula kitimoto.
Maduka wanafungua Kariakoo, kwanini hawafungui Kilimanjaro huko mnakokusifia kila siku ?
Umpeleke Nan moto? Mtu ambaye hata kwenu hamjengi uje utupeleke moto watu tuliosoma tangu enzi za yesu?[emoji3] Peleka upimbi mbaliLakini kwa kuwapelekea moto mambwiga kama nyie niko vizuri.
Peleka motoooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nipo hapa Mkuu, wilaya inatia simanzi sanaKwan Kilimanjaro Hakuna maduka? Unachekesha,ma supermarket hadi vijijin marangu, machame huko
Tunawkeza Tanzania nzima hatuwaz hatua moja Kama ww tunawaza hatua 1000
Ww ni mjinga mno Sasa unadhan chuki zako kwetu zitaturudsha nyuma? Watu maskin na akili zinakuwa za kimaskin shwainBasi huna akili. Nadhani hata huyo mke anajuta kuolewa na bwegenazi.
Punguza jazba mzee, mimi sio mchaga ni msukuma, ila generally wachaga wameendelea kuliko jamii yoyote Tz. Mimi nimeamua kuungana nao kwa kuoa mchaga
Wewe mjinga Sana unasemaje eti? Kwamba rombo magari ya kwenda miji ipiWewe jamaa ni mpuuzi, wadanganyeni wasiopajua Rombo.
Rombo ni takataka, ndio maana hata wana Rombo wenyewe wanapakimbia huku. Hakuna biashara waka mzunguko wa pesa, mji umepooza, umejaa mashamba ya migomba na mapori.
Magari ya kwenda mjini ipi unaongelea?
Hizo barabara ni hii lami ya Moshi- tarakea au hizi za kuchonga kwa jembe la mkono tope jekundu tupu wakati wa mvua ?
Mtandao wenyewe haukamati, internet tangu nimekuja huku inasoma E!!
Hivi ukiacha Moshi, huko Mwanga, Same, Siha, Hai Moshi (V) kuna nini ?
Punguzeni kuchonga aisee. Miji imekaa kama mahame lakini kutwa kucha mnachongaaa kama nini.
Mimi home ni Butiama, wilaya ni changa lakini huwezi kuifananisha na hii takataka.
Wilayan sio chochote mkuu,tembea vijijin uone maendeleo,wachaga wamewekeza vijin kwao,pita vijijin ujionee majumba hadi uchanganyikiwe wewe unaangalia stand ya wilaya ndio una define? Hahaha poleNiko hapa Rombo Mkuu, usidanganyike hakuna kitu.
Tena niko wilayani kabisa
Njoo vijijn mkuu uone maendeleo,sisi maendeleo tunaelekeza vijijn kabisaNipo hapa Mkuu, wilaya inatia simanzi sana
Tunafungua Tanzânia nzima sio tu KilimanjaroWameniacha kwa kunywa gongo, wizi, dhulma na kula kitimoto.
Maduka wanafungua Kariakoo, kwanini hawafungui Kilimanjaro huko mnakokusifia kila siku ?
Huyu bwana sikujua ni mshamba hivi..Wilayan sio chochote mkuu,tembea vijijin uone maendeleo,wachaga wamewekeza vijin kwao,pita vijijin ujionee majumba hadi uchanganyikiwe wewe unaangalia stand ya wilaya ndio una define? Hahaha pole
Cheki vijijin kulivyo na mahelalu na mandhari safiView attachment 1851904View attachment 1851905View attachment 1851906
Hawa watu wa pori huwa ni washamba mno anaacha kutembelea vijijin aone maendeleo anaangalia wilyan et HahahaHuyu bwana sikujua ni mshamba hivi..
Watu wanaposifia Rombo wanaisifia kwa kuwa na Makazi mazuri vijijini..Yeye anataka akute Maghorofa ya Kariakoo pale stendi ya Mkuu.
How about Kahama? Kahama wanaruti nyingi za mikoani hiyo Rombo cha mtoto
Unataka useme mmeizidi Wilaya ya Ilala kwa Hospital?
Endelea kuwaza unyumba tu mkuu