Kwanini watu wanaiponda sana wilaya ya Rombo kwa ulevi lakini bado kuna maendeleo?

Kwanini watu wanaiponda sana wilaya ya Rombo kwa ulevi lakini bado kuna maendeleo?

Yaani hizi chuki zinawasaidia nini viasaka??

Yaan ofisi za serikali ndo zinamtoa mtu jasho la meno hivi? [emoji28][emoji28]
Yaani kwa mtu ambaye hajawahi fika Rombo akisoma hii thread unaweza sema ni porini..

Halafu tukiamua kuweka picha za mijengo yetu humu tutatafutana mbona. Yaani hapo wilayani ndo panawatoa jasho hivyo?

Hivi hata wanajua border tu inaingiza kiasi gani cha fedha? Hivi ni kweli haya maghorofa hawayaoni na mahekalu mengine ama wameamua kujitoa tu ufahamu??

Shule hazina wanafunzi kwakua most of population hawako vijijini wameenda mbali kurafuta kipato. Halaf kuna mtu rombo siyo kwao ameenda huko either kibiashara ama ameajiriwa anatafuta riziki lakini anashangaa na kulaumu kwanini wakazi wa Rombo wanaondoka kutafuta peda mbali kama kuna mzunguko wa fedha. Inashangaza sana wewe hukubaki wilayani kwako ila unamshangaa mwingine kuondoka wilayani kwake. Rombo is ur teacher. Na huu ulevi upo kama ulivyo sehemu nyingine ila unatumika kisiasa.

Rombo ina makazi bora sana. Acheni chuki zenu. Na matajiri wengi sana wamejaaa. Mbona huwa munasifiaga tumejenga majumba migombani kwaajili ya dec lakini mada zikija munatugeuka tena?[emoji28] halaf nyumba za nyasi kwetu hakuna. Period. Za nyasi ni huko kwenu.

Hospitali ya Wilaya iko Usseri na siyo Huruma ijapokua Huruma iko shared kati ya kanisa katoliki na serikali. Zahanati ziko nyingi na wala hakuna congestion. Mashule ndo yamejaa. Kiujumla kilimanjaro hakuna watu wengi. Watu wako mbali kutafuta. Musijisingizie bure. Mji unaweza kuta una maboma hata matano lakini wote hawapo wako mjini. Kwanini idadi isiwe ndogo.

Karibuni Christmas.. punguzeni sonona
 
Weee geita ipi? Geita imejaa umaskini mkali ukitaka kujua umaskini wa eneo angalia makazi tu, ulishawah ona nyumba ya nyasi hata moja ROMBO? Ila geita yako 40% Ni nyumba za nyasi

Geita Ni mkoa wa 3 kwa umaskini Tanzania unasema nn?

Ukibisha nitaendelea kukuumbua

View attachment 1699151
Tumezidiwa na dar kwa 2% only mamaeeee na ili gape tutalipita tu soon.....
 
Yaani hizi chuki zinawasaidia nini viasaka??

Yaan ofisi za serikali ndo zinamtoa mtu jasho la meno hivi? [emoji28][emoji28]
Yaani kwa mtu ambaye hajawahi fika Rombo akisoma hii thread unaweza sema ni porini..

Halafu tukiamua kuweka picha za mijengo yetu humu tutatafutana mbona. Yaani hapo wilayani ndo panawatoa jasho hivyo?

Hivi hata wanajua border tu inaingiza kiasi gani cha fedha? Hivi ni kweli haya maghorofa hawayaoni na mahekalu mengine ama wameamua kujitoa tu ufahamu??

Shule hazina wanafunzi kwakua most of population hawako vijijini wameenda mbali kurafuta kipato. Halaf kuna mtu rombo siyo kwao ameenda huko either kibiashara ama ameajiriwa anatafuta riziki lakini anashangaa na kulaumu kwanini wakazi wa Rombo wanaondoka kutafuta peda mbali kama kuna mzunguko wa fedha. Inashangaza sana wewe hukubaki wilayani kwako ila unamshangaa mwingine kuondoka wilayani kwake. Rombo is ur teacher. Na huu ulevi upo kama ulivyo sehemu nyingine ila unatumika kisiasa.

Rombo ina makazi bora sana. Acheni chuki zenu. Na matajiri wengi sana wamejaaa. Mbona huwa munasifiaga tumejenga majumba migombani kwaajili ya dec lakini mada zikija munatugeuka tena?[emoji28] halaf nyumba za nyasi kwetu hakuna. Period. Za nyasi ni huko kwenu.

Hospitali ya Wilaya iko Usseri na siyo Huruma ijapokua Huruma iko shared kati ya kanisa katoliki na serikali. Zahanati ziko nyingi na wala hakuna congestion. Mashule ndo yamejaa. Kiujumla kilimanjaro hakuna watu wengi. Watu wako mbali kutafuta. Musijisingizie bure. Mji unaweza kuta una maboma hata matano lakini wote hawapo wako mjini. Kwanini idadi isiwe ndogo.

Karibuni Christmas.. punguzeni sonona
Ile wilaya ina shule nyingi mno hata wanafunzi wakikosekana huwezi kushangaa
 
Ile wilaya ina shule nyingi mno hata wanafunzi wakikosekana huwezi kushangaa
Ndo maana tunawaambia wanaongea kama wamekatwa vichwa. Hata hao reporters hawafanyi research za kutosha wanaibuka tu. Shule ni nyingi mno. Na Emglish medium nazo zimeongezekaaa. Tuliwafunguliaga lango. Halaf wanasahau kule ni vijijini wakati kwao ni mjini
 
Ndo maana tunawaambia wanaongea kama wamekatwa vichwa. Hata hao reporters hawafanyi research za kutosha wanaibuka tu. Shule ni nyingi mno. Na Emglish medium nazo zimeongezekaaa. Tuliwafunguliaga lango. Halaf wanasahau kule ni vijijini wakati kwao ni mjini
Mimi toka nimeanza kusikia uhaba wa madarasa nchini na wakuu WA wilaya wakifanya kampeni aisee sijawai kuona Moshi wakifanya kampeni izoo Moshi shule nyingi sana sema tu watanzania wengi hawapendii wachaga na wanaona kama wabinfsii hasa ikifika December roho zinakuwa zinawauma tu
 
Mimi toka nimeanza kusikia uhaba wa madarasa nchini na wakuu WA wilaya wakifanya kampeni aisee sijawai kuona Moshi wakifanya kampeni izoo Moshi shule nyingi sana sema tu watanzania wengi hawapendii wachaga na wanaona kama wabinfsii hasa ikifika December roho zinakuwa zinawauma tu
Na hutowasikia wakinena hilo. Watatafuta sababu zao tu wenyewe
 
Ndo maana tunawaambia wanaongea kama wamekatwa vichwa. Hata hao reporters hawafanyi research za kutosha wanaibuka tu. Shule ni nyingi mno. Na Emglish medium nazo zimeongezekaaa. Tuliwafunguliaga lango. Halaf wanasahau kule ni vijijini wakati kwao ni mjini
Makanisa yote yana shule bado za kata hapo.....daaah acha kabisa
 
Huku si ndo kule niliskiaga wake zao wanavuka mpaka kwenda Kenya wakati wa heat kutafuta wanaume maana wayne zao walevi Sana? Sio huku?
Kamwulize mama yako ni nani baba yako.. yaani who is your biological father?
 
How about Kahama? Kahama wanaruti nyingi za mikoani hiyo Rombo cha mtoto
1-umesahau kuwa kahama ipo katikati hivyo magari mengi lazma yapitie? Rombo ni pembezoni magari yanaanzia hapo
2-hata hayo mabasi ambayo yanakuja huko kahama mengi ni ya wachaga mfano Mtei exp, Osaka raha, Kandahar,happy national ,nk
 
Niko hapa Rombo, hakuna kitu.

Acheni kelele nyie. Wilaya ya enzi za mwalimu lakini utafikiri imeanza jana.
Wilaya ilioanza Jana iwe na maghorofa huko migombn? Wilaya ilioanza Jana iwe na umeme vijiji vyote kwa 100% unachekesha
 
DECEMBER HII ITAFIKA ROMBO KWA AJILI YA KUJENGA MAZINGIRA MAZURI,

1306454_rombo.png
 
Unajua Hii wilaya kwanza kijiografia ipo mwinuko kati ya mita 1300 hadi 2200. Kuna hali nzuri sana ya hewa hilo halina ubishi.

Watu wanaposikia hii wilaya kitu cha kwanza wanajua watu wa huko ni walevi choka mbaya kiasi kwamba hakuna maendeleo yeyote. Ila laiti wangejua Hii wilaya kila mtumishi wa umma aliyeajiriwa iwe kwenye shule, benki au polisi hawatamani kuhama wasingeibeza.

Ni kweli pombe inanyweka tena sana kuanzia pande za kikelelwa mpaka mamsera mashati, usseri ndani ndani pombe inanyweka ila watu wanapadis ohooo Rombo hakuna maendeleo kisa ulevi.

Na huku kunywa pombe kunachangiwa na upatikanaji rahisi wa malighafi ya kutengeneza pombe ya mbege ambazo ni ndizi pamoja na hali ya hewa (baridi) ila maendeleo yapo na watu wapo wanakimbizana kuitafuta shekeli kwa udi na uvumba. Iwe ni kwenye biashara kilimo n.k mfano Kilimo cha viazi Rongai, mahindi japo sio sana n.k.

Viwanda vya mbao vipo kuanzia kikelelwa tarakea hapo kwa maulid peleka hadi Mashima usseri n.k. kwa takwimu za haraka haraka za pale ofisi ya Rongai kuna karibia viwanda 200 ambavyo vipo registered katika kuchakata mbao.

Kama msitu upo Norh Kilimanjaro forest plantation wenye almost hectare 8000 na point.
Utalii wa mlima Kilimanjaro n.k.

Kwa vile tupo mpakani hapa siku za weekend wakenya wanakuja ku spend na familia zao kupata kitimoto ,bia au ugali samaki snow cape AU resort inn. Kwa kifupi wakenya kutoka kwenye miji ya kimana, oloitoktok, illasit n.k

Sehemu yao ya kujivinjari ni tarakea, Mashima au mashati huko....maana huku bia ni rahisi sana ukilinganisha na kwao. Kwa kifupi kiuchumi wilaya ya Rombo inajiweza. Msipadis sana kama hamjawahi fika naomba mfike.

Haters karibuni kwa mapovu
Kiufupi kwa sasa rombo wanawake ndo wanaume
 
Wilaya ilioanza Jana iwe na maghorofa huko migombn? Wilaya ilioanza Jana iwe na umeme vijiji vyote kwa 100% unachekesha
Pia mkumbushie kijijini kwetu ni pahali patakatifu, huwa ni makazi yetu ya kupumzikia ndo maana tunawekeza kungine. Vijijini kwetu hatupauzagi. Ndo maana kumebaki migomba na mikahawa na majumba yetu. Hatutaki kupafanya kama dsm. Ndo maana hata moshi mjini kuko busy day time, jioni watu hupanda milimani
 
Pia mkumbushie kijijini kwetu ni pahali patakatifu, huwa ni makazi yetu ya kupumzikia ndo maana tunawekeza kungine. Vijijini kwetu hatupauzagi. Ndo maana kumebaki migomba na mikahawa na majumba yetu. Hatutaki kupafanya kama dsm. Ndo maana hata moshi mjini kuko busy day time, jioni watu hupanda town
Naam
 
Back
Top Bottom