Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Vijana Rombo wameharibika Kwa pombe sana juzi nilienda mazishi hapo Hadi wanamkosesha mchungaji akihubiriTatizo kubwa la Watanzania ni kuwa huwa tunapenda fata mkumbo za kijinga sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana Rombo wameharibika Kwa pombe sana juzi nilienda mazishi hapo Hadi wanamkosesha mchungaji akihubiriTatizo kubwa la Watanzania ni kuwa huwa tunapenda fata mkumbo za kijinga sana....
Imekosa wanafunzi watu ni kulewa tuRombo kila mtu anaisaka shilingi ... kuanzia yankii hadi mzeiya
Halafu asikufiche mtu ... kampeni kipindi cha uchaguzi huku rombo zinafanyika ila kwa kujishtukia sana ...ccm rombo haikubaliki kiviile tokea ile kashfa ya aliyekuwa gavana wa BOT na waziri wa fedha miaka hiyo Basil Mramba...kwa kifupi ccm rombo haina mvuto...
Tuwekee boss. Mimi ni mmoja ya wasioamini hayo maendeleo ya RomboUtaniruhusu nitume picha za Nyumba za majani na udogo za hapo mashati Rombo kuelekea Kilaeni Secondary?
Alafu kahama ni katikati njia ya bukoba,geita, Rwanda lazma upite kahama kama unatoka darKahama ni Manispaa as of now.
Ziweke nione,maana mm najua uchagani kote sijawah ona nyumba ya nyasi,90% ni nyumba boraUtaniruhusu nitume picha za Nyumba za majani na udogo za hapo mashati Rombo kuelekea Kilaeni Secondary?
Kama imekosa wanafunzi mbna kila mwaka Kilimanjaro inaongoza matokeo kidato Chá nne? Wanafunzi hawakai chini madarasa yapo ya kutoshaImekosa wanafunzi watu ni kulewa tu
Hiyo ni kweli
90% ya nyumba za vijinin rombo na uchagani ni za kisasa hâta ukienda wewe utaonaTuwekee boss. Mimi ni mmoja ya wasioamini hayo maendeleo ya Rombo
Endelea kuwaza unyumba tu mkuuMaendeleo hayamridhishi mwanamke kitandani.Ulevi ulio kithiri huathiri unyumba.
Pombe tz nzima wanakunywa,njoo kagera uone watu wanakunywa gongo asubuh had jion,kunywa pombe hakuathiri maendeleoVijana Rombo wameharibika Kwa pombe sana juzi nilienda mazishi hapo Hadi wanamkosesha mchungaji akihubiri
Hao unaosema ni asilimia chache tu,Hakuna sehemu wajinga wanakosekana,hao ni wajinga wachacheVijana wengi kule wale ambao hawakutoka nj'e ya Rombo ni vichaa huwezi amini.
Wasifie wasioijua Rombo.
Mashati na hapo useri utawahurimia vijana hawaogi, hawafui, hawabadilishi nguo.
Wanafanya vibarua wakipata hela ni pombe. Ni wachache wapambanaji na wanaorudisha maendeleo home hawaishi hapo. Wasiojua Rombo ndio uwadanganye
Niko hapa Rombo Mkuu, usidanganyike hakuna kitu.Tuwekee boss. Mimi ni mmoja ya wasioamini hayo maendeleo ya Rombo
Unaweza kuifananisha na wilaya yako? Rombo inayo maendeleo Barabara zote zinapitika kipindi chote cha mwaka magari ya kwenda mjini yapo hadi saa nne usikuHapa ndio wilayani kabisa.
Wilaya utafikiri ineanza jana.
Wewe jamaa ni mpuuzi, wadanganyeni wasiopajua Rombo.Unaweza kuifananisha na wilaya yako? Rombo inayo maendeleo Barabara zote zinapitika kipindi chote cha mwaka magari ya kwenda mjini yapo hadi saa nne usiku
Punguza jazba mzee, mimi sio mchaga ni msukuma, ila generally wachaga wameendelea kuliko jamii yoyote Tz. Mimi nimeamua kuungana nao kwa kuoa mchagaWewe jamaa ni mpuuzi, wadanganyeni wasiopajua Rombo.
Rombo ni takataka, ndio maana hata wana Rombo wenyewe wanapakimbia huku. Hakuna biashara waka mzunguko wa pesa, mji umepooza, umejaa mashamba ya migomba na mapori.
Magari ya kwenda mjini ipi unaongelea?
Hizo barabara ni hii lami ya Moshi- tarakea au hizi za kuchonga kwa jembe la mkono tope jekundu tupu wakati wa mvua ?
Mtandao wenyewe haukamati, internet tangu nimekuja huku inasoma E!!
Hivi ukiacha Moshi, huko Mwanga, Same, Siha, Hai Moshi (V) kuna nini ?
Punguzeni kuchonga aisee. Miji imekaa kama mahame lakini kutwa kucha mnachongaaa kama nini.
Mimi home ni Butiama, wilaya ni changa lakini huwezi kuifananisha na hii takataka.
Basi huna akili. Nadhani hata huyo mke anajuta kuolewa na bwegenazi.Punguza jazba mzee, mimi sio mchaga ni msukuma, ila generally wachaga wameendelea kuliko jamii yoyote Tz. Mimi nimeamua kuungana nao kwa kuoa mchaga
Ndio akili Mungu alizonipa, kama wewe Mungu amekupa akili kubwa hongera na mshukuru Mungu kwa hiloBasi huna akili. Nadhani hata huyo mke anajuta kuolewa na bwegenazi.
Sawa, ukiachika tafuta mume uolewe kabisa.Ndio akili Mungu alizonipa, kama wewe Mungu amekupa akili kubwa hongera na mshukuru Mungu kwa hilo
Wewe kwa comment zako, unaonekana kichwani hamna kitu, shule ndogoSawa, ukiachika tafuta mume uolewe kabisa.