Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeleta hyo hoja kwa mara ya kwanza, ukidai rombo inapondwa, wewe ndo unaeponda.Unajua Hii wilaya kwanza kijiografia ipo mwinuko kati ya mita 1300 hadi 2200. Kuna hali nzuri sana ya hewa hilo halina ubishi.
Watu wanaposikia hii wilaya kitu cha kwanza wanajua watu wa huko ni walevi choka mbaya kiasi kwamba hakuna maendeleo yeyote. Ila laiti wangejua Hii wi
Sehemu yao ya kujivinjari ni tarakea, Mashima au mashati huko....maana huku bia ni rahisi sana ukilinganisha na kwao. Kwa kifupi kiuchumi wilaya ya Rombo inajiweza. Msipadis sana kama hamjawahi fika naomba mfike.
Haters karibuni kwa mapovu
Maduka ya madawa yanawekwa sehemu ambazo watu wanaugua marakwa mara sasa utafungua duka la dawa sehemu ambayo watu wake hawaumwi utakua mgonjwa wa akiliIla haijajengeka sana na kuna upungufu mkubwa wa maduka ya madawa
Almost vyakula bei sawa na bureAcha ujinga.
Mimi nataka kujua kuhusu gharama za vyakula, maji, mavazi, nyumba za kuishi.
Siyo kuhusu biashara.
Wilaya ya muleba mkoani kagera ina hospital nneNimetembea nchi nzima,nambie ni mkoa upi wilaya zake zina hospitali Zaid ya moja na uzitaje kama nilivyotaja
Labda ni uhitaji maana lazima vituo vifunguliwe kwa uhitaji kwa huko Rombo unaweza fungua vituo vya Afya vikabaki Tupu/Empty / NIL sasa sijui ni ubahili wa wachaga kwenye matibabu?...Hivi ile Hospitali ya Ngoyoni ukiacha Ile ya Mkuu nayo ina wagonjwa wengi? kwa anayefahamu..........Wilaya ya muleba mkoani kagera ina hospital nne
Rubya hospital
ukoba regional hospital
Cosad hospital
ndolage bukoba hospital
Niko hapa Rombo Mkuu, hivi hapa ndio wilayani mjini au kijijini ???Wewe unaongelea sana upande wa Tarakea na Useri kule..
Ebhanaa eee kuanzia Mengwe kwenda hadi Shimbi kuna mijengo migombani sio poa..Shimbi huko ndo hatari kabisa.
Upo sehemu gani specifically?..na ni nani alikuambia Rombo ina umjini mjini kama wa Moshi ni nani?..Rombo ni Wilayani ambako sio makao makuu ya mkoa..ingia migombani huko uone mijengo,then utuambie Wilaya iliyojengwa kama hiyo.Niko hapa Rombo Mkuu, hivi hapa ndio wilayani mjini au kijijini ???
Aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu, ni kweli Kilimanjaro kwa ujumla wamejitahidi kujenga nyumbani, ingawa majumba mengi ni empty na kupangilia miji na kutunza mazingira ila miji bado sana Mkuu.Upo sehemu gani specifically?..na ni nani alikuambia Rombo ina umjini mjini kama wa Moshi ni nani?..Rombo ni Wilayani ambako sio makao makuu ya mkoa..ingia migombani huko uone mijengo,then utuambie Wilaya iliyojengwa kama hiyo.
Yes bado..ila kibongo bongo wamestepup kiasi.Mkuu, ni kweli Kilimanjaro kwa ujumla wamejitahidi kujenga nyumbani, kupangilia miji na kutunza mazingira ila miji bado sana Mkuu.
Mkuu nyumba mmejenga na mabanzi ya mbao yale reject unasema hamna nyumba ya nyasiWeee geita ipi? Geita imejaa umaskini mkali ukitaka kujua umaskini wa eneo angalia makazi tu, ulishawah ona nyumba ya nyasi hata moja ROMBO? Ila geita yako 40% Ni nyumba za nyasi
Geita Ni mkoa wa 3 kwa umaskini Tanzania unasema nn?
Ukibisha nitaendelea kukuumbua
View attachment 1699151
Rombo iko nyuma sana. Nyumba za miti na tope ni nyingi sana. Hali ngumu ya maisha inafanya wakazi wake kunywa pombe Kwa wingi kuondoa sonomaHiyo Rombo yako nimekaa kama mtumishi zaidi ya miaka minne, naijua nje ndani, mnajimwambafy sana as if kuna la maana sana, huku geita rombo yako yote nakushushia kata ya lwamgsa tu mnakaa chini.
Mkuu ni kubwa boss upo sehemu gani bana nije tubadilishane mawili matatuNiko hapa Rombo Mkuu, hivi hapa ndio wilayani mjini au kijijini ???
Aiseee🤣🤣🤣
Napatikana hapa NMB au hapa Gereza Kuu.mkuu ni kubwa boss upo sehemu gani bana nije tubadilishane mawili matatu
Swadakta kabisa bila shaka wewe utakuwa afisa pale urekebishaji banaNapatikana hapa NMB au hapa Gereza Kuu.
Hapana,Swadakta kabisa bila shaka wewe utakuwa afisa pale urekebishaji bana
Basi sawa mkuu nikiwa maeneo nitakucheck nina muda mrefu kidogo sijafika romboHapana,
Mimi ni mtalii tu.
How about Kahama? Kahama wanaruti nyingi za mikoani hiyo Rombo cha mtotoRombo ni wilaya ya pekee Tanzania nzima iliyo nje ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna basi la moja kwa moja kutoka makao makuu ya nchi
Hapa ndio wilayani kabisa.Hapo siyo makao makuu ya mkoa hapo ni wilayani tembea kwenye kaya uone mijumba ya watu huko migombani jombaa!! Baada ya hapo uende Tarakea na Holili