Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Sawa.Karibu tena Chato ule Kitimoto na Sato!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Karibu tena Chato ule Kitimoto na Sato!
Hiyo picha hapo kulia ni picha ya nyumba iliyopo Rombo!Hatujimwambafy mkuu hata ripoti za serikali zinatambua.kama umeona wivu pôle Sana,karibu rombo na uchagani kiujumla utashangaa mwenyewe .View attachment 1837551
Hizo takwimu zinaathiriwa na wingi wa watu.Hatujimwambafy mkuu hata ripoti za serikali zinatambua.kama umeona wivu pôle Sana,karibu rombo na uchagani kiujumla utashangaa mwenyewe .View attachment 1837551
Kivipi mkuu?..Hizo takwimu zinaathiriwa na wingi wa watu.
Ndio maana hata China mpaka leo ni nchi inayoendelea.
Not to that extent,ingekuwa ni wavivu kusingekuwa na maendeleo hayovijana wa rombo ni wavivu ,dada zao ni mama huruma,yaani hawa si wachoyo kabisa ukimuomba anakupa bila shida mahaba. Ukioa kule basi kuchapiwa lazma maana kujipendekeza wanaongoza.suala la ulevi rombo sijui tatizo n nn,aise rombo wanatisha.wanawake wengi wa rombo ni ma single maza,nadhani kwa u single mother. Rombo wanaongoza,sijui inshu ni huu ulevi au tatizo ni Nini!
Soma tenaHiyo picha hapo kulia ni picha ya nyumba iliyopo Rombo!
Tupe source ya hii taarifa. Haiwezekani Mwanza na Geita zikawemo kwenye mikoa yenye umaskini!Hatujimwambafy mkuu hata ripoti za serikali zinatambua.kama umeona wivu pôle Sana,karibu rombo na uchagani kiujumla utashangaa mwenyewe .View attachment 1837551
Sasa ni kipi chá uongo? Mkoa wa Kilimanjaro ndio unaongoza kwa miundombn toshelez vijijin hasa elimu,afya, barabaraHizo takwimu zinaathiriwa na wingi wa watu.
Ndio maana hata China mpaka leo ni nchi inayoendelea.
Ni taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka wa fedha ulioisha june 2020Tupe source ya hii taarifa. Haiwezekani Mwanza na Geita zikawemo kwenye mikoa yenye umaskini!
NaamKivipi mkuu?..
Kipimo ni standard ya maisha...na Kilimanjaro without a dought kuna unafuu..wingi au uchache wa watu kwenye standard ya maisha hauna lolote la kufanya.
Wewe umeshatembea nchi nzima mpaka uconclude kuwa Kilimanjaro ndio inaongoza!Sasa ni kipi chá uongo? Mkoa wa Kilimanjaro ndio unaongoza kwa miundombn toshelez vijijin hasa elimu,afya, barabara
Ni mkoa wa Kwanza Tanzania kuwa na sekondar nying licha ya kwamba ni mkoa mdgo kieneo,ni mkoa wenye hospitali na vituo vya Huduma za afya nying,ni kawaida kukuta wilaya za Kilimanjaro zina hospital Zaid ya moja mfano wilaya ya Moshi kilema hospital,minja hospital,kibisho hospital,marangu hospital,wilaya ya siha kibongoto hospital, siha DC hospital nk
Nimetembea nchi nzima,nambie ni mkoa upi wilaya zake zina hospitali Zaid ya moja na uzitaje kama nilivyotajaWewe umeshatembea nchi nzima mpaka uconclude kuwa Kilimanjaro ndio inaongoza!
Wewe unaongelea sana upande wa Tarakea na Useri kule..Rombo kila mtu anaisaka shilingi ... kuanzia yankii hadi mzeiya
Halafu asikufiche mtu ... kampeni kipindi cha uchaguzi huku rombo zinafanyika ila kwa kujishtukia sana ...ccm rombo haikubaliki kiviile tokea ile kashfa ya aliyekuwa gavana wa BOT na waziri wa fedha miaka hiyo Basil Mramba...kwa kifupi ccm rombo haina mvuto.
Viwanda vya kuchakata magogo yanayotoka msitu wa Rongai ni zaidi ya 200+ kwa kifupi rombo inajitosheleza kwa kila nyanja .
We fikiria sehemu nyingine shule zipo za kulenga kwa manati wakati wilaya ya rombo hususan hapa tarakea kuna shule ya sekondari moja inaitwa Namfua secondary ipo abandoned imekosa wanafunzi. Rombo kulikucha Kabla hata ya kupata uhuru
ExcellentHakika mtoa mada umeeleza kwa usahih kabxa,mfano kuna waalim fln wameletwa kule kutoka mikoa ambayo haina ile greenish,xo kufika kule bac wameona kama wapo kweny ile bustan ya eden,yaan yamejinenepea na hawatak hata kurud kwao,issue ya service kuanzia huduma za afya usafir hadi chakula ziipo fresh,kule n kawaida sanaa kupewa mkungu wa ndiz kwa ajil ya kula na familia,nyumba pia nyingi huwa wafanyakaz wanapewa tu waish
Niko hapa Rombo Mkuu, ni pa kawaida mnoooo.Sasa ni kipi chá uongo? Mkoa wa Kilimanjaro ndio unaongoza kwa miundombn toshelez vijijin hasa elimu,afya, barabara
Ni mkoa wa Kwanza Tanzania kuwa na sekondar nying licha ya kwamba ni mkoa mdgo kieneo,ni mkoa wenye hospitali na vituo vya Huduma za afya nying,ni kawaida kukuta wilaya za Kilimanjaro zina hospital Zaid ya moja mfano wilaya ya Moshi kilema hospital,minja hospital,kibisho hospital,marangu hospital,wilaya ya siha kibongoto hospital, siha DC hospital nk