evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Rombo ni wilaya ya pekee Tanzania nzima iliyo nje ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna basi la moja kwa moja kutoka makao makuu ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauli ni kiasi gani, Dom to Rombo ?Rombo ni wilaya ya pekee Tanzania nzima iliyo nje ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna basi la moja kwa moja kutoka makao makuu ya nchi
35 tu karibu rombo ujionee migorofa migomban,nyumba Za kisasa vijijin kule rombo ni 90% kwa mujibu wa NBSNauli ni kiasi gani, Dom to Rombo ?
Ni kule porini ambako huwa tunaona wachagga wanakunywa gongo vipi ?35 tu karibu rombo ujionee migorofa migomban,nyumba Za kisasa vijijin kule rombo ni 90% kwa mujibu wa NBS
35 tu karibu rombo ujionee migorofa migomban,nyumba Za kisasa vijijin kule rombo ni 90% kwa mujibu wa NBSNauli ni kiasi gani, Dom to Rombo ?
Porin ipi? Hebu weka picha mkuuNi kule porini ambako huwa tunaona wachagga wanakunywa gongo vipi ?
Naam hii inajidhirisha waz kuwa kuna mzunguko mkubwa wa pesaRombo ni wilaya ya pekee Tanzania nzima iliyo nje ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna basi la moja kwa moja kutoka makao makuu ya nchi
Maisha yapo swafi,kama ulaya vile wazungu wamejaa télé vijijin wanafurahia Bata karibu romboMaisha yakoje huko mkuu kwa wageni ?
Kula bia 5 hapo nalipa umeongea point mnoWanywaji wana akili na mipango mingi sana
Ova
Mkuu ivi kuna tofauti kati ya wilaya na mkoa?Hiyo Rombo yako nimekaa kama mtumishi zaidi ya miaka minne, naijua nje ndani, mnajimwambafy sana as if kuna la maana sana, huku geita rombo yako yote nakushushia kata ya lwamgsa tu mnakaa chini.
Ni wivu tuPesa za Wakenya
100% ya vijijin vina umene na makaz Bora ni 90% karibu romboNyumba zote ni baa bubu hivyo si ajsbu kuwa na umeme
Rombo council hospital ndio Huruma ??Maisha yapo swafi,kama ulaya vile wazungu wamejaa télé vijijin wanafurahia Bata karibu rombo
Usije kushangaa utakapoona maghorofa vijijn ndan ndan kabisa,barabara ni safi haswa za vijijin
Ulitaka ziwe za WARUNDI?Pesa za Wakenya
Naam Ila huruma ina ubia na serikali inamilikiwa na katoliki,ila vituo vya afya vipo zaidi ya 10 wilaya nzima,zahanat kama zote ndio maana hospitali ya wilaya haina populationRombo council hospital ndio Huruma ??
Picha yako wewe tuone ulivyolewa na picha ya mji wenu.Unajua Hii wilaya kwanza kijiografia ipo mwinuko kati ya mita 1300 hadi 2200. Kuna hali nzuri sana ya hewa hilo halina ubishi.
Watu wanaposikia hii wilaya kitu cha kwanza wanajua watu wa huko ni walevi choka mbaya kiasi kwamba hakuna maendeleo yeyote. Ila laiti wangejua Hii wilaya kila mtumishi wa umma aliyeajiriwa iwe kwenye shule, benki au polisi hawatamani kuhama wasingeibeza.
Ni kweli pombe inanyweka tena sana kuanzia pande za kikelelwa mpaka mamsera mashati, usseri ndani ndani pombe inanyweka ila watu wanapadis ohooo Rombo hakuna maendeleo kisa ulevi.
Na huku kunywa pombe kunachangiwa na upatikanaji rahisi wa malighafi ya kutengeneza pombe ya mbege ambazo ni ndizi pamoja na hali ya hewa (baridi) ila maendeleo yapo na watu wapo wanakimbizana kuitafuta shekeli kwa udi na uvumba. Iwe ni kwenye biashara kilimo n.k mfano Kilimo cha viazi Rongai, mahindi japo sio sana n.k.
Viwanda vya mbao vipo kuanzia kikelelwa tarakea hapo kwa maulid peleka hadi Mashima usseri n.k. kwa takwimu za haraka haraka za pale ofisi ya Rongai kuna karibia viwanda 200 ambavyo vipo registered katika kuchakata mbao.
Kama msitu upo Norh Kilimanjaro forest plantation wenye almost hectare 8000 na point.
Utalii wa mlima Kilimanjaro n.k.
Kwa vile tupo mpakani hapa siku za weekend wakenya wanakuja ku spend na familia zao kupata kitimoto ,bia au ugali samaki snow cape AU resort inn. Kwa kifupi wakenya kutoka kwenye miji ya kimana, oloitoktok, illasit n.k
Sehemu yao ya kujivinjari ni tarakea, Mashima au mashati huko....maana huku bia ni rahisi sana ukilinganisha na kwao. Kwa kifupi kiuchumi wilaya ya Rombo inajiweza. Msipadis sana kama hamjawahi fika naomba mfike.
Haters karibuni kwa mapovu
Hivyo vituo vya Huruma viko mjini au villa chaka chaka ??Naam Ila huruma ina ubia na serikali inamilikiwa na katoliki,ila vituo vya afya vipo zaidi ya 10 wilaya nzima,zahanat kama zote ndio maana hospitali ya wilaya haina population
Ad magorofa yamo ya kutosha..hakuna uhaba wa madarasa na vitendea Kazi vyake..pia imeunganishwa kwa lami kuanzia Moshi mjin ad tarakea. Hata barabaran za mtaaan zinapitika.. kipindi Cha mvua ndo utakuta barabara chache zenye utelezi tuMtoa mada amesema kweli kabisa, kwa ujumla rombo na maeneo mengine ya Moshi ni mazuri mnooo, yani migombani huko unakuta mijumba ya maana.