Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Hizo ni story za abunuwasi eti species mbona siku hizi binadam hawabadiliki kwa mujibu wenu means mabadiliko ni on going process na Sio static,mbona binadam amestack kubadili kuelekea another species.
Ishu ya binadam wa kwanza sijui bonde la oldvai Haina mashiko Wala uthibitisho zaidi ya propaganda tu za freemason kuichallenge asili ya Mwanadamu.
1. Unakataa kwasababu unadelusion yako kuhusu asili ya mwanadamu.

Nan alikwambia kuwa mabadiliko yamestack na hawabadiliki kuelekea specie nyingine?

Kwanini unasema haina uthibitisho.
Umesoma evolution vzuri?

2. Inaonekana unajua fika kabisa na ukweli kuhusu asili ya mwanadamu.

Unadai kwamba evolution ni propaganda za freemason kuchallenge asili ya mwanadamu,

Nieleze Asili ya mwanadamu ni nini?
 
Yea ya milele yasiyo na kifo,magonjwa,shida nk
Sasa huyo Mungu alishindwa vipi kutengeneza huo ulimwengu wenye maisha ya milele yasio na kifo, magonjwa shida n. K?

Huoni kuwa hoja yangu main ndo hii?

Alishindwa kuumba huu ulimwengu tunaouishi sasa hivi ukawa kama huo unaousema utakuwa wenye
maisha ya milele yasio na kifo, magonjwa shida (mabaya) n. K?

Alishindwa vipi?
unazunguka tu mkuu na naamini ushajua kabisa kuwa huyo Mungu hayupo na hizi ni kamba tu umekaririshwa ukiwa mtoto (ukiwa huna akili)
 
Asili ya binadamu
(unapoongelea bonadamu unaongelea ni species ya homo sapiens)

Binadamu (homo Sapiens) ana asili ya kimsingi kutoka kwenye mnyama wa kale anayefahamika kama Homo habilis, ambaye aliishi takriban miaka 2.4 hadi 1.4 milioni iliyopita. Hapo awali, binadamu wa kale (homo habilis) waliishi katika mazingira ya pori huko Afrika Mashariki, ambayo ni sehemu ya sasa ya Tanzania na Kenya.

Kupitia mchakato wa mamilioni ya miaka, spishi mpya zilijitokeza, kama vile Homo erectus, Homo neanderthalensis, na mwisho Homo sapiens, ambao ndio spishi pekee ya binadamu inayosalia duniani leo.
Na huyo homo habilis/mnyama wa kale asili yake au chanzo chake ni kipi?
 
Sisi tunaambiwa tumeumbwa kwa sura na mfano wake, kwahiyo huenda naye ana tabia kama zakwetu.

Si unaona hata wewe kuna watu kibao wana shida na uwezo wa kuwasaidia unao ila unauchuna kama huoni vile..🙄
Aahhaaaa
 
Sasa huyo Mungu alishindwa vipi kutengeneza huo ulimwengu wenye maisha ya milele yasio na kifo, magonjwa shida n. K?

Huoni kuwa hoja yangu main ndo hii?

Alishindwa kuumba huu ulimwengu tunaouishi sasa hivi ukawa kama huo unaousema utakuwa wenye
maisha ya milele yasio na kifo, magonjwa shida (mabaya) n. K?

Alishindwa vipi?
unazunguka tu mkuu na naamini ushajua kabisa kuwa huyo Mungu hayupo na hizi ni kamba tu umekaririshwa ukiwa mtoto (ukiwa huna akili)
Mipango ya Mungu Sio mawazo ya binadam.Mwanadamu aliwekwa Bustani ya Eden akazingua ametupwa Duniani ili afanye matengenezo ili aingie ulimwengu mpya baada ya huu kufutwa huko mbeleni yaani mbinguni mpya ulimwengu mpya usio na mwisho
 
1. Unakataa kwasababu unadelusion yako kuhusu asili ya mwanadamu.

Nan alikwambia kuwa mabadiliko yamestack na hawabadiliki kuelekea specie nyingine?

Kwanini unasema haina uthibitisho.
Umesoma evolution vzuri?

2. Inaonekana unajua fika kabisa na ukweli kuhusu asili ya mwanadamu.

Unadai kwamba evolution ni propaganda za freemason kuchallenge asili ya mwanadamu,

Nieleze Asili ya mwanadamu ni nini?
Mwanadamu aliumbwa na Sio kujitokeza tu
 
Chanzo chake sikijui.

Watafiti wa mambo ya kale bado wako kwenye utafiti.
Na vipi nitawaamini katika tafiti zao? Kwa mana kwamba usahihi wao nitauamini vipi kuanzia kwa huyo homo habilis hadi homo sapiens ambaye wewe unasimamia kuwa ndio chanzo
cha binadamu?
 
Mipango ya Mungu Sio mawazo ya binadam.Mwanadamu aliwekwa Bustani ya Eden akazingua ametupwa Duniani ili afanye matengenezo ili aingie ulimwengu mpya baada ya huu kufutwa huko mbeleni yaani mbinguni mpya ulimwengu mpya usio na mwisho
Mkuu sijajua unaposema bustani ya eden unamaanisha ilikuwa wapi.
Je haikuwa duniani?​

Halafu kama aliumba ulimwengu ukaenda tofauti na alivyotamani (kwamaana aliumba ulimwengu ikawezekana watu kuzingua kisha akaamua kuwafukuza, means wasingezingua asingewafukuza,
the whole storyline tuliyonayo tusingekuwa nayo)

Sasa huoni kama huyu Mungu pia anajipinga kuwa si mjuzi wa yote?​
Hiyo mbingu ambayo ameiandaa (kwamujibu wako)
unauhakika gani kwamba itakuwa ya raha, amani furaha na isiwe na mabaya kuja kuanza tena?​
Hujawaza kuwa inawezekana kwa watu kuzingua tena huko huko na tukawa kwenye ulimwengu kama huu huu na uovu ukatokea mbinguni?​
Mwanadamu aliwekwa Bustani ya Eden akazingua ametupwa Duniani ili afanye matengenezo ili aingie ulimwengu mpya
Hoja kuu ni kuwa, Huyu Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kwanini kaumba huo ulimwengu wenye uwezekano wa mwanadamu kuzingua?
Naona hatuelewani hujawaza kwa upana dhana hii, Embu pitia mfano huu :

Wewe (Mungu) umejenga nyumba yako na kudesign robot lako(mwanadam) , programming umefanya mwenyewe kwa ujuzi wako (unajua kila kitu kuhusu kutengeneza roboti na kujenga nyumba ) ili liwe linaenda kuchota maji ya kunywa na kukuletea chumbani,

chumba hicho umekijenga mwenyewe then uli_run lisikupe matokeo (lizingue) uliyoyatarajia,

likawa linatembea linafika linakuta mlangoni ni mwembamba linashindwa kuingia,

halafu hapo hapo bado liwe linakosea kuulenga mlango vizuri, liwe linalenga mlango nusu ya kulia, nusu ya kushoto linalenga ukuta hata kulenga center ya mlango linashindwa kwasababu ya programu uliyoliwekea wewe mwenyewe halafu ulitupe likajifanyie matengenezo ya programu yake ili lije kukuletea maji.

wakati uwezo unao wote
(uliweza kuliumbia mazingira {ulimwengu} ambayo hayaruhusu kuzingua, yaani ile nyumba na njia ya roboti wako kufika chumbani. ulikuwa na uwezo wa kujenga mlango mpana zaidi ama kutengeneza robot 🤖 mwembamba zaidi aweze kufit mlango huo ili liwe linaingia chumbani kirahisi tu, lakini hukufanya hivyo

Una ujuzi wote
(ulikuwa na uwezo wa kufanya best programing na ikakupa matokeo uliyotaka na lisiwezekane kugonga nusu ya kushoto kwenye ukuta, sasa bado pamoja na kuwa na ujuzi wa kujua kila kitu ulikosea programing likawa haliwezi kuulenga ule mwembamba kwa 100% likawa halilengi mlango vizuri kana kwamba hata kama ungekuwa mlango ni mpana bado lilikuwa haliwezi kuulenga vizuri hivyo lingejikwaa upande na Lingeshindwa kuingia chumbani

Eti ulitupe likajitengeneze jenyewe
halafu bado useme wewe unalipenda sana na unajinasibu unaupendo wote kabisa.

  • Kwanini mlango wa chumba ulichojenga wewe mwenyewe kwa kuweka mlango ulio mwembamba kuzidi robot 🤖, umelisababishia lisiweze kupita?
  • Kwanini umeliprogram vibaya lilenge obstacle na usababishe maji chumbani kwako lisiyafikishe?

Halafu ukasirike ulitupe likajitengeneze

WTF!!!​
 
Mwanadamu aliumbwa na Sio kujitokeza tu
Sawa, naomba nkubali kwa mujibu wako kuwa hakujitokeza na aliumbwa

Nieleze huyo mwanadamu aliumbwa na nani sasa?

Unaweza kunieleza huyo Muumbaji yeye alitokea wapi na anaishi wapi?

Huyo muumbaji alitumia material gan kuumba watu?
 
Mabaya na majanga hayaondoi kusudi la utamu wa maisha
Kwahyo watu wanaoteseka mpaka wanakufa, kunawatu tangu wamezaliwa ni wanamagonjwa ya ajabu wameishi nayo kwa taabu mpaka wanafariki.

Watu wanapigwa vimbunga na matetemeko, maelfu ya watu wanakufa na wengine wanabakizwa na ulemavu wa kudumu,

Kifo kinawatenganishwa ndugu, wanabaki na majonzi wengine hushindwa kuvumilia mateso wanakata tamaa mpaka wanaamua kujiua ili wapumzike

Halafu unasema hayaondoi kusudi la utamu wa maisha.?

Utamu gani kwenye maisha kwa watu hao.

Yaani umejenga choo kisicho na tundu then useme hakiondoi lengo la kutaka kulenga tundu.
 
Na vipi nitawaamini katika tafiti zao? Kwa mana kwamba usahihi wao nitauamini vipi kuanzia kwa huyo homo habilis hadi homo sapiens ambaye wewe unasimamia kuwa ndio chanzo
cha binadamu?
Nlikuuliza kuwa, umesoma nadharia ya evolution vizuri?
 
Sawa, naomba nkubali kwa mujibu wako kuwa hakujitokeza na aliumbwa

Nieleze huyo mwanadamu aliumbwa na nani sasa?

Unaweza kunieleza huyo Muumbaji yeye alitokea wapi na anaishi wapi?

Huyo muumbaji alitumia material gan kuumba watu?
Mwanadamu aliumbwa na Mungu kwa kutumia udongo kama sanamu kisha akaulizia pumzi akaipa uhai.
Thus mwanadamu ana husiana na udongo kupitia vyakula vipandavyo udongoni ili tupate asili yetu yaan madini na virutubisho toka udongoni,thus mwanadamu akifika ukomo yaan miaka ya kibiblia kuanzia 70 asizidi 120 ni lazima afe.Aoze mwili udongoni roho na nafsi uchukua mwili mwingine na kwenda ulimwengu mwingine.
Mwanadamu wa kwanza baada ya kuumbwa walipewa uwezo wa kuzaa na kuongezeka tokea Bustani ya Eden nchi ya Iraq na kuenea Duniani kote.
Achana na uongo wa mtu wa kwanza sijui alitokea Tanzania. Ukiwauliza hapo Tanzania alitokea wapi asili yake hawana jibu.
 
Nlikuuliza kuwa, umesoma nadharia ya evolution vizuri?
Evolution of man ni andiko la binadamu, sawa au sio sawa? Tafiti zake una kiwango gani cha usahihi hata niwe na hoja madhubuti za kukana uwepo wa mungu?
 
Kwahyo watu wanaoteseka mpaka wanakufa, kunawatu tangu wamezaliwa ni wanamagonjwa ya ajabu wameishi nayo kwa taabu mpaka wanafariki.

Watu wanapigwa vimbunga na matetemeko, maelfu ya watu wanakufa na wengine wanabakizwa na ulemavu wa kudumu,

Kifo kinawatenganishwa ndugu, wanabaki na majonzi wengine hushindwa kuvumilia mateso wanakata tamaa mpaka wanaamua kujiua ili wapumzike

Halafu unasema hayaondoi kusudi la utamu wa maisha.?

Utamu gani kwenye maisha kwa watu hao.

Yaani umejenga choo kisicho na tundu then useme hakiondoi lengo la kutaka kulenga tundu.
Utamu wa maisha utegemea na tafsiri yako mwanadamu si zaidi ya kula na kunywa mengine ni ziada.
Kila jambo ni ili Mungu apewe utukufu,mateso na magonjwa ni matokeo ya dhambi either za kurithi au kutenda mwenyew binafsi.
Karibu nikupe shule
 
Back
Top Bottom