Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Mungu anawatapika?Ni kwasababu mmekuwa sio wavuguvugu Wala wabaridi...
Kwa shetani mpo na kwa Mungu mpo...
KiajeHuo utashi unaokushinda,ndio kuwepo kwa huyo aliyepo,
Umeshaelewa.Kila linalofanyika popote,hata kama hukumuona mfanyaji ukiwa na utajua yupo aliyefnya hivi,ukiona unyao wa simba hata kama hayupo,utasema hapa kapita simba.Hutasema huu unyao umejifanya wenyewe.Utaanza kuchukuwa tahadhari,kuwa eneo hili lina simba.Naona ni mwendo wa logical non sequitur.
Sasa kuzidiwa kulala mara kifo.. Kunathibitisha vipi uwepo wa Mungu?
Vitisho no silaha ya mwisho ya mjinga.Mwanadamuu bhanaaa Akiwa anakulaa bataa maisha yanaendaa poaaa ndo anaona Mungu yupooo.. kikiumanaaa sasaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kenge kabisaa shukuruu hata Unapumuaa muda huuu maana bila Mungu ungekuwaa maiti now..!
Ukiona unyao wa simba,utasema simba kapita.Hata kama hukumuona.Naona ni mwendo wa logical non sequitur.
Sasa kuzidiwa kulala mara kifo.. Kunathibitisha vipi uwepo wa Mungu?
Wewe unaamini kuna Hewa ya Oxygen??? Unaamini Kuna roho???Vitisho no silaha ya mwisho ya mjinga.
Unaweza kututhibitishia kuwa huyo Mungu yupo walau hata kwa kuondoa contradiction kwenye dhana ya uwepo wake?
Huko kushindwa kwako,unalala na kufa bila kupenda,ujuwe yupo anayekuzidi kimaarifa.Kiaje
Hayo ni majina ya kilugha tu,waswahili twaita Mungu,wazungu God,wahindi Baguwan nk
Wewe unaamini kuna Hewa ya Oxygen??? Unaamini Kuna roho???
Ila unaweza thibitisha kuna uchawiii...kuna rohoo...[emoji28][emoji28]It's not the issue about believe it's concrete evidence that needed to support your claims god exist?
Huwezi thibitisha mungu yupo sababu hayupo
Ngoja nikupe kisa kimoja.Umeshaelewa.Kila linalofanyika popote,hata kama hukumuona mfanyaji ukiwa na utajua yupo aliyefnya hivi,ukiona unyao wa simba hata kama hayupo,utasema hapa kapita simba.Hutasema huu unyao umejifanya wenyewe.Utaanza kuchukuwa tahadhari,kuwa eneo hili lina simba.
Ukiingia darasani,!!ukiona ubao umeandikwa,utajua wazi yupo aliyeandika,hata kama hukumuona.
Iweje upate usingizi na uone watu wanakufa,halafu useme havina mfanyaji.Tumia akili,!!japo akili huioni,lakini utaambiwa huyu ana akili sana,ni kutokana unayofanya ya ki akili.
You trying to twist the topicIla unaweza thibitisha kuna uchawiii...kuna rohoo...[emoji28][emoji28]
Hapana, siamini kuna hewa ya oxygen.Wewe unaamini kuna Hewa ya Oxygen??? Unaamini Kuna roho???
Wewe sehemu nyingi wanalimungu lao la kujitungia.Hayo ni majina ya kilugha tu,waswahili twaita Mungu,wazungu God,wahindi Baguwan nk
Toka hapa na Mungu wko wa mchongo,,,Kuamini kwetu au kutokuamini kwetu hakibadilishi kitu. Mungu anabaki kua ni Mungu. Uwepo wako au kutokuwepo kwetu hakimshughulishi. Kikubwa Ukimtii na kumsikia atakubariki mwilini na rohoni.
Yaani wewe unataka Mungu akufanyie kila kitu kama mtoto mchanga,vip na hyo akili amekupatia ya kazi gani sasa? Wewe siyo RobotiMkuu umeandika mambo mengi sana kujaribu kumnasua Mungu wako ambae hayupo, na hawezi kujinasua kwenye hii mitego.
Hyo elimu unayoisema ni zao la baadae sana baada ya watu kujifunza kuhusu matetemeko,
Je kabla ya elimu hii ya tetemeko kwanini Mungu hakuwajulisha kwa kuwapa allert msiishi maeneo hayo?
Na kama anaupendo wote kwanini ameweka tetemeko, tetemeko ni la kazi gani yeye sasa kuliweka?
Hapo ni unajitetea tu, na hoja yako haina mashiko.
Kama mungu ameyaumba yote hayo, kwanini hajawapa nauli watu wahame wasiishi hayo maeneo yenye matetemeko kama unavyodai.
Huoni wale watoto wasio ma uwezo wa kujiamlia kuhama maeneo hayo, wakikumbwa na matetemeko utasema wamechagua?
Watoto walichagua kuzaliwa hayo maeneo.
Sijakuelewa na hoja yako haina mashiko.
Sasa nijibu hapa chini nikubali kama kweli mabaya ni uchaguzi, 👇👇
Vipo visa vya vimondo kuua watu ni pamoja na tukio la meteoriti lililotokea mnamo mwaka 2013 huko Chelyabinsk, Urusi. Kimondo kilichoingia angani kilipasuka juu ya mji huo, kusababisha vioo vingi kuvunjika na watu wengi kujeruhiwa kutokana na vipande vya vioo.
Moja ya visa maarufu ni lile la Tunguska huko Siberia, Urusi mnamo tarehe 30 Juni 1908. Kimondo kikubwa sana kilipasuka angani na kusababisha mlipuko mkubwa,
Je hapa unasemaje kuhusu dhana yako ya uchaguzi?
Unasahau kuwa hiyo hiyo bible inasema kuwa "mwana hatoubeba mzigo wa babaye wala baba hatoubeba mzigo wa mwanae''.Kuna watoto wanateseka kutokana na uovu ambao wazazi wao walifanya...
Kutoka 20: 5
Biblia inasema nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi chaa tatu na cha nne...