Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Aliyekuambia Elimu ya Jiografia ni Elimu ya baadaye ni Nani?

Kasome Geomorphology ndio utajua kazi ya matetemeko, volcano, tsunami n.k. katika huu Ulimwengu. Uache ujinga na umbumbumbu kwenye mambo usiyoyajua.

Unafikiri pasipo volcano(ambayo pia husababisha tetemeko la Ardhi) milima Kama mlima Kilimanjaro ungekuwepo?
Visiwa vingekuwepo?

Hii Dunia kuna michakato inaendelea kama vile mwilini mwako mifumo ya mwili unavyofanya kazi.
Sasa Kwa vile hujui ukisemacho, basi tunasema sio kosa lako.

Ila elewa kila kinachotokea kwenye Dunia kinafanya kazi Fulani ambayo ni muhimu katika mustakabali wa Ulimwengu.
Ukiwa huna kitu unaambiwa hujafuata misingi, unajitahidi kufuata misingi unaambiwa subiri wakati wa Bwana.

Huo wakati wa bwana ni mpaka unakufa. Alafu kuna mjinga mmoja anakuja na sound mchicha ohhh hujafuata sheria.
 
Kweli. Watu wengi uelewa wao duni akili wamempa mchungaji wao
Yaani ni mzazi gani anaweza
kuruhusu kwa makusudi nyoka aingie chumba cha watoto wake kisha kuwaambia mkizidiwa mniite? . Nina uwezo wote.
Ahahahaha kuna hoja hazijajibiwa
Lakini wapo wazazi ambao wanakulea kwenye njia ambayo utafahamu mema na mabaya, njia nzuri na njia mbaya,,

Then wanakuacha ufuate uchaguzi utakaoona ni sahihi,

Ukikengeuka ukafuata njia mbaya, watakuacha uishi maisha hayo hayo uliyoyachagua hata kama watahisi uchungu.
 
Kifo na uzima ni uamuzi wa MTU.
Wewe ndio haupo Serious na kama hujui Jambo hilo basi bado ni mdogo haujakua.
Maana mpaka Wanyama wanalijua Hilo.

Ukitaka Kufa unakufa hata sasa hivi,
Ukishazaliwa na ukakua kifo na uzima ni maamuzi yako tuu.

Nenda porini au angalia filamu za wanyama utaelewa ni Kwa kifupi kifo na uzima ni maamuzi.
Ndio maana kuna sheria, ndio maana unasikia njaa lakini unauamuzi wa Kula au usile.
Zaidi ya 99.2% ya watu wote hawachagui kifo

Wanachagua wale wanaojiua wenyewe, either kwa kujinyonga or kunywa sumu etc, hakuna anayependa kufa.

99.2 ya vifo vyote si maamuzi wala chaguzi za watu, mtu kupata ajali si uchaguzi wake,

Mtoto akifa naye unasema kachagua?

Inaonekana hatuelewani kwasababu hauelewi nini maana ya kuchagua na kuamua.

Unaelewa nini maana ya kuamua?
 
Aliyekuambia Elimu ya Jiografia ni Elimu ya baadaye ni Nani?

Kasome Geomorphology ndio utajua kazi ya matetemeko, volcano, tsunami n.k. katika huu Ulimwengu. Uache ujinga na umbumbumbu kwenye mambo usiyoyajua.

Unafikiri pasipo volcano(ambayo pia husababisha tetemeko la Ardhi) milima Kama mlima Kilimanjaro ungekuwepo?
Visiwa vingekuwepo?

Hii Dunia kuna michakato inaendelea kama vile mwilini mwako mifumo ya mwili unavyofanya kazi.
Sasa Kwa vile hujui ukisemacho, basi tunasema sio kosa lako.

Ila elewa kila kinachotokea kwenye Dunia kinafanya kazi Fulani ambayo ni muhimu katika mustakabali wa Ulimwengu.
Unataka kunambia watu wa kale walikuwa wanajua kabisa kwamba tetemeko linatokeaje?

Naona umeanza Ad hominem argument, unaatack mtu ili tu kuharibu attention.
Hujui nimesoma hadi level gani ama nina uwezo gani wa uelewa. Lakini unaniatack
Sawa

Unaelewa kuwa mimi sizungumzii kiwa matetemeko hayakuwepo zamani?

Unaelewa kuwa nazungumzia hii elimu (knowledge) ya geography kuhusu hayo matetemeko na kuanalyse sehemu zenye mabonde ya ufa na athari zake hizo kama uwezekano wa matetemeko kwenye maeneo hayo kiwa haikuwepo zamani na hivyo elimu/ujuzi huu (geography) imekuja baada ya maendeleo ya science na technology?

Unaelewa kuwa mimi nakuhoji kama hao watu wa kale waliojikuta tu wamezaliwa katika maeneo hayo, kwanini Mungu hakuwaepusha na majanga kama hayo?

Unasemaje kuwa walichagua.

Na hata kama ukisema Mungu aliumba hayo maeneo kwa ajili ya hiyo michakato kama unavyodai kwanini hakudesign kerbs ama kingo kwa ajili ya kuzuia mtu asiingie kuishi maeneo kama hayo?

Iweje wakandarasi wajenge barabara milimani waweke kingo kwenye mipaka ya barabara halafu mungu huyu kashindwa kuweka hata utepe kama wa kipolisi kuonesha kuwa maeneo kama hayo yenye bonde la ufa, maeneo haya yenye uwezekano wa kutokewa Tsunami?

Huyo Mungu si wa upendo kama msemavyo,
Huyo Mungu hayupo.

Nijibu kuhusu vimondo vinavyodondoka na kuumiza watu na mali zao then husianisha na kwamba kifo ni maamuzi au michakato ya dunia.
 
Lakini wapo wazazi ambao wanakulea kwenye njia ambayo utafahamu mema na mabaya, njia nzuri na njia mbaya,,

Then wanakuacha ufuate uchaguzi utakaoona ni sahihi,

Ukikengeuka ukafuata njia mbaya, watakuacha uishi maisha hayo hayo uliyoyachagua hata kama watahisi uchungu.
Mkuu scale ya mabaya haiishii kwenye matendo.

Tunaposema mabaya kuwepo kwenye ulimwengu huu tunaongelea yote kabisa ikiwemo yale natural hazards, kama matetemeko na Tsunami.

Sasa Mungu mjuzi wa yote, Mungu muweza wa yote na mwenye upendo wote, vipi kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Hauoni kama kuna utata hapa kwenye hiyo dhana?
 
Wangemtumainia Mungu hangewaepusha na ajali.
Dini nje ndani shetani
Kwahiyo hata makanisa yote na misikiti hakuna wanaomtumainia Mungu humo ndani?

Halafu mbona haujibu kama inavyotakiwa shida nini?
 
S
Ipo tofaut ya kumuabudu Mungu na kumjua Mungu.
Sio Kila aendae nyumba za anamaanisha
Sasa kwanini Hadi hzo nyumba za ibaada zinabomoka?
Au si za Mungu?

Na waliokufa wote kwenye matetemeko wote hawamtumainii Mungu?

Unazunguka tu
Ila umeshindwa kumthibitisha Mungu kama yupo.
 
Kwa lugha nyingine unasema asilimiaa 98% ya watu wasiokula mema hawajmkubali?

Kwanini waumini ni mafukara waliojaa njaa ila wachungaji wanaendelea na maisha yao?

Kwa nini maskini anayesali na kufuata taratibu zote bado hatoboi kwa tajiri asiyesali wala kumuamini Mungu/Shetani?

Kwanini walokole mmekubuhu kwenye dhambi kuzidi watu wasio okoka?
Inawezakana
 
Unataka kunambia watu wa kale walikuwa wanajua kabisa kwamba tetemeko linatokeaje?

Naona umeanza Ad hominem argument, unaatack mtu ili tu kuharibu attention.
Hujui nimesoma hadi level gani ama nina uwezo gani wa uelewa. Lakini unaniatack
Sawa

Unaelewa kuwa mimi sizungumzii kiwa matetemeko hayakuwepo zamani?

Unaelewa kuwa nazungumzia hii elimu (knowledge) ya geography kuhusu hayo matetemeko na kuanalyse sehemu zenye mabonde ya ufa na athari zake hizo kama uwezekano wa matetemeko kwenye maeneo hayo kiwa haikuwepo zamani na hivyo elimu/ujuzi huu (geography) imekuja baada ya maendeleo ya science na technology?

Unaelewa kuwa mimi nakuhoji kama hao watu wa kale waliojikuta tu wamezaliwa katika maeneo hayo, kwanini Mungu hakuwaepusha na majanga kama hayo?

Unasemaje kuwa walichagua.

Na hata kama ukisema Mungu aliumba hayo maeneo kwa ajili ya hiyo michakato kama unavyodai kwanini hakudesign kerbs ama kingo kwa ajili ya kuzuia mtu asiingie kuishi maeneo kama hayo?

Iweje wakandarasi wajenge barabara milimani waweke kingo kwenye mipaka ya barabara halafu mungu huyu kashindwa kuweka hata utepe kama wa kipolisi kuonesha kuwa maeneo kama hayo yenye bonde la ufa, maeneo haya yenye uwezekano wa kutokewa Tsunami?

Huyo Mungu si wa upendo kama msemavyo,
Huyo Mungu hayupo.

Nijibu kuhusu vimondo vinavyodondoka na kuumiza watu na mali zao then husianisha na kwamba kifo ni maamuzi au michakato ya dunia.
Mkuu uko shallow sana kuelewa jinsi Dunia inavyo operates😔😔😔🚶
 
S

Sasa kwanini Hadi hzo nyumba za ibaada zinabomoka?
Au si za Mungu?

Na waliokufa wote kwenye matetemeko wote hawamtumainii Mungu?

Unazunguka tu
Ila umeshindwa kumthibitisha Mungu kama yupo.
Hata shetani ana nyumba zake za ibada mfano wa makanisa, huwezi jua
 
Kuna watoto wanateseka kutokana na uovu ambao wazazi wao walifanya...

Kutoka 20: 5

Biblia inasema nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi chaa tatu na cha nne...

Huyo mungu ni wakutungwa haiwezekani baba mwenye watoto wanne mmoja afanye kosa halafu aje kumuadhibu au kumuua mtoto mwingine halafu hapo hapo baba huyo huyo anajisifu yeye ni baba mwenye upendo kwa wote atakuwa hana tofauti na mwendawazimu
Hakuna mungu ni stori za kubuni
Kama yupo thibitisha hapa.
 
Huo ndio ukweli. 90% ya Maisha yako yanatokana na uamuzi na chaguzi zako.
Mungu alichofanya ni kukukuwekea options tuu. Uchaguzi ni wako.
Umaskini na utajiri ni uamuzi wako.
Kifo na uzima ni uamuzi wako.

Mungu huyo mnaedai ni ajuaye yote huwezi kusema uchaguzi ni wako wakati unadai anapokuumba anajua mpaka mwisho wako utavyokuwa wewe ni mtenda maovu utaenda motoni kwa madai yenu kwahiyo mungu huyo anaumba watu makusudi kuwapeleka motoni kwa maana anafahamu yote

Huyo mungu hayupo ni stori za kuungwa
 
Kama wewe msomaji ungepata uwezo wa 10% tu ya uwezo wa Mungu tunayeambiwa kuwa ana utajiri usio kwisha, ana huruma na upendo ungekubali mtu uliyemuumba (innocent) ateseke kiasi hichi?
View attachment 2667063
Tunaambiwa laiti kama imani zetu zingekuwa na ukubwa japo wa mbegu ya haladari basi, tungefanya mengi hata milima tungeiambia ondoka ingeanza kuondoka, hivyo tuwe na imani zaidi utajiri upo
 
Kuamini kwetu au kutokuamini kwetu hakibadilishi kitu. Mungu anabaki kua ni Mungu. Uwepo wako au kutokuwepo kwetu hakimshughulishi. Kikubwa Ukimtii na kumsikia atakubariki mwilini na rohoni.
 
Back
Top Bottom