Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Kila Mtu na Imani Yake,Wenye akili Na yakini wanaamini Uwepo wa Mungu.Hakuna mungu hizo ni stori za kubuni za watu wa kale
Waliokengeuka Na Dunia Na starehe zake Katu Hawawezi Ona Uwepo wa Mungu Licha Ya Kuona dalili zake.
83:12-13 Quran
12:Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi
13:Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!