Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Shetani sie tumemkuta, kosa letu liko wapi? Mungu amuondoe kama anaweza.
Ni sawa na kusema,nimejikuta nimezaliwa,na nimekuwa nisifanye kazi yoyote,nisubiri kulishwa itakuwa ni ujinga huo.
Huyo shetani,ni wewe mwenyewe unamfuata,uifuate gari ikugonge,uumie,halafu useme gari ziondolewa barabarani,wakati hizo zinamanufaa.
Shetani ni mtihani,kama mtihani wa shule,chuo,kazini na kwingineko,ili ufauli mtihani upate malipo mazuri,ukifeli mtihani shule,chuo ndio umeanguka kimasomo,ukifeli interview hupati kazi,utalaumu Mwalimu?.Na katika maisha hivyo hivyo,shetan ni mtihani,ukimfuata utaanguka kimaisha.Acha kumfuata shetani,unakwenda zini bila ndoa,unapata mtoo,unamlaunu Mungu,wakati umekwenda mwenyewe kufanya tendo lililokatazwa na Mungu.Unakwenda kunywa pombe,Unapata ajali,unamlaumu Mungu ,wakati ulishakatazwa na Mungu usilewe.
 
Dah! [emoji848]
Nimejikuta nalia[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Jamaa Amenitonesha kidonda kilichoanza kupona
Namemkumbuka mama yangu mlezi alivyokuwa akinisimulia jinsi alivyo niokoa mikononi mwa Mbwa waliokuwa wakiliburuza Box lililokuwa limebeba mwili wa mtoto mchanga, sauti ya mtoto kutoka ndani ya Box hilo ndio iliyomfanya mama huyo kushituka na kuomba msaada kwa wapita njia kuwafukuza hao Mbwa kisha walifungua lile Box wakamuokoa Mtoto ambaye Ndiye Mimi[emoji24][emoji24]
HATA IWAJE KWANGU MUNGU BADO NI BABA
ANAFANYA KILA KITU KWA MAPENZI YAKE, YEYE ANATOA NA YEYE ANATWAA, YEYE ANAPANGA UZALIWE KWA FAMILIA GANI, YEYE ANAANDAA ULELEWE WAPI.
MUNGU MKUU HANA BAYA
You are real blessed.
Natamani nikuone niuone ukuu wa Mungu
 
Kwanini unasema hayupo...?
Nasena hayupo kwasababu hayupo.

Mungu ni mhusika mkuu wa hadithi za alfu lela ulela zilitungwa na watu wa zama za giza na ujinga kwa lengo kuu la kujibu maswali magumu yaliyowakabili.

Nafkiri nlikwambia muda huko nyuma..
Ama si wewe?
 
Mkuu uko shallow sana kuelewa jinsi Dunia inavyo operates😔😔😔🚶
Niko shallow kwasababu unamtazamo tofauti namimi.

Ndio maana hujaweza kupinga nlichokielezea.

Nieleze dunia inavyooperate ili tujue kuwa niko shallow kuelewa.
 
Hata shetani ana nyumba zake za ibada mfano wa makanisa, huwezi jua
Hujajibu maswali nliyokuuliza mkuu,

Haujajibu kama nlivyokuuliza badala yake umetengeneza swali lako na kujijibu.

Nmekuuliza maswali makuu hapo yenye kuambatana.
Au hauyaoni!?
 
Kuamini kwetu au kutokuamini kwetu hakibadilishi kitu. Mungu anabaki kua ni Mungu. Uwepo wako au kutokuwepo kwetu hakimshughulishi. Kikubwa Ukimtii na kumsikia atakubariki mwilini na rohoni.
Sawa hatukatai,

Unaweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo?
 
Hujajibu maswali nliyokuuliza mkuu,

Haujajibu kama nlivyokuuliza badala yake umetengeneza swali lako na kujijibu.

Nmekuuliza maswali makuu hapo yenye kuambatana.
Au hauyaoni!?
Yepi maswali hayo
 
Kama wewe msomaji ungepata uwezo wa 10% tu ya uwezo wa Mungu tunayeambiwa kuwa ana utajiri usio kwisha, ana huruma na upendo ungekubali mtu uliyemuumba (innocent) ateseke kiasi hichi?
View attachment 2667063
Dunia ni ulimwengu uliotelekezwa ambapo Mungu alimua kumweka binadamu hapo ili ajitafakari na kuamua kama anataka uzima wa milele au moto wa milele, upande utakaouchagua kuishi milele utakuwa ni kwa hiari yako kupitia matendo yako.
 
Kila Mtu na Imani Yake,Wenye akili Na yakini wanaamini Uwepo wa Mungu.
Waliokengeuka Na Dunia Na starehe zake Katu Hawawezi Ona Uwepo wa Mungu Licha Ya Kuona dalili zake.

83:12-13 Quran
12:Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi
13:Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
Alfu lela ulela tu
 
Unawaza kama mimi huwa nasema yaan sisi binadamu tunaakili kuliko yeye yaan unaona source ya tatizo alAfu unaacha unawapa lawama wanao fanya baada ya kukutana na ile source huwa nasema kabisa sisi tumemzidi utashi mungu.
Mungu tumemzidi mbali mno.

Mungu huyu hajui hata jua linaenda wapi usiku
 
Mungu katuumba na kutuelekeza tuishi vipi kupitia vitabu vyake na Mitume na Manabii aliowatuma kwetu,ukienda kinyume na maelekezo aliyotupa lazima utapata tabu.
Ni sawa na waliounda magari,wametoa vitabu na malekezo jinsi ya kutumia hayo magari na pia wakaweka sheria za barabarani,ukienda kinyume na maelekezo yao,utaharibu gari,utapata ajali na mengineo,hapo sasa uanze kumlaumu aliyeunda gari.
Mkuu,

Kama kweli Mungu yupi kwanini tuhitaji kitabu ama wahubiri?

Huyu mungu anamtegemea sana mwanadamu, anatula mabega tu.

Yaani mfano ukichukulia biblia wakati inaandikwa zamani, ilirekodiwa kwenye magome ya miti na vibao.

Sasa huyu Mungu amekuwa akitegea sana hata vitabu vyake vimekuja kuandikwa vizuri baada ya industrialization karatasi zikaanza kuwepo, na sasa hivi inahamia kwenye softcopy (kielectronic zaidi)

Angekuwa kweli analengo hili la kutunga kitabu, angekitunga toka awali tu kwa kuwasgushia karatasi tangu kabla ya kristo (KK)

Sasa mungu huyu hayupo ni watu tu wamemtunga.
Kushindwa kwake kujiomesha ama kuhubiri mwenyewe huu ni udhihirisho mwingine kuwa hayupo.
 
Mungu yupo,kuna mambo mengi yanafanyika mwilini mwako,huwezi kuyageuza kwa utashi wako,kama usingizi,njaa,kufa kuumwa,kufikiri,kuchoka,huzuni,furaha nk.Wanasayansi pia wameshindwa kufanya binadamu asitokee na hali hizo.
Kushindwa kwangu kuyageuza kwa utashi wangu hakumfanyi huyo mungu awepo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Umemaliza mjadala,huu ndio ukweli,matendo yetu wenyewe ndio yanasababisha matatizo,mama katafuta mtoto Mungu kampa,kenda mtupa yeye mwenyewe,na huyu kijana amefika umri mkubwa,atafute mke aoe,aanzishe familia yake,mke wake ndio atakuwa mwenzake kwenye furaha na huzuni.
Je matendo yetu yanasababisha matatzo kweli?

Unaweza kurelate kati ya matendo yetu mabaya na kutikea kwa matetemeko ama Tsunam?
 
Kila Mtu na Imani Yake,Wenye akili Na yakini wanaamini Uwepo wa Mungu.
Waliokengeuka Na Dunia Na starehe zake Katu Hawawezi Ona Uwepo wa Mungu Licha Ya Kuona dalili zake.

83:12-13 Quran
12:Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi
13:Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!

Kuna mungu zeus, athena, poseidon,demeter,hestia, haphaestus, aphrodite,hermes, apollo, brahma the creator na wengine wengi

Unathibitisha vipi mungu wako wa quran ndiye mungu sahihi na si hao wengine?
Vipi nikikwambia leo nimekutana na alicorn au unicorn au hippogriff au alien kariakoo na nikamwelekeza maduka ya vifaa vya umeme, utasema ni kweli kwasababu tu nimekwambia?
Mungu huyo huyo anayetaka wengine wafe kwasababu tu hawapo katika dini yake? Huo uwezo wote uko wapi?
 
Dah! [emoji848]
Nimejikuta nalia[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Jamaa Amenitonesha kidonda kilichoanza kupona
Namemkumbuka mama yangu mlezi alivyokuwa akinisimulia jinsi alivyo niokoa mikononi mwa Mbwa waliokuwa wakiliburuza Box lililokuwa limebeba mwili wa mtoto mchanga, sauti ya mtoto kutoka ndani ya Box hilo ndio iliyomfanya mama huyo kushituka na kuomba msaada kwa wapita njia kuwafukuza hao Mbwa kisha walifungua lile Box wakamuokoa Mtoto ambaye Ndiye Mimi[emoji24][emoji24]
HATA IWAJE KWANGU MUNGU BADO NI BABA
ANAFANYA KILA KITU KWA MAPENZI YAKE, YEYE ANATOA NA YEYE ANATWAA, YEYE ANAPANGA UZALIWE KWA FAMILIA GANI, YEYE ANAANDAA ULELEWE WAPI.
MUNGU MKUU HANA BAYA

Kumbe mungu huyu mnayemtunga ni mwanaume na bado mnasema hakuna aliyemuona? Ukitaka kujua vitu vya kutungwa
Unaweza kuthibisha mungu yupo?
 
Dunia ni ulimwengu uliotelekezwa ambapo Mungu alimua kumweka binadamu hapo ili ajitafakari na kuamua kama anataka uzima wa milele au moto wa milele, upande utakaouchagua kuishi milele utakuwa ni kwa hiari yako kupitia matendo yako.
Dunia ni ulimwengu?

Sasa kama katelekeza mbona anatunga vitabu watu wasome.

Hujajibu bado concept ya mtangulizi.

Hoja kubwa hapo ni kwanini kama kweli Mungu ni mjuzi wa yote, Mungu muweza wa yote na mwenye upendo wote aumbe ulimwengu huu wenye mabaya kuwezekana?
Kwanini anaruhusu watoto wake wanateseka?
 
Back
Top Bottom