Kwanini watu wengi hawajui chochote kuhusu taifa la Israel, part 2

Kwanini watu wengi hawajui chochote kuhusu taifa la Israel, part 2

Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturuki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
 
Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturuki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
 
tujue ili iweje? akili za misokwe mtu bwana
Moja kati ya uaribifu wa saikolojia wakoloni waliotuachia ni pamoja na kujidharau na kujichukia sisi wenyewe hivyo wewe mimi siwezi kukushangaa kwani huu ni ugonjwa unaowatesa watu weusi wengi hasa wale wanaoishi Africa
 
HUYU JAMAA MTOA UZI NI MSABATO ,NA WASABATO WANAAMIN WAO NDIO WAISRAEL.YAAN ISRAEL NI KIROHO ZAID KULIKO KIMWILI,HIVYO KIROHO WAISRAEL NI WASABATO
Ingeakua vizuri ungekuja na hoja kuliko unachokifanya kubambikia watu imani hata atuzijui, mimi na usabato wapi na wapi?
Labda ni kwambie tu najua hii hoja nilioileta hapa ulikua hauijui ila umekurupuka tu kuweka comment yako hapa, next time jaribu ata kufanya uchunguzi kidogo thene ndio uje na hoja
 
Simulizi yako ni ya kihisia zaidi kuliko uhalisia kwa mfano: umesema Waarabu wa Misri waliingia nchi hiyo karne ya 7, wakati huo huo unaongelea muingiliano kati ya Wamisri na Waisrael wakati wa Yusufu na nabii Mussa!

Unadhani hao Mafarao, Yusufu na Mussa walikuwa ni race gani?

Umesema Waisrael waliopo sasa siyo wale wa kwenye Biblia bila kuweka uthibitisho wa kisayansi.

Hao wa kwenye Biblia nani aliwafagia wakaisha wote asibakize hata mmoja, kisha akaanza kupachika watu wake wapya na kuwaita Waisrael bila ya kuwa na nasaba yoyote ya eneo hilo.

Na waliopo walitokea Taifa gani kuja kupachikwa hapo na kuitwa ni Waisrael?

Ninaomba uweke viambatanishi vya kihistoria na siyo simulizi za blah blah ama hisia zako binafsi.
Hawa waisrael wa sasa wanatoka katika koo ya Ashkenazi au khazars waliishi Uturuki na wengine waliishi Urusi na Ukraine na wali adopt Judaism karne 8
 
Simulizi yako ni ya kihisia zaidi kuliko uhalisia kwa mfano: umesema Waarabu wa Misri waliingia nchi hiyo karne ya 7, wakati huo huo unaongelea muingiliano kati ya Wamisri na Waisrael wakati wa Yusufu na nabii Mussa!

Unadhani hao Mafarao, Yusufu na Mussa walikuwa ni race gani?

Umesema Waisrael waliopo sasa siyo wale wa kwenye Biblia bila kuweka uthibitisho wa kisayansi.

Hao wa kwenye Biblia nani aliwafagia wakaisha wote asibakize hata mmoja, kisha akaanza kupachika watu wake wapya na kuwaita Waisrael bila ya kuwa na nasaba yoyote ya eneo hilo.

Na waliopo walitokea Taifa gani kuja kupachikwa hapo na kuitwa ni Waisrael?

Ninaomba uweke viambatanishi vya kihistoria na siyo simulizi za blah blah ama hisia zako binafsi.
Hawa waisrael wa sasa wanatoka katika koo ya Ashkenazi au khazars waliishi Uturuki na wengine waliishi Urusi na Ukraine na wali adopt Judaism karne 8
 
Ninyi waafrika mlipoteana wapi mpaka muanze kung'ang'ania mataifa na utaifa wa watu??

Wenzenu rangi nyeupe wako mbele kimaendeleo, kazi yenu ni kusema ooh sisi ndo binadamu wa kwanza, sisi tulikua na maendeleo, sisi ndo wateule...
Kwanini mko chini, kwanini mnahisi kubaguliwa na kunaguana ninyi kwa ninyi??

Hizi kujua Israel ni taifa la nani, ina faida gani kwenu??
 
Ninyi waafrika mlipoteana wapi mpaka muanze kung'ang'ania mataifa na utaifa wa watu??

Wenzenu rangi nyeupe wako mbele kimaendeleo, kazi yenu ni kusema ooh sisi ndo binadamu wa kwanza, sisi tulikua na maendeleo, sisi ndo wateule...
Kwanini mko chini, kwanini mnahisi kubaguliwa na kunaguana ninyi kwa ninyi??

Hizi kujua Israel ni taifa la nani, ina faida gani kwenu??
Wewe mwenyewe huna hoja zaidi unalalamika, kwani wewe unaumia nini ukiona waafrica, wakijisifia kua ni binadamu wa kwanza?

Utumwa wa kifikra ulishawaaribu kazi ni kujidharau na kuwasifia wazungu ndio mnachokijua
 
Hawa waisrael wa sasa wanatoka katika koo ya Ashkenazi au khazars waliishi Uturuki na wengine waliishi Urusi na Ukraine na wali adopt Judaism karne 8
Nimekuuliza swali la msingi sana hauleti jibu.
Nimekuiliza Waisrael original wapo wapi kwa sasa?

Ukiachana na historia ya vita kuu ya kwanza ya dunia, vita kuu ya pili ya dunia na uhuru wa Israel 1947.

Ni mwaka gani ambao waisrael original waliondoshwa wakaisha wote nchini mwao na ni nani aliwaondosha?
 
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturuki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
Unatakiwa uelewe pia jews wamekuwa watu wa kukaa uhamishoni tangu enzi za zamani sana na mara kwa mara.

Mfano: MATENDO 2:5
Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu

Jews waliohamia kwenye baadhi ya nchi (sina uhakika labda ndo hiyo Turkey au German n.k.) ndo walijulikana kama Ashkenazi.

Nafikiri kama ni msomaji wa Biblia mzuri utakuwa umekutana na hilo neno Ashkenazi.

Tatizo ni miaka mingi tangu haya mambo yaandikwe kwa hiyo hakuna namna utathibitisha pasi na shaka kwamba ndo hawa wahusika au sio.

Kama wamezaliana na kuchanganya damu sana kwa miaka mingi kwangu sioni mantiki ya kujadili vinasaba vyao, suala ni wanajitambuaje.

Yesu aliwahi kuwaambia watu, Mungu aweza kumwinulia Ibrahim uzai kutokea mawe, sasa unadhani huo uzao ungekuwa na DNA za Ibrahim?

Of course hilo kwa Mungu linawezekana lakini unadhani ni suala la muhimu kwa Mungu kuangalia DNA ya mtu?

Ukoo wa kifalme wa Daudi mwenyewe umekusanya wageni wa kutosha tu, Suleiman alioa wake kibao wa mataifa mengine kwa hiyo mpaka kufikia leo unadhani bado kuna haja kuangalia vinasaba?
 
Wewe mwenyewe huna hoja zaidi unalalamika, kwani wewe unaumia nini ukiona waafrica, wakijisifia kua ni binadamu wa kwanza?

Utumwa wa kifikra ulishawaaribu kazi ni kujidharau na kuwasifia wazungu ndio mnachokijua
Sote tu watumwa kifikra tumetofautiana mitazamo tu.

Vitabu mnavyotumia kama rejea ya mambo ya kale vimeandikwa na wao kwa lugha zao ninyi mnazitafsiri na kuweka maoni/mawazo yenu...

Nchi zenu ndo hizo historia mlizonazo ni za mkoloni, nyuma ya hapo pia mnatumia zilizoandikwa na mkoloni kwa lugha ya mkoloni.

Binafsi naona hazina msaada wowote maana wazee wenu walikosea kutoweka mambo kwenye maandishi na kuyalinda. Ninyi sasa andikeni historia zenu vizazi vijavyo vielewe ili msiandikiwe tena kama za huko nyuma.
 
Badala uhangaike kutafuta Hela Unahangaika kumjua Kush Sijui Hiyo Kush atakusaidia Nini Kweye Maisha haya yaliojaa Mahangaiko Kila mahali ni Pesa tuuu, SASA WEE MSUBILI CUSH AKULETEE HELA
 
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.

Pia soma:Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

DOGO HUJUI, NA HUNA JIPYA. UNA WAYA WAYA TU KAMA KUKU ALIYEKATWA KICHWA
 
DOGO HUJUI, NA HUNA JIPYA. UNA WAYA WAYA TU KAMA KUKU ALIYEKATWA KICHWA
Hoja upingwa kwa hoja, sasa wewe una hoja, ila umeamua tu kujiandikia tu, mimi naona wewe ndio unaye waya waya.

Leta facts tuone unachokijua sio unaleta mistari ya kwenye taarabu
 
Waisrahell wivi kama wivi wengine wowote wale na walishalaaniwa zamani sana

Laana itawatafuna sana hawa washenzi
 
Hoja upingwa kwa hoja, sasa wewe una hoja, ila umeamua tu kujiandikia tu, mimi naona wewe ndio unaye waya waya.

Leta facts tuone unachokijua sio unaleta mistari ya kwenye taarabu
NI KUPOTEZA MUDA KUZUNGUMZIA KITU KILE KILE MUDA WOTE. YAANI UMELETA MAMBO AMBAYO TAYARI TUNAYAFAHAM. HAMNA JIPYA.
 
Nimekuuliza swali la msingi sana hauleti jibu.
Nimekuiliza Waisrael original wapo wapi kwa sasa?

Ukiachana na historia ya vita kuu ya kwanza ya dunia, vita kuu ya pili ya dunia na uhuru wa Israel 1947.

Ni mwaka gani ambao waisrael original waliondoshwa wakaisha wote nchini mwao na ni nani aliwaondosha?
MWAKA 70 AD MAJESHI YA KIRUMI YALIVAMIA JERUSALEMU NA NA KUCHINJA NA KUHARIBU KILA KITU HADI HEKALU LA SULEIMAN LILIHARIBIWA,.

Yesu aliwatabiria hivi:

LUKA 19
41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,
42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.
43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
44 watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.

LUKA 21
20 Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.
21 Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani, na walio katikati yake wakimbilie nje, na walio katika mashamba wasiuingie.
22 Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili yatimizwe yote yaliyoandikwa.
23 Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya taifa hili.
24 Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata majira ya Mataifa yatakapotimia.
 
Back
Top Bottom