Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za jumapili!

Ni wivu katika jamii au ni jambo gani?

Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika,

Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya na kumhusisha na umalaya, udangaji, ukahaba n.k?

Wakati ûkienda site unakuta hali ni tofauti. Ukipita maeneo yenye madanguro au kwenye dadapoa ni nadra kuona hao Wadada wàzuri. Wengi waliopo ni wakawaida au wenye mionekano isiyovutia.

Au ni kwa nini wanaume Handsome hûjikuta wakipewa maneno makali kama kuhusishwa na ushoga au umario kutoka kwa wale ambao hakubahatika kuwa na mvuto au ambao hawajaolewa na wanaume wenye mvuto. Au hawajabahatika kupata watoto wakiume Handsome.

Tukija kwenye suala la ushoga hata hapa Bongo wale mashoga ambao tayari wameshajipambanua mitandaoni au kwenye vyombo vya habari asilimia 90 sio Handsome. Hatà video zinazovuja mfano ile video ya askari wa Zanzibar pale hakuna Handsome.

Je ni wivu au roho mbaya kwa waliojaliwa. Au mti wenye matunda ndio hupigwa mawe?

Watu wenye utajiri huhusishwa na mambo mabaya kama mauaji, utoaji wa kafara, sîjui freemason, sijui uuzaji wa madawa ya kulevya, kwenda kwa waganga ni.k.

Lakini ukija kwenye utafiti utagundua kuwà Maskini ndio wauaji wakubwa kuliko matajiri. Ripoti zinazotoka kila siku za mauaji kwenye jamii yetu hutoka kwa maskini zaidi kuliko matajiri.

Kuhusu kwenda kwa waganga wa kienyeji maskini wanaongoza. Kuhusu uuzaji wa madawa ya kulevya pia maskini wanaongoza kuanzia ûuzaji wa mirungi, bangi, gongo kote huko maskini anaongoza

Kwanini wenye waliojaliwa wasemwe vîbaya. Ni wivu au kitu gani?

Kwenu wachangiaji.
 
Jaribu kufuatilia kwenye ukurasa wa instagram wa mjariamali fulani , anaitwa niffer kwenye upande wa comments kwa kila anachokipost ,ndio utagundua aina ya uchawi unaozungumzika upo kila kona ya Tanzania. .
 
Jaribu kufuatilia kwenye ukurasa wa instagram wa mjariamali fulani , anaitwa niffer kwenye upande wa comments kwa kila anachokipost ,ndio utagundua aina ya uchawi unaozungumzika upo kila kona ya Tanzania. .
I can attest hili. Tanzania ukiwa unique utachukiwa, ile jamii ina natural hate. Na hate imekuja sababu ya umaskini, they hate fact even muonekano wako unaashiria una pesa. So wanatamani ushuke uwe kama wao
 
Habari za jumapili!

Ni wivu katika jamii au ni jambo gani?
Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika,

Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya na kumhusisha na umalaya, udangaji, ukahaba n.k?
Wakati ûkienda site unakuta hali ni tofauti. Ukipita maeneo yenye madanguro au kwenye dadapoa ni nadra kuona hao Wadada wàzuri. Wengi waliopo ni wakawaida au wenye mionekano isiyovutia.

Au ni kwa nini wanaume Handsome hûjikuta wakipewa maneno makali kama kuhusishwa na ushoga au umario kutoka kwa wale ambao hakubahatika kuwa na mvuto au ambao hawajaolewa na wanaume wenye mvuto. Au hawajabahatika kupata watoto wakiume Handsome.
Tukija kwenye suala la ushoga hata hapa Bongo wale mashoga ambao tayari wameshajipambanua mitandaoni au kwenye vyombo vya habari asilimia 90 sio Handsome. Hatà video zinazovuja mfano ile video ya askari wa Zanzibar pale hakuna Handsome.
Je ni wivu au roho mbaya kwa waliojaliwa. Au mti wenye matunda ndio hupigwa mawe?

Watu wenye utajiri huhusishwa na mambo mabaya kama mauaji, utoaji wa kafara, sîjui freemason, sijui uuzaji wa madawa ya kulevya, kwenda kwa waganga ni.k.
Lakini ukija kwenye utafiti utagundua kuwà Maskini ndio wauaji wakubwa kuliko matajiri. Ripoti zinazotoka kila siku za mauaji kwenye jamii yetu hutoka kwa maskini zaidi kuliko matajiri.
Kuhusu kwenda kwa waganga wa kienyeji maskini wanaongoza. Kuhusu uuzaji wa madawa ya kulevya pia maskini wanaongoza kuanzia ûuzaji wa mirungi, bangi, gongo kote huko maskini anaongoza

Kwanini wenye waliojaliwa wasemwe vîbaya. Ni wivu au kitu gani?

Kwenu wachangiaji.
Hiyo ndo Afrika
 
Ni kweli mkuu.

Hii ni changamoto tunayokutana nayo mahandsome.

Ila ni maeneo ya uswahilini tu mkuu.

Ukiwa upo matawi watoto wa kishua huwa wanapenda sana handsome boys.

Uswahilini kuna wivu na chuki kali sana.

Jitahidi usiishi uswahilini ni kama kuna laana flani hivi.
 
I can attest hili. Tanzania ukiwa unique utachukiwa, ile jamii ina natural hate. Na hate imekuja sababu ya umaskini, they hate fact even muonekano wako unaashiria una pesa. So wanatamani ushuke uwe kama wao
Ni kweli kuwa Tanzania watu wana chuki na mafanikio, muonekano au chochote positive kinachozidi wengine. Kwa mfano: 1. Wana diaspora wanachukiwa na watu wengi ambao hawajatoka nje ya Tanzania 2. Wasanii wengi wenye mafanikio nao wanachukiwa etc. Mimi naona hao watu wenye mafanikio ndiyo huwa ''wanachimba makaburi yao'' wenyewe ya kuchukiwa. Tanzania ukikutana na mtu au msanii mwenye mafanikio, anajisikia na kudharau wengine, wenyewe wanaita kutesa kwa zamu. Diaspora hivyo hivyo ukikutana na mtu aliyeishi USA hata maneno ya kiswahili anajifanya kutamka kama kimarekani.
 
Habari za jumapili!

Ni wivu katika jamii au ni jambo gani?
Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika,

Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya na kumhusisha na umalaya, udangaji, ukahaba n.k?
Wakati ûkienda site unakuta hali ni tofauti. Ukipita maeneo yenye madanguro au kwenye dadapoa ni nadra kuona hao Wadada wàzuri. Wengi waliopo ni wakawaida au wenye mionekano isiyovutia.

Au ni kwa nini wanaume Handsome hûjikuta wakipewa maneno makali kama kuhusishwa na ushoga au umario kutoka kwa wale ambao hakubahatika kuwa na mvuto au ambao hawajaolewa na wanaume wenye mvuto. Au hawajabahatika kupata watoto wakiume Handsome.
Tukija kwenye suala la ushoga hata hapa Bongo wale mashoga ambao tayari wameshajipambanua mitandaoni au kwenye vyombo vya habari asilimia 90 sio Handsome. Hatà video zinazovuja mfano ile video ya askari wa Zanzibar pale hakuna Handsome.
Je ni wivu au roho mbaya kwa waliojaliwa. Au mti wenye matunda ndio hupigwa mawe?

Watu wenye utajiri huhusishwa na mambo mabaya kama mauaji, utoaji wa kafara, sîjui freemason, sijui uuzaji wa madawa ya kulevya, kwenda kwa waganga ni.k.
Lakini ukija kwenye utafiti utagundua kuwà Maskini ndio wauaji wakubwa kuliko matajiri. Ripoti zinazotoka kila siku za mauaji kwenye jamii yetu hutoka kwa maskini zaidi kuliko matajiri.
Kuhusu kwenda kwa waganga wa kienyeji maskini wanaongoza. Kuhusu uuzaji wa madawa ya kulevya pia maskini wanaongoza kuanzia ûuzaji wa mirungi, bangi, gongo kote huko maskini anaongoza

Kwanini wenye waliojaliwa wasemwe vîbaya. Ni wivu au kitu gani?

Kwenu wachangiaji.
Mimi jirani yangu ana sura mbaya kiukweli!!
Ngoja nikisha muuliza binafsi yake anipe mtizamo alio nao kwa tulio mzunguka nitaleta mrejesho.☝️
 
Ni kweli mkuu.

Hii ni changamoto tunayokutana nayo mahandsome.

Ila ni maeneo ya uswahilini tu mkuu.

Ukiwa upo matawi watoto wa kishua huwa wanapenda sana handsome boys.

Uswahilini kuna wivu na chuki kali sana.

Jitahidi usiishi uswahilini ni kama kuna laana flani hivi.
Bongo mwanaume kuwa handsome bila kitu mfukoni sidhani kama inasaidia sana. Hata kama umebeba demu mzuri na mnatembea kwa miguu, akija mwenye gari kali mwenye sura ya kinyago atamnyakuwa demu yako kama mwewe na kifaranga.
 
Wivu wa tajiri kwa maskini ni nn aswa?
Kama wewe ni mwanaume na hauko vzr kiuchumi basi siku moja nenda duka lolote ambalo mhudumu ni mwanamke pisi kali, halafu duka lenyewe liwe na mali kali kali, na tena liwe Kariakoo, huku ukitoa majasho, ulie-lie kupunguziwa bei ndiyo utajua neno ''dharau'' lina maana gani.
 
Kama wewe ni mwanaume na hauko vzr kiuchumi basi siku moja nenda duka lolote ambalo mhudumu ni mwanamke pisi kali, halafu duka lenyewe liwe na mali kali kali, na tena liwe Kariakoo, huku ukitoa majasho, ulie-lie kupunguziwa bei ndiyo utajua neno ''dharau'' lina maana gani.
Bahati mimi ni shori sasa sitojua uchungu mnaopitia 😹😹😹
 
Back
Top Bottom