Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

Ni kweli mkuu.

Hii ni changamoto tunayokutana nayo mahandsome.

Ila ni maeneo ya uswahilini tu mkuu.

Ukiwa upo matawi watoto wa kishua huwa wanapenda sana handsome boys.

Uswahilini kuna wivu na chuki kali sana.

Jitahidi usiishi uswahilini ni kama kuna laana flani hivi.
Aaiiii hata wewe MNEK?? Kwanza badili hiyo avatar inanitisha mie 😂😂
 
Ni kweli mkuu.

Hii ni changamoto tunayokutana nayo mahandsome.

Ila ni maeneo ya uswahilini tu mkuu.

Ukiwa upo matawi watoto wa kishua huwa wanapenda sana handsome boys.

Uswahilini kuna wivu na chuki kali sana.

Jitahidi usiishi uswahilini ni kama kuna laana flani hivi.
Hawa wapuuzi huwq wana pretend wanakuchukia but ukiwakazia vizuri utawaona walivyo dhaifu, huanza kufanya kila unachofanya ni viumbe dhaifu sana kisaikolojia.
 
Ni kweli mkuu.

Hii ni changamoto tunayokutana nayo mahandsome.

Ila ni maeneo ya uswahilini tu mkuu.

Ukiwa upo matawi watoto wa kishua huwa wanapenda sana handsome boys.

Uswahilini kuna wivu na chuki kali sana.

Jitahidi usiishi uswahilini ni kama kuna laana flani hivi.
Huko uzunguni kwenyewe waswahili washafika siku hizi... Nilishangaa sana kukuta vijiwe vya bodaboda Masaki, Mbezi, Upanga na Mikocheni.... Mama ntilie nao bila haya wamejazana huko, sasa sijui ni kutafuta sifa anafanyia biashara Masaki, Mikocheni na Upanga au ni kweli kuna walaji mabarabarani na wapanda bodaboda huko... Mungu na wao wenyewe ndo wanajua.

Na hao ndo huleta uswahili uzunguni hao... Nafkiri hili nalo litizamwe.
 
Sijui kwa hao wengine ila ukiona mwanamme unaanza kujiita handsome boy(wewe ndo unajiita sio waanawake wanakuita) mara nyingi unakuwa hatua moja kabla ya kuanza kuliwa jicho. Wengi wanaojiita mahandsome ukiwauliza demu wako yuko wapi huwa hawana majibu ya kuridhisha.

Cc. Ni yule yule super handsoome
 
Sijui kwa hao wengine ila ukiona mwanamme unaanza kujiita handsome boy(wewe ndo unajiita sio waanawake wanakuita) mara nyingi unakuwa hatua moja kabla ya kuanza kuliwa jicho. Wengi wanaojiita mahandsome ukiwauliza demu wako yuko wapi huwa hawana majibu ya kuridhisha.

Cc. Ni yule yule super handsoome
Hapa tunazungumzia wale natural handsome kwa kuzaliwa na sio kujiita.

Yaani umefika tu Duniani unakuta uko hivyo na hujajichagua.

Sasa wenye sura ngumu kama wewe huwa kufidia mapungufu yenu huanza kuchafua wenzao kama unavyofanya hapa.

Mleta mada hakukosea ni jambo linalotokea kweli.
 
Sijui kwa hao wengine ila ukiona mwanamme unaanza kujiita handsome boy(wewe ndo unajiita sio waanawake wanakuita) mara nyingi unakuwa hatua moja kabla ya kuanza kuliwa jicho. Wengi wanaojiita mahandsome ukiwauliza demu wako yuko wapi huwa hawana majibu ya kuridhisha.

Cc. Ni yule yule super handsoome

Kikawaida hakunaga Handsome anayejiita Handsome.
Ila kuna wale ambao hushindwa kutofautisha utanashati na ûhandsome.
Wale wanaume ambao wengi wao sio Handsome semà hujipodoa na kujivika kisha hujiita Handsome na kutenda mambo kama wanawake. Wengi wao ninaowajua ambao baadhi yao ni maarufu kwenye media hasa wasanii hawapo kwenye nafasi hiyo.

Ni kama wanawake. Wapo wanaojiremba na kujiona wazuri wakati kiasili wao sio wazuri.
Wanashindwa kutofaurisha urembo na uzuri
 
Habari za jumapili!

Ni wivu katika jamii au ni jambo gani?
Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika,

Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya na kumhusisha na umalaya, udangaji, ukahaba n.k?
Wakati ûkienda site unakuta hali ni tofauti. Ukipita maeneo yenye madanguro au kwenye dadapoa ni nadra kuona hao Wadada wàzuri. Wengi waliopo ni wakawaida au wenye mionekano isiyovutia.

Au ni kwa nini wanaume Handsome hûjikuta wakipewa maneno makali kama kuhusishwa na ushoga au umario kutoka kwa wale ambao hakubahatika kuwa na mvuto au ambao hawajaolewa na wanaume wenye mvuto. Au hawajabahatika kupata watoto wakiume Handsome.
Tukija kwenye suala la ushoga hata hapa Bongo wale mashoga ambao tayari wameshajipambanua mitandaoni au kwenye vyombo vya habari asilimia 90 sio Handsome. Hatà video zinazovuja mfano ile video ya askari wa Zanzibar pale hakuna Handsome.
Je ni wivu au roho mbaya kwa waliojaliwa. Au mti wenye matunda ndio hupigwa mawe?

Watu wenye utajiri huhusishwa na mambo mabaya kama mauaji, utoaji wa kafara, sîjui freemason, sijui uuzaji wa madawa ya kulevya, kwenda kwa waganga ni.k.
Lakini ukija kwenye utafiti utagundua kuwà Maskini ndio wauaji wakubwa kuliko matajiri. Ripoti zinazotoka kila siku za mauaji kwenye jamii yetu hutoka kwa maskini zaidi kuliko matajiri.
Kuhusu kwenda kwa waganga wa kienyeji maskini wanaongoza. Kuhusu uuzaji wa madawa ya kulevya pia maskini wanaongoza kuanzia ûuzaji wa mirungi, bangi, gongo kote huko maskini anaongoza

Kwanini wenye waliojaliwa wasemwe vîbaya. Ni wivu au kitu gani?

Kwenu wachangiaji.
Wivu tu ni kawaida ya binaadamu hawapendi kuona vitu vizuri
 
Back
Top Bottom