Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Mabilionea wapo hapa Tanzania.

Labda useme bilionea kwa dola ila mabilionea kwa TZSH wapo kibao wakiwemo wanamuziki na wawekezaji mbalimbali.

Hata kwa wenzetu huko mabilionea ni wachache sana ukilinganisha na idadi yao.
 
Mabilionea wapo hapa Tanzania.

Labda useme bilionea kwa dola ila mabilionea kwa TZSH wapo kibao wakiwemo wanamuziki na wawekezaji mbalimbali.

Hata kwa wenzetu huko mabilionea ni wachache sana ukilinganisha na idadi yao.
Sasa kila mtu akitumia sarafu yake kupima utajiri Zimbabwe si itakuwa imejaa mabilionea na matrilionea.
 
Weusi ambao wangefikia alikuwa Mengi na shirima , ila vifo vyao sijajua kama wameacha mfumo mzuri ila wale vijana wa Mengi wana tamaa labda shirima bado ndege zinafanya poa .

Nilichogundua hawa wenzetu wanapenda kukaa sehemu moja hawana na imani ya kukimbia kwa wazazi wao , wana misingi mzuri ya malezi ya kifamilia sio mtu unaondoka bila ya kujipata ...Wnaishi kariakoo na masaki miaka na miaka wala hutosikia sijui watoto wao wamekimbila Mbeya , Morogora kufauta maisha .
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!

Utajiri wa kupindukia wa nini ndugu?

Kwani ukiwa na mahitaji yote ya msingi haitoshi?

Unadhani kufurahia maisha kunatokana na utajiri wa kupindukia?

Unadhani aina za kina Obama, Clinton, Kenyatta, Msoga, Chura kiziwi na wa namna hiyo hawayafurahii maisha?

Top ten maana yake nini ndugu? Unawajua walamba asali au hujawahi kuwasikia?

Hao si top 10, lakini nao wamo!

Una income isiyo pungua 6m/- kwa mwezi, huna anayekutegemea, una bima ya afya, una nyumba, una gari uko bongo ndani ndani huko:

"Bado haitoshi tu ndugu?"

Msiporidhika hamtaacha kuteka watu!
 
Utajiri was kupindukia was Nini ndugu?

Kwani ukiwa na magitaji yote ya msingi haitoshi?

Unadhani kufurahia maisha kunatokana na utajiri wa kupindukia?

Unadhani aina za kina Obama, Clinton, Kenyatta, Msoga, Chura kiziwi na wa namna hiyo hawafurahii maisha?

Top ten maana yake nini ndugu? Unawajua walamba asali au hujawahi kuwasikia?

Haonsi top 10 lakini wamo!

Una income isiyo pungua 6m/- kwa mwezi, huna anayekutegemea, una bima ya afya, una nyumba, una gari.

Bado haitoshi tu ndugu?

Msiporidhika hamtaacha kuteka watu!
Sijaongelea mahali popote kuhusu kufurahia maisha, unaweza kufurahia maisha hata ukiwa unashindia mihogo, ugali mlenda na dagaa kwenye nyumba ya tembe/udongo huku unatembelea TZ11 maisha yako yote.
 
Matumizi yetu ni beyond means.

Si Tanzania hata Ulaya na Marekani familia za watu weusi ziko nyuma kwenye vipato lakini ziko mbele kwenye Matumizi
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.

Iwe Amerika, Ulaya, Asia, Afrika, Australia, Caribbean. Alipo mtu mweusi kuna upumbavu na vitu vya hovyo hovyo tu.

Ndio maana taifa la Argentina lilifutilia mbali vizazi vya blacks.

Argentina ya leo ina white people.
 
Sijaongelea mahali popote kuhusu kufurahia maisha, unaweza kufurahia maisha hata ukiwa unashindia mihogo, ugali mlenda na dagaa kwenye nyumba ya tembe/udongo huku unatembelea TZ11 maisha yako yote.

Mkuu umeandika kinyonge sana. Kumbe utajiri ni wa nini kama si katika kusaka furaha?

Sina hakika kama ulielewa maana ya kuwa na vyote vyenye kukidhi mahitaji yako ya msingi.

Steve Jobs tajiri gwiji aliyekufa akiwa na miaka 56 tu, ana mengi yasiyokubaliana nawe pasi na kuwa mla mihogo wala dagaa:

IMG_20240916_093900.jpg
 
Sasa kila mtu akitumia sarafu yake kupima utajiri Zimbabwe si itakuwa imejaa mabilionea na matrilionea.
Kwa hiyo mkuu mnatumia sarafu moja ili mabilionea wasiwe wengi katika nchi,yaaninwawe wachache tu ?

Kama lengo ni mabilionea wawe wachache sasa mbona unaleta uzi tena kushangaa jambo hilo la mabilionea kuwa wachache wakati ndio lengo ?😁😁

Kila mmoja apimwe kwa mujibunwa eneo alilopo na sio kwa mujibu wa eneo lingine.

HAta huko majuu mkuu mabilionea interm of dollars ni wachache sana mzee.


Messi
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Kwanza kuna ajenda ya raia feki kukamata wao tu njia kuu za uchumi kibiashara na kiserikali hii ajenda inapiga vita bantu yoyote kuingia kwenye mafanikio ....mengi uliye mtaja hapo aliwahi kulalamika kuhusu hiyo ajenda ...walio nyuma ya hiyo ajenda ndiyo walimkwamisha mengi kwa sababu naye ni mbantu ....kumbuka walio nyuma ya biashara ya gesi ..bwana mengi alipigwa pini na kuzuiliwa kuwekeza kwenye gesi na genge la raia feki ..ambalo kwa sasa linazidi kuwa na nguvu baada ya mmoja wao kuwa rais . ROSTAM AZIZI SIYO MTU MZURI HATA SIKU MOJA.YEYE NDIYEMMOJA WAPO WA KIONGOZI WA HIYO AJENDA .
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Kutokana na historia yetu ni vigumu kumkuta mtu mweusi kuwa tajiri khususan hapa kwetu Bongo, kwanza ukoloni ulitufanya sisi waafrika tuwe tunapigania matumbo yetu tu ila walikuwa ndugu zetu wachache ambao walikuwa na ukwasi, pili baada ya uhuru tulikumbatia siasa za kijamaa ndiyo hapo kabisa tulipoteza hata wale wenye kichache walipokonywa, huenda siasa za ujamaa na Azimio la Arusha yalikuwa mambo yaliyohitajika kwa wakati ule laikini ndiyo sababu kuu za sisi waafrika kutokuwa mabilionea. Baada ya utawala wa mwalimu Nyerere, mzee Rukhsa alifungua milango ya uwekezaji, hapo ndipo kulitokea na kuwa wajanja wengi khususan waliyopo kwenye madaraka walitumia mianya hiyo ya kujinufaisha, kwa kweli kuna viongozi wa serikali ambao wana ukwasi mkubwa lakini hawajionyeshi kutokana na vyanzo vyao vya utajri si vya kihalali, ndiyo maana wanawatumia hao watu wenye asili ya kihindi au kiarabu kufanya nao biashara ili kutuzuga tuliyowengi, lakini tuna mabilionea wengi tu wa kiafrika lakini vyanzo vyetu ni vya mitihani, kuna wenye pesa za majini, kuna wenye pesa za madawa ya kulevya kuna wenye pesa za kutorosha madini kuna wenye kuhomola pesa za miradi alimradi kuna watu wengi waliyopewa dhamana ya madaraka wameyatumia vibaya na kibaya zaidi hizo pesa haziingii kwenye mzunguko wetu wa uchumi kwani wanazipeleka nje ya nchi. Nina uhakika tunao mabilionea wengi tu wa kizawa lakini wanashindwa kujulikanwa kutokana na vyanzo vyao vya pesa ni vya utata.
 
Back
Top Bottom