Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.
Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.
Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.
Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!