Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

Weusi ambao wangefikia alikuwa Mengi na shirima , ila vifo vyao sijajua kama wameacha mfumo mzuri ila wale vijana wa Mengi wana tamaa labda shirima bado ndege zinafanya poa .

Nilichogundua hawa wenzetu wanapenda kukaa sehemu moja hawana na imani ya kukimbia kwa wazazi wao , wana misingi mzuri ya malezi ya kifamilia sio mtu unaondoka bila ya kujipata ...Wnaishi kariakoo na masaki miaka na miaka wala hutosikia sijui watoto wao wamekimbila Mbeya , Morogora kufauta maisha .
Bonite na ipp media mbona bado zipo tangu Mengi afariki 🤔 Yoda Accumen Mo
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Bakhresa sio black, huyo ni mwarabu kafuata kwa baba
 
Mchawi wa mwafrika ni mwafrika mwenzake... Tunauana, kuibiana, kudhulumiana, kuoneana, kutopendana wenyewe Kwa wenyewe. Hatujiamini sisi wenyewe.

Leo hii hakuna mtu mweusi yeyote atakayeku push kwenda mbele zaidi ya dua za baba na mama yako. Hadi ndugu zako hawataki usonge mbele, ukipata kidogo roho zao zinapata tabu sana.

Hatujikubali, Kila kitu utasikia mchina au mzungu kasema hivi na hivi...utasikia tu hili haiwezekani bongo labda ulaya au utasikia hii anaweza mzungu tu au utasikia Kwa wenzetu wako wamefanya hv na hv ila sisi sidhani, Sasa Kwa mifano ya kauli kama hizo tunatoboa kweli?, kama mtu msingi mdogo wa kufanikiwa ni kuamini kuwa unaweza na uwezo huo unao na sababu za kufanikiwa pia unazo lakini sisi hata Imani tu hatuna je niambie unaweza kutoboa hapo? Trust, believe in yourself.

Hujuma na ubadhirifu... Afrika unaweza kuona ww mwenyewe namna gani watu walivyo waroho, niliona video ya raisi mmoja alipinduliwa huko west afrika, wakakuta mabegi mengi makubwa yaliyojaa pesa za kutosha na Nina uhakika kuwa hata hapa pia wapo(viongozi) walio na madollar ya wizi ya kutosha kwenye store, mabegi, droo zao kitu ambacho Kwa mataifa mengine Hilo ni kosa kubwa sana ambalo unaweza kulijutia maisha yako yote.

Hatujali kuhusu future na Wala hatuna mipango nayo... Leo hii utasikia sana tukisema kuwa, kwanza hata huko mbele sijui kuwa nitakuwepo au utasikia kesho ni siku nyingine bana nikifa je? au utasikia huu mradi hata ukifa Mimi sipo nishakufa au nishastaafu au nishakula pesa nishatembea, kauli kama hizi zinaonesha tupo na kiwango gani cha upeo wa kufikiri. Watu kama Mao, Deng, Washington, Japanese emperors, European kings and queens, European scientists unadhani wao walikuwa hawataki kuishi?, ni kwasababu waliamua kujenga Ili watakaokuja waishi vizuri, ni kusudi ndo liliwasukuma.

Upuuzi mkubwa Leo hii, nenda ofisi za umma, nyuma yako au uko sambamba na mhindi au muarabu au mzungu au mchina then linganisha treatment utakayopewa ww na hao niliotaja hapo juu.

Nihitimishe kusema kuwa wengi wetu tuna "UPUMBAVU WA MILELE"
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Ngozi nyeusi ni tatizo tangu Enzi, ndio Maana walikuwa Watumwa na mpaka leo ni Watumwa mpaka kwenye nchi zao

Umasikini na Ujinga hauishi kwao

Hata kujiongoza wenyewe hawawezi
 
Nadhani hapo unaongelea matajiri wa Tanzania,vipi weusi wa kule marekani,mathalan Michael Jackson,utajiri wake ukoje kwa sasa...?
Michael Jackson hakuwahi kuwa kwenye List ya Matajiri USA au Duniani....ila alikuwa Mwanamuziki tajiri

Utajiri wa Mtu mweusi Marekani na Uingereza ni wa kutegemea kuburudisha wengine, yaani Athletics km Basketball, Football na Muziki tu.....sio Teknolojia wala Innovation yoyote

Ni kama kwa Africa Wabantu wana Utajiri wa kuiba hasa katika Siasa
 
Labda Bonite, sina uhakika kama IPP media haijabakia jina tu.
Bonite yenyewe ni Mmarekani yeye Mengi ni Agent tu, ni kama useme Vaseline au BlueBand kwa Kenya....hata kama wana Viwanda still Teknolojia na Msimamizi Mkuu ni Mmarekani na ni yq Wamarekani mpaka OMO, AERIEL, VICKS na zinginezo
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Weipe
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Weupe wanaishi kwa mfumo ulioshikamana. Wahindi huweza kuishi
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Weupe, wana mfumo ulioshikamana kifamilia. Wahindi nimewaona wanakaa
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Weupe wana mfumo imara wa mshikamano kifamilia. Wahindi huishi nyumba moja hata vizazi vinne. Sisi waafrika hatuwezi. Pili, wamefundishwa sana nidhamu ya utunzaji fedha. Tatu wanasaidiana sana na kuaminiana. Tusipowajifunza kiuchumi, tutashangaa wako mawinguni sisi bado tunatafutana kwenye vichuguu vya mchwa. Kulingana, ulevi, uvivu, na kusifia utajiri wao. Mali zao wamezisajili kimakampuni na taratibu za kifedha.
 
Back
Top Bottom