The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Good, souk haram, seeb mabela na makhtur na sehemu zingine ndio maeneo yangu ya kuvinjariOman nilikuwepo mwezi wa 6 Dubai Nimefanya kazi 3yrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good, souk haram, seeb mabela na makhtur na sehemu zingine ndio maeneo yangu ya kuvinjariOman nilikuwepo mwezi wa 6 Dubai Nimefanya kazi 3yrs
Karibu na mabela mbele ya ile fensi ya jeshiVizuri kiongoz hapo souk haram ndo cjui ipo wap
He he he he he!Wafanyakazi wao
Hamuwashirikishi Watoto/familia zenu Toka Wakiwa wadogo Ili kujua thamani ya Mali na mbinu za kuendekeza na kuondoa roho ya choyo.Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.
Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.
Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Waarabu matajiri wakubwaTanzania wamesoma?Tatizo la Tanzania ni Elimu
MTU huwa hapatani na PESA.Waarabu matajiri wakubwabTanzania wamesoma?
Watoto chenga hao walitaka kugawana , bado kesi ya mjane pale .Bonite na ipp media mbona bado zipo tangu Mengi afariki 🤔 Yoda Accumen Mo
Jaribu kutembea uone sio unaongea tu.India kuna Maskini wengi tu
Uarabuni kuna Maskini wengi tu
Somalia kuna mafukara wengi tu
Pemba kuna mafukara wengi tu
Pili waafrika wengi huamini kwenye ubinafsi changu n9 changu tu mwingine atafite chake hata akiwa mwanawe au mtoto hawashikishwi kikamilifu kwenye biashara kama wanahisaMatumizi yetu ni beyond means.
Si Tanzania hata Ulaya na Marekani familia za watu weusi ziko nyuma kwenye vipato lakini ziko mbele kwenye Matumizi
Hakuna watu weusi walioanza biashara miaka ya 1900??Hao watu weusi unaowaongelea hizo biashara wameanza miaka ya 1990. Unataka kuwafananisha na waarabu na wahindi walioanza miaka ya 1900. Kuna mengi ya kujifunza, tuje kuuliza haya maswali in 2100, kutakuwa na Wakinga wengi tu na generational wealth
Wangapi unawajua?Hakuna watu weusi walioanza biashara miaka ya 1900??
Usidanganywe hawajasomaWaarabu matajiri wakubwaTanzania wamesoma?