king kabagwa
Member
- Sep 9, 2024
- 34
- 33
Bro Npo melini na nchi nyingi Nime fika na nita endelea kufika na nchi nyinginezo nyingi tuJaribu kutembea uone sio unaongea tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro Npo melini na nchi nyingi Nime fika na nita endelea kufika na nchi nyinginezo nyingi tuJaribu kutembea uone sio unaongea tu.
Mo ana mastersUsidanganywe hawajasoma
Nilikuwa namjibu huyo aliyenijibu kuwa hawajasomaMo ana masters
Rip subash Patel ana masters
Rip Reginald’s mengi ana masters
Ally awadh ana masters
Shaa wa Sumaria group ana degree
Watoto wa bakhresa wote wana masters
Rostam Aziz ana degree
Na wengine wengi tu
Lazima maskini wawepo huko. Wahindi, waarabu na wasomali hata wazungu matajiri waliopo Tanzania wametoka kwao kutafuta fursa walizozikosa kwao na kuzikuta Tanzania.Jaribu kutembea uone sio unaongea tu.
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.
Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.
Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Watu wengi tunaamini ili uwe Tajiri ni lazima uwe umefeli shuleNilikuwa namjibu huyo aliyenijibu kuwa hawajasoma
Waarabu sio sana , wahindi ni kweli tena asilimia kubwa kwa sababu ndio capitalist wa AsiaLazima maskini wawepo huko. Wahindi, waarabu na wasomali hata wazungu matajiri waliopo Tanzania wametoka kwao kutafuta fursa walizozikosa kwao na kuzikuta Tanzania.
Tunapenda sana yasiyo na tija…. Kama vile kulalamika, siasa, kukata viuno, chuki, majungu, uzushi na ubwegeWengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.
Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.
Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
HahahaSijaongelea mahali popote kuhusu kufurahia maisha, unaweza kufurahia maisha hata ukiwa unashindia mihogo, ugali mlenda na dagaa kwenye nyumba ya tembe/udongo huku unatembelea TZ11 maisha yako yote.