Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

Kwanini watu weusi ni vigumu sana kuwa Top 10 ya matajiri na kujenga utajiri wa vizazi (generational wealth)?

Mo ana masters
Rip subash Patel ana masters
Rip Reginald’s mengi ana masters
Ally awadh ana masters
Shaa wa Sumaria group ana degree
Watoto wa bakhresa wote wana masters
Rostam Aziz ana degree
Na wengine wengi tu
Nilikuwa namjibu huyo aliyenijibu kuwa hawajasoma
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Lazima maskini wawepo huko. Wahindi, waarabu na wasomali hata wazungu matajiri waliopo Tanzania wametoka kwao kutafuta fursa walizozikosa kwao na kuzikuta Tanzania.
Waarabu sio sana , wahindi ni kweli tena asilimia kubwa kwa sababu ndio capitalist wa Asia
 
Mbowe ni Mpemba au unamchulia.poa kisa anapanda karandinga kila siku?
 
Wengi huwa wanapenda kuwaita mabilioniea lakini kiuhulasia bilionea Tanzania mpaka sasa ni mmoja tu Mo Dewji, wengine wote pia wanaotajwa tajwa sana katika hiyo list ya matajiri kumi 10 Tanzania ni Watanzania wenye asili ya waarabu au Wahindi, labda Bakheresa anaweza kuwa na asili ya blacks ila anaonekana amechanganya damu.

Tangu Reginald Mengi atetereke kibiashara na baadaye kufariki hakujatokea mtu mweusi mwingine katika listi ya matajiri wakubwa Tanzania.

Pia kwa nini utajiri wa wahindi na Waarabu umetembea kutoka kizazi kimoja na kuendelea kukuzwa na kizazi kinachofuata ila kwa weusi tajiri mwanzilishi akifa na utajiri unakufa hapo hapo au taratibu na kinachobaki ni kesi za mirathi na vita za wanafamilia!
Tunapenda sana yasiyo na tija…. Kama vile kulalamika, siasa, kukata viuno, chuki, majungu, uzushi na ubwege
 
Sijaongelea mahali popote kuhusu kufurahia maisha, unaweza kufurahia maisha hata ukiwa unashindia mihogo, ugali mlenda na dagaa kwenye nyumba ya tembe/udongo huku unatembelea TZ11 maisha yako yote.
Hahaha
 
Back
Top Bottom