Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

goodluck-gozbert.jpg


goodluck.jpg
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanyakyusa tuna taabu jamani duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
kijana ameamua kuimba Gospel hicho nikitu bora sana ,na kama anapiga business out of it ni sawa pia
wao wanataka Goodluck awe akiitwa kuimba bure popote muda wowote akubari

Wajue kijana anatafuta maisha na amechagua kuimba Gospel kujipatia kipato

hao wanao myooshea vidole wao waangalie Banzi katika maisha yao

Go go go Gooluck
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
Hahaaa hatar sna mkuu...umeua
 
sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
 
Kwa hiyo mtu aliyeamua asitaje kabisa jina la Yesu huyo anaimba muziki wa injili? La hasha! Yawezekana anaimba muziki wenye ujumbe mzuri sana, apewe credit zake kwa hilo. Kwani muziki mzuri lazima uwe wa injili? Kwa nini iwe lazima kumuunganisha na injili ambayo kimsingi haiongelei kabisa? Injili ni ya Yesu Kristo. Kama katika nimbo zake ZOTE hajalitaja jina la Yesu lazima tujiulize kwa nini.

Mkuu huyu ni muimbaji wa nyimbo za dini na dini siyo injili pekee ni zaidi ya hapo ndio mana nkatolea mfano wa zaburi ambayo pia siyo injili.
 
sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
kwani muziki WA injili una sifa zipi?hizo Ni chuki binafsi Tu wote wanaunba injili wapate pesa Na ndo mana show zao nyingi zinalipiwa hakuna show ya bure Ni wachache Sana wanafanya show za bure.Pili unapoandaa compilation ya nyimbo za din uzipendazo unafanya piracy
sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
Mbona wanamsema yeye anaevaa kisharo...binafsi mi naona anapendeza tu maana kumtumikia mungu sio kwamba asipendeze ...mbona hawawasemi watumishi wengine wanawake wanaobandika kope na kujichubuuuuua na wanataja jina la Yesu???mi binafsi namuelewa sana gozbert...maana ujumbe wa nyimbo zake ndo unao matter

mankaaa
 
Back
Top Bottom