Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Masahihisho
Tupatie masahihisho na mamazo yoko mkuu, unasemeaje fursa zote kutengwa kwa waTutsi ambao ni kajamii kadogo ila ndio wanatafuna keki ya taifa huku waHutu ambao ni wengi wakisota kama vijakazi tu na mahohehahe mitaa ya Kigali.
 
Hata Kagame anajua wahutu kwa sasa hawawezi kufanya chochote hofu yake Ni hao hao wenzake, inasemekana hamna watu alikuwa anawaogopa Kama Nyamwasa na Karegeya, lkn pia hao ndio alikuwa kwenye msoto msituni.
Tupe na list ya majenerali wakati wa Habyarimana.
 
Kuna 195+ huko pia walichapana mbaya ,ndio kizazi hicho cha PK kukimbilia Uganda.
Then kurevenge 90-94.
Sawa kabisa, ndio nilikua namjuza mchangiaji kua 1994 haikuwa mara ya kwanza. Hua wanachapana wanatulia wanachapana tena kama cycle ya machafuko amani machafuko tena
 
Mkuu taratibu kwamba visiwa vya kanzu tulienda kupora nini ?! Mchanga au ?! Kwa taarifa yako hako kakisiwa ka Zanzibar kanalishwa na Tanganyika hakana rasilimali yoyote ni vibalagashea na kanzu tu.

Kumbe historia hujui? Pole. Zanzibar ilikuwa na uchumi mzuri zamani, Nyerere aliutamani

He now fears that Nyerereʼs government is trying to gain control over Zanzibarʼs relatively hefty foreign exchange reserves. The two leaders will probably continueto make compromises in order to keep the union going, partly because their prestige would suffer if it were dissolved. Thus the union is likely to muddle along as long as Nyerere and Karume are in power, but few other Tanzanians would mourn its passing.

 
Tusiishie kuwasema wanyarwanda nasi tuna yetu ambayo tunajifanya kuyakataa tena kwa nguvu kubwa.
Tatizo letu ni Udini na sasa tumeanza kuingia kwenye kubaguana kwa ukanda,rai yangu tujiepushe kabisa na ubaguzi wa aina yoyote.
 
Hata Kagame anajua wahutu kwa sasa hawawezi kufanya chochote hofu yake Ni hao hao wenzake, inasemekana hamna watu alikuwa anawaogopa Kama Nyamwasa na Karegeya, lkn pia hao ndio alikuwa kwenye msoto msituni.
Tupe na list ya majenerali wakati wa Habyarimana.
Sinayo list ya mageneral wakati wa Habyarimana ila sidhani kama kuna utofauti maana na yeye alikua ni mkabila sana akichochewa na mkewe aliyeunda mpaka kikosi kazi maalumu cha waHutu.

Tusubiri wakuu wenye list ya mageneral wa wakati ule tujifunze kwa pamoja ilikuaje.
 
Tusiishie kuwasema wanyarwanda nasi tuna yetu ambayo tunajifanya kuyakataa tena kwa nguvu kubwa.
Tatizo letu ni Udini na sasa tumeanza kuingia kwenye kubaguana kwa ukanda,rai yangu tujiepushe kabisa na ubaguzi wa aina yoyote.
Nakubaliana na wewe tunakaugonjwa ka udini japo mkuu hata kama dini ya wavaa nguo nyeupe wanapendelewa ila pia wabeba misalaba pia wanalamba asali tofauti na Rwanda ambako 100% ya fursa ZOTE ni kwa waTutsi.
 
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora ?!
Wahutu wenyewe wanasemaje?
 
Yaani taifa la zaidi ya miaka 1000 lisubiri mpaka mwaka 1964 ndiyo lifanye mapinduzi? Siyo kweli.
Ndio hilo lawezekana kabisa, halafu hiyo miaka 1000 ni upotoshaji tu kwanza hakukuwa na taifa hapo zaidi ya soko la watumwa.
 
Ndio hilo lawezekana kabisa, halafu hiyo miaka 1000 ni upotoshaji tu kwanza hakukuwa na taifa hapo zaidi ya soko la watumwa.

Kwani taifa maana yake nini mpaka useme Zanzibar haikuwa taifa?
 
Back
Top Bottom