Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa mali binafsi ya Sultan sio taifa.Kwani taifa maana yake nini mpaka useme Zanzibar haikuwa taifa?
PAKA akifa lazima part itokee.Paka hataki kuacha mfumo hata akifa uendelee.paka ndie mfumo na mfumo ndio pakaHawa jamaa mauaji ya kimbari part 2 yatatokea tena.
Ni suala la muda tu.
Waswahili wanasema muda utaongea
Leo wabelgiji awapoHii propaganda ilipandikizwa na wabergiji kuwa Wahutu ni Bora kuliko watutsi, Cha ajabu wote ni wanyarwanda na wote wanaongea kinyarwanda. Wadhungu wabaya sana. Dhana hii ipo sana Cameron na Nigeria
Mvungi ni ishu ya katiba,mwaikusa ...paka.Ndo maana wakina Kagame wakabadili historia kwa kutunga sheria ya Genocide denial ya kusema kwamba yale mauaji ya mwaka 1994 yalikua dhidi ya watutsi wakati wahutu na pia waliuwawa..yule wakili Jwani Mwaikusa kwenye ile kesi iliokua ikiendea huko ICTR alikua anaenda kuonesha kwamba na Kagame alihusika kwenye mauaji na sio watutsi tu ndo walikua target ndo ikatokea vile jamaa akatolewa kafara pamoja na Ssengondo Mvungi...
Lakini kwa mara nyingine harufu ya mapanga inanukia kwa mbaaaliLeo wabelgiji awapo
One man show, the show of one man on a single stage of his own.PAKA akifa lazima part itokee.Paka hataki kuacha mfumo hata akifa uendelee.paka ndie mfumo na mfumo ndio paka
Hawa jamaa walimpa mfalme wa wahutu binti wa kitusi amuoe, halafu mtu wa kwao akaja kumtia mimba. Chifu akalea akijua ni mtoto wake, na happ ndiyo uongozi wa eneo zima ukaangukia mikono yaoWalijiongeza baada ya kukaribishwa View attachment 2281973
Vita ni mbaya ila nilitamani wakati ule Jk alivyotaka kukinukisha, majeshi yetu yangekazingira hako kakitongoji tukapige kila upande na wanawake wao tuwannje.Katika vitu pk alivyofeli ni kuwaunganisha warwanda kwa kuondoa ukabila badala yake yeye ndio kazidisha ukabila,now ana maadui nje ya rwanda,ana uadui na wahutu na vile vile hata kuna baadhi ya watutsi wenzake apatani nao,naona anajimwambifai kuhusu vita ya congo naamini akijaribu kuingia deep kwenye ile vita achukui round kwa jinsi alivyocreate maadui
Sidhani kama ingukua hivyo.Wasukuma walikuwa wanaelekea huko.Mungu fundi
Nadhan hujawahi kuishi na hawa watu mkuuSidhani kama ingukua hivyo.
Uraia wa Tanzania sio pipi kuwa na adabuwahutu wote wapewe uraia Tanzania, Rwanda waachwe wakae Watutsi peke yao. Tena wahutu huku wapewe ardhi kilwa, Lindi, na Songea huko, hapo tatizo litakuwa jumla.
Lolote linaweza kutokea wakati wowote.
Mkuu kanisa halina mandetory authority yoyote wakileta ushauri au mwenendo usioshabiiana na serikali, serikali inaweza kufutilia mbali usajili.Katika kitabu chake cha RWANDA BEFORE THE GENOCIDE. mwandishi J.J.Carney analilaumu kanisa la Catholic kw a kushindwa kuliokoa taifa dhidi ya mauaji ya kimbali . Tena Taifa ambalo 90% ya raia wake ni wakristo na zaidi ya 70% ni waumini wa kanisa hilo kwa uzembe kama huu unaoendelea Rwanda.
Jamaa anasema kabla ya vita viashilia vilionesha kabisa kuwa kuna tabaka halitendewi haki nchini humo na kanisa waliliona na kulitambua jambo hilo cha kushangaza badala ya kukemea ndo kwanza kanisa likachochea zaidi. The rest is history.
Sasa inabidi utoe angalizo la sisi kuimalisha ulinzi maeneo husika na sio huo upuuzi wa uhutuAisee, hebu nigusie kiduchu, baada ya 1994 genocide mpaka leo mikoa yetu ya Kagera na Kigoma imenajisiwa na waRwanda mali na rasilimali zetu nyingi kama mifugo na mazao yameporwa kuelekea Rwanda kulisha wapiganaji.
Ujambazi uliongezeka kwa silaha kupatikana kiholela mpaka leo kuna silaha haramu nyingi sana hapo Ngara na imekua soko la silaha haramu kuendea kote nchini kwetu.
Nimeishi nao sana mkuu na hata wakati wa jiwe miaka ya mwanzo nilifanya nao kazi kazi katika taasisi fulani ya serikali, wengi wao ni watu poa sana hawana nongwa. Sema jiwe alikua tu na mapungufu yake.Nadhan hujawahi kuishi na hawa watu mkuu