Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Siasa za Rwanda na Burundi Zina mambo mengi Sana. Miaka ya 90's Rwanda ilikuwa chini ya Wahutu na Burundi ikiwa chini ya Watutsi ambao waliweza hata kumuua Rais aliyekuwa Mhutu. Leo Rwanda iko chini ya Mtutsi na Burundi iko chini ya Wahutu.

Ila binafsi naona nchi ikiwa chini ya uongozi wa walio wengi inakuwa vyema zaidi kuliko kuongozwa na walio wachache.
 
Mkuu kupora mali gani Rwanda ?! Kwanza migogoro ya ardhi isiyo hata na rutba kati ya Tutsi na Hutu mmeimaliza ?! Yani Tanzania ikapore mali Rwanda ?! Aisee nikichekesho.
Labda anamaanisha tukapore zile mali ambazo Rwanda amepora huko Congo.
 
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora?

View attachment 2281960

anaeongoza anadhani yy n mungu ataishi milele!!
sijui huyu jamaa huwa anawaza nn
 
Watutsi ni akili kubwa harafu acha uongo mbona waziri mkuu ni mhutu
 
Apo kwanza ncheke. Rwanda ka nchi kadogo kanazidiwa kilomita za mraba na singida afu kana mageneral 4 stars wanne. PK is no longer safe at all.
 
Ndo maana wakina Kagame wakabadili historia kwa kutunga sheria ya Genocide denial ya kusema kwamba yale mauaji ya mwaka 1994 yalikua dhidi ya watutsi wakati wahutu na pia waliuwawa..yule wakili Jwani Mwaikusa kwenye ile kesi iliokua ikiendea huko ICTR alikua anaenda kuonesha kwamba na Kagame alihusika kwenye mauaji na sio watutsi tu ndo walikua target ndo ikatokea vile jamaa akatolewa kafara pamoja na Ssengondo Mvungi...
Serikali ya magogoni au TISS wanasemaje?
 
Ndo maana wakina Kagame wakabadili historia kwa kutunga sheria ya Genocide denial ya kusema kwamba yale mauaji ya mwaka 1994 yalikua dhidi ya watutsi wakati wahutu na pia waliuwawa..yule wakili Jwani Mwaikusa kwenye ile kesi iliokua ikiendea huko ICTR alikua anaenda kuonesha kwamba na Kagame alihusika kwenye mauaji na sio watutsi tu ndo walikua target ndo ikatokea vile jamaa akatolewa kafara pamoja na Ssengondo Mvungi...
ICTY na ICTR zimeacha sintofahamu kubwa na maswali mengi kuliko majibu. ICTR ilipekea mamlaka (Jurisdiction) ya kusikiliza kesi kwenye mauaji ya mwaka 1994 tu, ilhali kulikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil War) vilivyoanza mwaka 1990.

Vilevile kule ICTY walioshitakiwa ni Ethnic-Serbians peke yake huku Croatians wakiachwa kwa wingi, na wengine kama Raisi wao aliyeua maelfu ya Serbians kuachwa. Ishu ya Albanian Muslims haikuguswa kabisa.

Hii haki ya kuchagua (Selective Justice) bila kugusa mzizi wa tatizo ndiyo inafanya Rwanda na Former Yugoslavian States kuwa kwenye kikaango cha moto. Leo hii Serbia anaweza kuwatandika Kosovo muda wowote ule. Huku Rwanda na Uganda Kagame akiondoka yanaweza kutokea matatizo makubwa mno.

NB: Dr Ssengondo Mvungi alifariki kisa katiba.
 
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora?

View attachment 2281960

Ngongo
 
ICTR ilipekea mamlaka (Jurisdiction) ya kusikiliza kesi kwenye mauaji ya mwaka 1994 tu, ilhali kulikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe (Civil War) vilivyoanza mwaka 1990.
Vita vya 1990-1993 vilikuwa baina ya majeshi pinzani, sio vya kulenga kuangamiza jamii fulani tu.

Ila naamini hata Drc inastahili mahakama ya aina hiyo juu ya uhalifu uliotendeka huko.

mtu chake zitto junior Moronight walker
JokaKuu
 
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora?

View attachment 2281960
20221224_221410.jpg
 
Back
Top Bottom