Kwanini wazazi huwa na upendeleo kwa baadhi ya watoto na wengine hubaguliwa?

Kwanini wazazi huwa na upendeleo kwa baadhi ya watoto na wengine hubaguliwa?

Binadamu hana uwezo wa kupenda kwa moyo moja watu zaidi ya wawili hiyo ni nature tu. Hata ukioa wake wanne, mmoja ndio unayempeda zaidi. Hata mademu wakiwa na wanaume hata 10, aliyepo moyoni mwake ni mmoja tu. Hiyo ni nature tumeumbwa hivyo binadamu.
Sawa
 
Mama yangu anapenda watoto wanne zaidi
Bibi alipenda wajukuu wa kiume,tukienda sie hana habari anaona kawaida tu hata kama hajatuona siku nyingi ila akisikia wanakuja wajukuu wa kiume weee zitachinjwa kuku,Litapikwa pilau,juis weee utasikiia akiwahug hao [emoji23][emoji23]
Aisee haya
 
Ahah unaweza kuwa mpole na hupendwi tu.
Uko sahihi nina watoto 3 mmoja menicopy kila kitu ,ila kuna mmoja ni mtundu sana ,fujo nyingi ila huyu sipindui akiguswa hata na mama yake anajua reaction inayotokea
 
Kwema WanaJF,

Huwa najiuliza kwa nini inatokeaga hivi, mfano kwenye familia yetu hii ipo Sana Kuna watoto pendwa hawawezi lala njaa hata kama hawana hela wanapewa na ni watu wazima na familia zao ila kwa wengine hata ukiomba elfu tano tu hupewi, unashinda njaa daily, mwenzio anaweza pewa mpaka laki tano akitaka.

Najiuliza jinsi ya kukabiliana na haya Ni njia ipi itumike.
Me mama angu akisikia tu naumwa nusu saa yupo mlangoni kwangu.
 
Huo ni
uko sahihi nina watoto 3 mmoja menicopy kila kitu ,ila kuna mmoja ni mtundu sana ,fujo nyingi ila huyu sipindui akiguswa hata na mama yake anajua reaction inayotoke
Hiyo sio sawa mkuu jitahidi kubalance mambo
 
Ni kawaida tu mkuu kila familia ina icho kitu

Hata wewe ukiwa na watoto utajione so kama bahati haikua upande wako relax na wala usionyeshe chuki yeyote
 
mh na kuna wazazi wengine wanapenda watt wenye hela tuu..
 
Upendo haugawanyiki kama mzazi unajitahidi kadri ya uwezo wako kubalance watoto wasishtuke kua unampendelea fulani. Halafu familia nyingine unakutwa yule anayependwa na mama ndio kimeo kweli
 
Mama yangu anapenda watoto wanne zaidi
Bibi alipenda wajukuu wa kiume,tukienda sie hana habari anaona kawaida tu hata kama hajatuona siku nyingi ila akisikia wanakuja wajukuu wa kiume weee zitachinjwa kuku,Litapikwa pilau,juis weee utasikiia akiwahug hao [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom