chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
-
- #21
SawaBinadamu hana uwezo wa kupenda kwa moyo moja watu zaidi ya wawili hiyo ni nature tu. Hata ukioa wake wanne, mmoja ndio unayempeda zaidi. Hata mademu wakiwa na wanaume hata 10, aliyepo moyoni mwake ni mmoja tu. Hiyo ni nature tumeumbwa hivyo binadamu.
Aisee hayaMama yangu anapenda watoto wanne zaidi
Bibi alipenda wajukuu wa kiume,tukienda sie hana habari anaona kawaida tu hata kama hajatuona siku nyingi ila akisikia wanakuja wajukuu wa kiume weee zitachinjwa kuku,Litapikwa pilau,juis weee utasikiia akiwahug hao [emoji23][emoji23]
Uko sahihi nina watoto 3 mmoja menicopy kila kitu ,ila kuna mmoja ni mtundu sana ,fujo nyingi ila huyu sipindui akiguswa hata na mama yake anajua reaction inayotokeaAhah unaweza kuwa mpole na hupendwi tu.
Me mama angu akisikia tu naumwa nusu saa yupo mlangoni kwangu.Kwema WanaJF,
Huwa najiuliza kwa nini inatokeaga hivi, mfano kwenye familia yetu hii ipo Sana Kuna watoto pendwa hawawezi lala njaa hata kama hawana hela wanapewa na ni watu wazima na familia zao ila kwa wengine hata ukiomba elfu tano tu hupewi, unashinda njaa daily, mwenzio anaweza pewa mpaka laki tano akitaka.
Najiuliza jinsi ya kukabiliana na haya Ni njia ipi itumike.
Hiyo sio sawa mkuu jitahidi kubalance mambouko sahihi nina watoto 3 mmoja menicopy kila kitu ,ila kuna mmoja ni mtundu sana ,fujo nyingi ila huyu sipindui akiguswa hata na mama yake anajua reaction inayotoke
Haya sawaMe mama angu akisikia tu naumwa nusu saa yupo mlangoni kwangu.
Hiyo iko wazi ndugu yanguTatizo unapima upendo kwa vitu na pesa, dawa hapo ni kutafuta vya kwako tu.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Mi Niko normal mkuu Sina tatizoNi kawaida tu mkuu kila familia ina icho kitu
Hata wewe ukiwa na watoto utajione so kama bahati haikua upande wako relax na wala usionyeshe chuki yeyote
Tushazoea japo dini inakataza kubagua watoto au wajukuu lakin hawaweziAisee haya
Poa poaAchana na hayo mambo, fanya mambo mengine...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama yangu anapenda watoto wanne zaidi
Bibi alipenda wajukuu wa kiume,tukienda sie hana habari anaona kawaida tu hata kama hajatuona siku nyingi ila akisikia wanakuja wajukuu wa kiume weee zitachinjwa kuku,Litapikwa pilau,juis weee utasikiia akiwahug hao [emoji23][emoji23]