Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu