Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?

Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1697914469135.png

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.

Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.

Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.

Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?

Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
 
Nafikiria hujui hao wanaitwa wayahudi wa sasa ni miongoni mwa wazungu na wanaishi katika nchi za wazungu karibia zote na wengi ni matajiri na wanasiasa ....Kaangalie population yao wanaoishi nje ya nchi yao yaani israel ni wachache kuliko wanaoishi na kufanya kazi na wazungu.

Hao ni ndugu kabisa .
 
Nafikiria hujui hao wanaitwa wayahudi wa sasa ni miongoni mwa wazungu na wanaishi katika nchi za wazungu karibia zote na wengi ni matajiri na wanasiasa ....Kaangalie population yao wanaoishi nje ya nchi yao yaani israel ni wachache kuliko wanaoishi na kufanya kazi na wazungu.

Hao ni ndugu kabisa .
Najua sana kuwa wanaojiita wayahudi ni matapeli wa kizungu wanaotumika kutishia mataifa ya kiarabu wala si waisrael kama wanavyoiaminisha dunia
 
Ni rahisi kujenga misikiti uingereza Kwa wazungu kuliko kujenga kanisa Oman,in General waarabu ni wabaguzi kwa asili..waulize babu zetu waliowachukua ujiji na bagamoyo kuwapeleka kwao wapo??Ni rahisi kuoa Mzungu Kwa mtu mweusi kuliko kuoa Mwarabu..
Wote ni wale wale. Ukiona mzungu kaoelwa na mswahili ujue ima ana fedha nyingi, nafasi nzuri, hana wa kumuoa, ana matatizo ya kitabia hata kiafya n.k. Kwa tuliowahi kuishi nchi zao, tofauti ya wazungu na waarabu na wazungu ni kwamba angalau wanatoa uhuru kwa mabinti zao kuchagua kuliko waarabu wahindi na washenzi wengine. Mfano, ukienda Marekani na Kanada, mimama ya kizungu minene ambayo wazungu hawapendi kuoa, iko tayari kuolewa na yoyote
 
View attachment 2788565

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha. Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu. Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi. Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu? Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Muulize Hama's
 
Najua sana kuwa wanaojiita wayahudi ni matapeli wa kizungu wanaotumika kutishia mataifa ya kiarabu wala si waisrael kama wanavyoiaminisha dunia
Ukiangalia takwimu wanakuambia kwamba 46% ya jews wanaishi nje ya israel ila kiukweli hao jamaa wanaishi nje ya israel ni wengi kabisa kuliko wanaoishi ndani ya israel..


Ni wabaguzi hakuna na wanapenda vocation sana yaani hao kusafiri ni sehemu ya maisha yao , ni makatili kinyama yaani .
 
View attachment 2788565

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha. Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu. Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi. Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu? Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Saikolojia ya Magharibi imeathirika na kuamini bila chembe ya shaka kwamba waarabu ni watu hatari na ni adui namba moja wa uhai na istawi wao kiuchumi na kijamii maeneo mbalimbali duniani.

Ni muendelezo wa uadui wa kihistoria.
Kipindi cha ukoloni na kabla ya technologia mwarabu alikua akimtandika sana mzungu na kunyakua maeneo yake mathalani Mombasa.

hivi sasa vise versa is true kwa mchango wa technologia.
 
Saikolojia ya Magharibi imeathirika na kuamini bila chembe ya shaka kwamba waarabu ni watu hatari na ni adui namba moja wa uhai na istawi wao kiuchumi na kijamii maeneo mbalimbali duniani.

Ni muendelezo wa uadui wa kihistoria.
Kipindi cha ukoloni na kabla ya technologia mwarabu alikua akimtandika sana mzungu na kunyakua maeneo yake mathalani Mombasa.

hivi sasa vise versa is true kwa mchango wa technologia.
Siyo kweli. Shida ya mwaarabu
1. Anajiona mwenye haki na thamani kuliko watu wengine kwa dini yake. Hapo yeye ndiyo binadamu wengine wanyama
2. Ugaidi, mwaarabu akihisi harufu ya mabikra 72 huko akhera. Anavaa mabomu anaenda kujilipua au kuchinja watu ovyo
3. Kuanzisha vikundi vya kigaidi vinavyoua watu, kubaka na kuiba kwa kueneza dini ya uislamu, Boko Haram, Al shabab, Al qaeda, Islamic state
4. Mwaarabu hana akili. Muda wowote anaweza kufanya mambo ya ajabu yakakushangaza. Mfano hai Libya, wamevuruga mji wao wakisingizia Marekani wakati Marekani bunduki zinauzwa madukani km pipi. Ukifikisha miaka 18 unaenda kununua ila hautakaa sikia wanagombea madaraka
5. Siyo mstaarabu. Anaweza kukuchinja kwasababu ya kutetea dini yake. Mfano hai, ni Iran, binti wa watu amechinjwa kwasabb hajafunika kichwa
6. Wanawake hawaruhusiwi kuendesha gari, kusoma, kusuka, kuangalia mpira, kujifunza masomo ya ufundi au kufanya kazi yoyote mfano hai Afghanistan, na Saudia Arabia
 

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.

Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.

Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.

Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?

Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Kuna unafiki dunia hii. Kiongozi wa conference ya tech inayoitwa web summit ambapo ingefanyika november na kuhudhuriwa na kampuni kubwa kama alphabet inc, meta, intel corp, siemens na nyinginezo alitoa kauli kwenye tweeter a.k.a X kwa kusema, war crimes are war crimes haijalishi zimekuwa committed na allies. Akiisema Israel kwa kurudisha mashambulizi kwa kupoga mabomu kwenye makazi ya watu. Lile ni jeshi si kikundi cha kigaidi au wanamgambo hivyo kuna vitu hawawezi fanya na ndio maana makundi kama wegner au black water hutumika kufanya dirty jobs za serikali kwakuwa si part ya jeshi.
Sasa kwa kauli yake hiyo, meta, alphabet inc, siemens, intel wamejitoa kwenye conference na wanamtaka aombe msamaha.
Laiti kama ingekuwa nchi nyingine imeshambuliwa na wanamgambo ikajibu kwa kushambulia makazi ya watu pia basi story ingekuwa tofauti.
 
Kuna unafiki dunia hii. Kiongozi wa conference ya tech inayoitwa web summit ambapo ingefanyika november na kuhudhuriwa na kampuni kubwa kama alphabet inc, meta, intel corp, siemens na nyinginezo alitoa kauli kwenye tweeter a.k.a X kwa kusema, war crimes are war crimes haijalishi zimekuwa committed na allies. Akiisema Israel kwa kurudisha mashambulizi kwa kupoga mabomu kwenye makazi ya watu. Lile ni jeshi si kikundi cha kigaidi au wanamgambo hivyo kuna vitu hawawezi fanya na ndio maana makundi kama wegner au black water hutumika kufanya dirty jobs za serikali kwakuwa si part ya jeshi.
Sasa kwa kauli yake hiyo, meta, alphabet inc, siemens, intel wamejitoa kwenye conference na wanamtaka aombe msamaha.
Laiti kama ingekuwa nchi nyingine imeshambuliwa na wanamgambo ikajibu kwa kushambulia makazi ya watu pia basi story ingekuwa tofauti.
Okay sawa
 
Kwasababu muarabu hapendi ushoga alafu mzungu anaona kuwa shoga ni haki yake ya msingi
 
Back
Top Bottom