Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Nnnn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ndiyo maana kwa mapenzi yao waliwapeleka babu zako utumwanifuatilia acha uzezeta wazungu hawana njaa kama waarab , wazungu wana mapenz ya kwel ila waarab wabaguz sana hawatak bint zao zichanganyike na sisi labda kama mswahili ana ela
kwamba kichwan hazijatimia , ulaya waarab wanaish na kupewa hadi uraia ila uarabu mzungu haruhusiw hata kumilik pikipiki , huon kuwa waarab wabaguz?Saikolojia ya Magharibi imeathirika na kuamini bila chembe ya shaka kwamba waarabu ni watu hatari na ni adui namba moja wa uhai na istawi wao kiuchumi na kijamii maeneo mbalimbali duniani.
Ni muendelezo wa uadui wa kihistoria.
Kipindi cha ukoloni na kabla ya technologia mwarabu alikua akimtandika sana mzungu na kunyakua maeneo yake mathalani Mombasa.
hivi sasa vise versa is true kwa mchango wa technologia.
unaandika yote ila kuonesha na ww ni gaidi huon makosa ya hamasKuna unafiki dunia hii. Kiongozi wa conference ya tech inayoitwa web summit ambapo ingefanyika november na kuhudhuriwa na kampuni kubwa kama alphabet inc, meta, intel corp, siemens na nyinginezo alitoa kauli kwenye tweeter a.k.a X kwa kusema, war crimes are war crimes haijalishi zimekuwa committed na allies. Akiisema Israel kwa kurudisha mashambulizi kwa kupoga mabomu kwenye makazi ya watu. Lile ni jeshi si kikundi cha kigaidi au wanamgambo hivyo kuna vitu hawawezi fanya na ndio maana makundi kama wegner au black water hutumika kufanya dirty jobs za serikali kwakuwa si part ya jeshi.
Sasa kwa kauli yake hiyo, meta, alphabet inc, siemens, intel wamejitoa kwenye conference na wanamtaka aombe msamaha.
Laiti kama ingekuwa nchi nyingine imeshambuliwa na wanamgambo ikajibu kwa kushambulia makazi ya watu pia basi story ingekuwa tofauti.
hamas ni jeshi rasmi kama idf so likipiga linajibiwa hivyo hivyo hakuna kutia huruma , mtatia huruma wenumyew mliolianzishaKuna unafiki dunia hii. Kiongozi wa conference ya tech inayoitwa web summit ambapo ingefanyika november na kuhudhuriwa na kampuni kubwa kama alphabet inc, meta, intel corp, siemens na nyinginezo alitoa kauli kwenye tweeter a.k.a X kwa kusema, war crimes are war crimes haijalishi zimekuwa committed na allies. Akiisema Israel kwa kurudisha mashambulizi kwa kupoga mabomu kwenye makazi ya watu. Lile ni jeshi si kikundi cha kigaidi au wanamgambo hivyo kuna vitu hawawezi fanya na ndio maana makundi kama wegner au black water hutumika kufanya dirty jobs za serikali kwakuwa si part ya jeshi.
Sasa kwa kauli yake hiyo, meta, alphabet inc, siemens, intel wamejitoa kwenye conference na wanamtaka aombe msamaha.
Laiti kama ingekuwa nchi nyingine imeshambuliwa na wanamgambo ikajibu kwa kushambulia makazi ya watu pia basi story ingekuwa tofauti.
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Mtu mjanja na mwenye kujiamini hamfuati mtu yeyote bali anachojua na kuamua. Mie ni mtafiti na msomiWewe ni mfuasi waa mudy
War crimes ni war crimes jeshi la nchi hliruhusiwi kushambulia makazi ya raia ni vile mahaba yamewajaa tuunaandika yote ila kuonesha na ww ni gaidi huon makosa ya hamas
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Racism ipo mpaka USA ambapo kuna wakristo watupu sio uarabuni pekee. Nilichotaka kusema ni kwamba kizazi cha watu weusi kipo mpaka huko uarabuni na sio kweli kuwa walihasiwa sijui waliuawa n.kUnajua weusi walioko huko wanapitia yapi au unajiandikia au ni mmojawapo wa wabaguzi mavi hawa?
Hebu angalia hii kitu
![]()
Time ticking for India’s Jarawa tribe
The Jarawa tribe in India’s Andaman islands face extinction as poaching and tourism threaten their survival.www.aljazeera.com
Ukitaka nikupe nchi moja baada ya nyingine wewe sema tu mwanangu![]()
Confronting anti-black racism in the Arab world
The Arab slave trade is a fact of history, and anti-black racism in the region is something that must be addressed.www.aljazeera.com
Hata ukristo pia, rejea Joshua alipoambiwa achinje kila mtu hapo canaan. Pia Elia alipochinja manabii almost elfu 4!!kiisalaamu toka kuanzishwa kwake ilikuwa inatumia upanga sio.hiari ya mtu
Mwarabu wa wapi hapendi ushoga??Kwasababu muarabu hapendi ushoga alafu mzungu anaona kuwa shoga ni haki yake ya msingi
Pole sanaWaislamu popote walipo ni fujo tu.
Pole sanaSiyo kweli. Shida ya mwaarabu
1. Anajiona mwenye haki na thamani kuliko watu wengine kwa dini yake. Hapo yeye ndiyo binadamu wengine wanyama
2. Ugaidi, mwaarabu akihisi harufu ya mabikra 72 huko akhera. Anavaa mabomu anaenda kujilipua au kuchinja watu ovyo
3. Kuanzisha vikundi vya kigaidi vinavyoua watu, kubaka na kuiba kwa kueneza dini ya uislamu, Boko Haram, Al shabab, Al qaeda, Islamic state
4. Mwaarabu hana akili. Muda wowote anaweza kufanya mambo ya ajabu yakakushangaza. Mfano hai Libya, wamevuruga mji wao wakisingizia Marekani wakati Marekani bunduki zinauzwa madukani km pipi. Ukifikisha miaka 18 unaenda kununua ila hautakaa sikia wanagombea madaraka
5. Siyo mstaarabu. Anaweza kukuchinja kwasababu ya kutetea dini yake. Mfano hai, ni Iran, binti wa watu amechinjwa kwasabb hajafunika kichwa
6. Wanawake hawaruhusiwi kuendesha gari, kusoma, kusuka, kuangalia mpira, kujifunza masomo ya ufundi au kufanya kazi yoyote mfano hai Afghanistan, na Saudia Arabia
Acha uongo bhana wazungu wanaoa na kuolewa na race yyte ile wao wanaamini katika real love..Wote ni wale wale. Ukiona mzungu kaoelwa na mswahili ujue ima ana fedha nyingi, nafasi nzuri, hana wa kumuoa, ana matatizo ya kitabia hata kiafya n.k. Kwa tuliowahi kuishi nchi zao, tofauti ya wazungu na waarabu na wazungu ni kwamba angalau wanatoa uhuru kwa mabinti zao kuchagua kuliko waarabu wahindi na washenzi wengine. Mfano, ukienda Marekani na Kanada, mimama ya kizungu minene ambayo wazungu hawapendi kuoa, iko tayari kuolewa na yoyote
Huo ni uyahudi sio ukrisoHata ukristo pia, rejea Joshua alipoambiwa achinje kila mtu hapo canaan. Pia Elia alipochinja manabii almost elfu 4!!
Si Yesu ni Mungu? Sasa kama aliagiza manabii feki wachinjwe how's that different kwa ulivyodai wanafanya waislam?Huo ni uyahudi sio ukriso
Ukristo ulianza baada ya kristo
Wewe mwenyewe kwa namna unavyowataja wayahudi tayari unaonyesha chuki dhidi yao.
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.Pole sana