Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?

Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?


Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.

Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.

Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.

Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?

Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Wazungu waliwabagua Sana na kuwaua Wayahudi huko kwao miaka ya nyuma, kwa Sasa wanawatetea kwa nguvu zote Kama njia ya kujisafisha na madhila ya nyuma ndio maana wanafumbia macho yanaowakumba Wapalestina.

Kwa ufupi Israel ya sasa imekuwa zaidi ya Africa Kusini ya kina Botha (makaburu) na dunia ipo kimya na haina ubavu mbele ya ubeberu wa kimagharibi.

Arab league ndio hiyo imekuwa Kama AU tu

zitto junior JokaKuu FRANC THE GREAT The Boy Wonder T14 Armata
 
Siyo kweli. Shida ya mwaarabu
1. Anajiona mwenye haki na thamani kuliko watu wengine kwa dini yake. Hapo yeye ndiyo binadamu wengine wanyama
2. Ugaidi, mwaarabu akihisi harufu ya mabikra 72 huko akhera. Anavaa mabomu anaenda kujilipua au kuchinja watu ovyo
3. Kuanzisha vikundi vya kigaidi vinavyoua watu, kubaka na kuiba kwa kueneza dini ya uislamu, Boko Haram, Al shabab, Al qaeda, Islamic state
4. Mwaarabu hana akili. Muda wowote anaweza kufanya mambo ya ajabu yakakushangaza. Mfano hai Libya, wamevuruga mji wao wakisingizia Marekani wakati Marekani bunduki zinauzwa madukani km pipi. Ukifikisha miaka 18 unaenda kununua ila hautakaa sikia wanagombea madaraka
5. Siyo mstaarabu. Anaweza kukuchinja kwasababu ya kutetea dini yake. Mfano hai, ni Iran, binti wa watu amechinjwa kwasabb hajafunika kichwa
6. Wanawake hawaruhusiwi kuendesha gari, kusoma, kusuka, kuangalia mpira, kujifunza masomo ya ufundi au kufanya kazi yoyote mfano hai Afghanistan, na Saudia Arabia
waarabu utu ni msamiati mgumu sana kwao wafanyakaz wa makampuni ya kiarabu ni kawaida sana kukutwa wakipata manyanyaso kama yote na mishahara duni na hata hawa wafanyakazi wa ndani wanaoenda huko arabuni full mateso
 
Hii propaganda bado ipo? Mbona kuna jamii ya watu weusi huko Saudia, Iraq, India etc.
Unajua weusi walioko huko wanapitia yapi au unajiandikia au ni mmojawapo wa wabaguzi mavi hawa?
Hebu angalia hii kitu
Ukitaka nikupe nchi moja baada ya nyingine wewe sema tu mwanangu
 

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.

Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.

Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.

Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?

Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Hawa ni wazungu london wanawasupport wapalestina na huyu corbyn ni kiongozi wa uingereza wakristo wa tanzania ndio wanawachukia waarabu
 

Attachments

  • Screenshot_20231021-184354_Instagram.jpg
    Screenshot_20231021-184354_Instagram.jpg
    124.6 KB · Views: 3
Waarabu wenyewe hawapendani! 😁
Fikiria mtu anakwenda kujilipua msikitini kuua "ndugu zake katika imani"
 

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.

Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.

Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.

Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?

Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Huyu waziri mkuu wa canada akishirikiana na waarabu na jamii ya kiislamu canada hao wazungu wanaochukia waarabu labda wazungu wa kimanzichana
 

Attachments

  • VID-20231021-WA0011.mp4
    10.1 MB

Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.

Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.

Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.

Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?

Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
kwamba walichofanya Hamas kwa akili yako ndogo ni sawa? kwann ujadili mambo kwa kubagua baadhi ya ukwel? huon kuwa ww ndo mwenye matatizo , mbona kwa mwiz huwa hamjisahaulishi kuwa kaiba akiwa na sababu ila kwa Hamas walioua watu mnatafuta kila sababu kuhalalisha ugaid wao na kutuaminisha anayejitetea ndo mbaya
 
kwamba walichofanya Hamas kwa akili yako ndogo ni sawa? kwann ujadili mambo kwa kubagua baadhi ya ukwel? huon kuwa ww ndo mwenye matatizo , mbona kwa mwiz huwa hamjisahaulishi kuwa kaiba akiwa na sababu ila kwa Hamas walioua watu mnatafuta kila sababu kuhalalisha ugaid wao na kutuaminisha anayejitetea ndo mbaya
Afadhali akili yangu ni ndogo siyo hamnazo kama wewe asiyejua hata anachoandika. Nenda kajifunze kuchamba mbwaaa weee
 
Kujaa haimaanishi kuwa wanapendwa
mnaendaj sehem hampendw ? nyiny waislam ni watu wa hovyo sn , mkikosea hamtaki jirekebisha wala kukosolewa , ona ugaid uliopo afrika ila mmefunga mnajifanya PRAY FOR PALESTINE mbuz nyiny , mtu akijitokeza kukosoa ugaid huu ndo mnaanza kusema mtu anapiga vita uislam , yaan uislam na ufreemason sijui ni dini moja
 
Nafikiria hujui hao wanaitwa wayahudi wa sasa ni miongoni mwa wazungu na wanaishi katika nchi za wazungu karibia zote na wengi ni matajiri na wanasiasa ....Kaangalie population yao wanaoishi nje ya nchi yao yaani israel ni wachache kuliko wanaoishi na kufanya kazi na wazungu.

Hao ni ndugu kabisa .
hiyo sio sabab , waarabu ni wapumbav hawajui kuisj vzr na wenyej
 
Najua sana kuwa wanaojiita wayahudi ni matapeli wa kizungu wanaotumika kutishia mataifa ya kiarabu wala si waisrael kama wanavyoiaminisha dunia
waisrael wenyew wapo wap? huu upumbav wenu huu sijui utaisha lin
 
Wote ni wale wale. Ukiona mzungu kaoelwa na mswahili ujue ima ana fedha nyingi, nafasi nzuri, hana wa kumuoa, ana matatizo ya kitabia hata kiafya n.k. Kwa tuliowahi kuishi nchi zao, tofauti ya wazungu na waarabu na wazungu ni kwamba angalau wanatoa uhuru kwa mabinti zao kuchagua kuliko waarabu wahindi na washenzi wengine. Mfano, ukienda Marekani na Kanada, mimama ya kizungu minene ambayo wazungu hawapendi kuoa, iko tayari kuolewa na yoyote
fuatilia acha uzezeta wazungu hawana njaa kama waarab , wazungu wana mapenz ya kwel ila waarab wabaguz sana hawatak bint zao zichanganyike na sisi labda kama mswahili ana ela
 
Ukiangalia takwimu wanakuambia kwamba 46% ya jews wanaishi nje ya israel ila kiukweli hao jamaa wanaishi nje ya israel ni wengi kabisa kuliko wanaoishi ndani ya israel..


Ni wabaguzi hakuna na wanapenda vocation sana yaani hao kusafiri ni sehemu ya maisha yao , ni makatili kinyama yaani .
kuliko hamas?
 
Back
Top Bottom