Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?

Wazungu waliwabagua Sana na kuwaua Wayahudi huko kwao miaka ya nyuma, kwa Sasa wanawatetea kwa nguvu zote Kama njia ya kujisafisha na madhila ya nyuma ndio maana wanafumbia macho yanaowakumba Wapalestina.

Kwa ufupi Israel ya sasa imekuwa zaidi ya Africa Kusini ya kina Botha (makaburu) na dunia ipo kimya na haina ubavu mbele ya ubeberu wa kimagharibi.

Arab league ndio hiyo imekuwa Kama AU tu

zitto junior JokaKuu FRANC THE GREAT The Boy Wonder T14 Armata
 
waarabu utu ni msamiati mgumu sana kwao wafanyakaz wa makampuni ya kiarabu ni kawaida sana kukutwa wakipata manyanyaso kama yote na mishahara duni na hata hawa wafanyakazi wa ndani wanaoenda huko arabuni full mateso
 
Hii propaganda bado ipo? Mbona kuna jamii ya watu weusi huko Saudia, Iraq, India etc.
Unajua weusi walioko huko wanapitia yapi au unajiandikia au ni mmojawapo wa wabaguzi mavi hawa?
Hebu angalia hii kitu
Ukitaka nikupe nchi moja baada ya nyingine wewe sema tu mwanangu
 
Hawa ni wazungu london wanawasupport wapalestina na huyu corbyn ni kiongozi wa uingereza wakristo wa tanzania ndio wanawachukia waarabu
 

Attachments

  • Screenshot_20231021-184354_Instagram.jpg
    124.6 KB · Views: 3
Waarabu wenyewe hawapendani! 😁
Fikiria mtu anakwenda kujilipua msikitini kuua "ndugu zake katika imani"
 
Huyu waziri mkuu wa canada akishirikiana na waarabu na jamii ya kiislamu canada hao wazungu wanaochukia waarabu labda wazungu wa kimanzichana
 

Attachments

  • VID-20231021-WA0011.mp4
    10.1 MB
kwamba walichofanya Hamas kwa akili yako ndogo ni sawa? kwann ujadili mambo kwa kubagua baadhi ya ukwel? huon kuwa ww ndo mwenye matatizo , mbona kwa mwiz huwa hamjisahaulishi kuwa kaiba akiwa na sababu ila kwa Hamas walioua watu mnatafuta kila sababu kuhalalisha ugaid wao na kutuaminisha anayejitetea ndo mbaya
 
Afadhali akili yangu ni ndogo siyo hamnazo kama wewe asiyejua hata anachoandika. Nenda kajifunze kuchamba mbwaaa weee
 
Kujaa haimaanishi kuwa wanapendwa
mnaendaj sehem hampendw ? nyiny waislam ni watu wa hovyo sn , mkikosea hamtaki jirekebisha wala kukosolewa , ona ugaid uliopo afrika ila mmefunga mnajifanya PRAY FOR PALESTINE mbuz nyiny , mtu akijitokeza kukosoa ugaid huu ndo mnaanza kusema mtu anapiga vita uislam , yaan uislam na ufreemason sijui ni dini moja
 
hiyo sio sabab , waarabu ni wapumbav hawajui kuisj vzr na wenyej
 
Najua sana kuwa wanaojiita wayahudi ni matapeli wa kizungu wanaotumika kutishia mataifa ya kiarabu wala si waisrael kama wanavyoiaminisha dunia
waisrael wenyew wapo wap? huu upumbav wenu huu sijui utaisha lin
 
fuatilia acha uzezeta wazungu hawana njaa kama waarab , wazungu wana mapenz ya kwel ila waarab wabaguz sana hawatak bint zao zichanganyike na sisi labda kama mswahili ana ela
 
kuliko hamas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…