Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?

fuatilia acha uzezeta wazungu hawana njaa kama waarab , wazungu wana mapenz ya kwel ila waarab wabaguz sana hawatak bint zao zichanganyike na sisi labda kama mswahili ana ela
Ni kweli ndiyo maana kwa mapenzi yao waliwapeleka babu zako utumwani
 
kwamba kichwan hazijatimia , ulaya waarab wanaish na kupewa hadi uraia ila uarabu mzungu haruhusiw hata kumilik pikipiki , huon kuwa waarab wabaguz?
 
unaandika yote ila kuonesha na ww ni gaidi huon makosa ya hamas
 
hamas ni jeshi rasmi kama idf so likipiga linajibiwa hivyo hivyo hakuna kutia huruma , mtatia huruma wenumyew mliolianzisha
 

Wewe ni mfuasi waa mudy
 

Waziri Mkuu wa Canada azomewa msikitini, aambiwa "huna haya"​

 
Racism ipo mpaka USA ambapo kuna wakristo watupu sio uarabuni pekee. Nilichotaka kusema ni kwamba kizazi cha watu weusi kipo mpaka huko uarabuni na sio kweli kuwa walihasiwa sijui waliuawa n.k
 
kiisalaamu toka kuanzishwa kwake ilikuwa inatumia upanga sio.hiari ya mtu
Hata ukristo pia, rejea Joshua alipoambiwa achinje kila mtu hapo canaan. Pia Elia alipochinja manabii almost elfu 4!!
 
Pole sana
 
Acha uongo bhana wazungu wanaoa na kuolewa na race yyte ile wao wanaamini katika real love..
Sisi tunaamini katika opportunity.
 
Principles za UISLAMU zipo against calture za wazungu pakubwa sana...

Ukiangalia life style za Jews zinafanana pa kubwa na american or western culture...

Ni kama enzi za ukomunisti, ...Western walipinga kila kitu cha Eastern block...

Lakini hili la Islamic culture ni zaidi, na wanaona ni tishio kwao kutokana na misingi yake tofauti na communist ...

Yako mambo uislamu upo completely and openly against western culture...(.Imejipambanua kwa UWAZI mno.)

Na ninaposema Western culture ni tofauti na Christian culture, ....ila isipokuwa miaka ya karibuni Western culture inaimeza Christian culture kiasi kamba kizazi cha sasa kinaamini Christian culture ndio WESTERN culture...

Kwa hiyo Islamic culture imeingia ktk mgongano wa tamaduni (CLASH) na kundi kubwa ktk hii dunia ( CLASH of Civilization) na hii itachukuwa muda mrefu...
 
Wewe mwenyewe kwa namna unavyowataja wayahudi tayari unaonyesha chuki dhidi yao.
Unalotakiwa kujua ni hili" hakuna katika ulimwengu huu tunaoishi achukiwae asiwepo wa kumpenda, hakuna. Waarabu kwa ujumla wao,kiimani nikimaanisha isalam wote wanamchukia banaisrael, si kwa mdomo kwa mandiko na ni Amri kutoka kwa marehemu mtume wao.
Hakuna muislamu atakwenda kinyume na amri hiyo.
Sasa hilo ni zao la chuki dhidi ya wayahudi, wa pili wao ni wakristo .
Jamii mbili zinazochukiwa.na.jamii moja lazima hizo zitapendana hata kama hizo zilikuwa adui.
 
Pole sana
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…