Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Hongera mwaarabu mweusi! Kwa ujua uislamu kuliko waislamu wenyewe.Pole sana
Falsafa za kuua kafiri upate bikira 72 peke yako na mito ya pombe what a nonsense.Falsafa alizoleta mudi ni janga
M naona waarabu ndio maligendi wa hii michezo.Mwarabu wa wapi hapendi ushoga??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mudi balaaFalsafa za kuua kafiri upate bikira 72 peke yako na mito ya pombe what a nonsense.
Yesu wapi aliagiza watu wachinjwe?Si Yesu ni Mungu? Sasa kama aliagiza manabii feki wachinjwe how's that different kwa ulivyodai wanafanya waislam?
Yesu ni Mungu means ni "yule yule" wa agano la kale hakuna mwingine.Unaposema Yesu
16 Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;Yesu wapi aliagiza watu wachinjwe?
Kwahiyo Yesu si Mungu? DuhYesu alifundisha
Duuh....Yesu ni Mungu means ni "yule yule" wa agano la kale hakuna mwingine.
16 Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;
Kumbukumbu la Torati 20:16
17 lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;
Kumbukumbu la Torati 20:17
Kwahiyo Yesu si Mungu? Duh
Sio kweli, Yesu mwenyewe anasema alikuwepo kipindi cha Abraham. Kasome mwanzo 14Duuh....
Ila yesu anapatikana katika vitabu vya injili
huko ulikoenda unapatikana uyahudi mkuu. Ukristo ulikuwa bado
Koran
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
KoranWaziri Mkuu wa Canada azomewa msikitini, aambiwa "huna haya"
Si unaona hivi sasa? Wakiristo na mayahudi wanashabikia au kushiriki kuua waislamKoran
5;51. Enyi waislamu! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......
Chuki walianzisha kina AllahSi unaona hivi sasa? Wakiristo na mayahudi wanashabikia au kushiriki kuua waislam
Siyo Oman tu. Wakati wao wapo huru kujenga misikiti kila mahali Tanzania bara, ni shida kujenga Kanisa Zanzibar. Wana ubaguzi wa kutisha..Ni rahisi kujenga misikiti uingereza Kwa wazungu kuliko kujenga kanisa Oman,in General waarabu ni wabaguzi kwa asili..waulize babu zetu waliowachukua ujiji na bagamoyo kuwapeleka kwao wapo??Ni rahisi kuoa Mzungu Kwa mtu mweusi kuliko kuoa Mwarabu..
Huko ndo kuna makazi na maficho ya magaidi, HamasWar crimes ni war crimes jeshi la nchi hliruhusiwi kushambulia makazi ya raia ni vile mahaba yamewajaa tu
Hao waliuwa ili kueneza dini?Hata ukristo pia, rejea Joshua alipoambiwa achinje kila mtu hapo canaan. Pia Elia alipochinja manabii almost elfu 4!!
kwa nini Saud Arabia na Libya na waarabu wote wanachukia kujenga makanisa na wanapenda kujenga misikiti? ukipata jibu lake ndipo utapata jibu lako ulouliza
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
hawa jamaa hawatakuwa na amani moyoni mpaka watakaposikia hakuna mkristo wala myahudi duniani. hapo utaona ligi kuu ya soka ulaya haina ladha wala mziki haulipi. kila kukicha kula wali mkekani!Kuna Slogan inasema Saturday to Jews and then Sunday for Christian... Yaani wakishawaua Wayahudi Jumamosi basi Jumapili kuwaua Wakristo... sasa hawa ni watu wa Kupendwa? la wapendwe na Yesu tu
Principles za UISLAMU zipo against calture za wazungu pakubwa sana...
Ukiangalia life style za Jews zinafanana pa kubwa na american or western culture...
Ni kama enzi za ukomunisti, ...Western walipinga kila kitu cha Eastern block...
Lakini hili la Islamic culture ni zaidi, na wanaona ni tishio kwao kutokana na misingi yake tofauti na communist ...
Yako mambo uislamu upo completely and openly against western culture...(.Imejipambanua kwa UWAZI mno.)
Na ninaposema Western culture ni tofauti na Christian culture, ....ila isipokuwa miaka ya karibuni Western culture inaimeza Christian culture kiasi kamba kizazi cha sasa kinaamini Christian culture ndio WESTERN culture...
Kwa hiyo Islamic culture imeingia ktk mgongano wa tamaduni (CLASH) na kundi kubwa ktk hii dunia ( CLASH of Civilization) na hii itachukuwa muda mrefu...