Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
- Thread starter
-
- #81
Mpfyuuu ngoja nikatapikekwamba walichofanya Hamas kwa akili yako ndogo ni sawa? kwann ujadili mambo kwa kubagua baadhi ya ukwel? huon kuwa ww ndo mwenye matatizo , mbona kwa mwiz huwa hamjisahaulishi kuwa kaiba akiwa na sababu ila kwa Hamas walioua watu mnatafuta kila sababu kuhalalisha ugaid wao na kutuaminisha anayejitetea ndo mbaya
Falsafa alizoleta mudi ni janga
Usiuongelee Uislam, hauujuwi.Ukikaa karibu na msikiti ndiyo utaelewa.
Niliwahi ishi karibu na masikini, tangu kipindi hicho siwakubali kabisa. Kwanza wanaswala za kukariti. Halafu waanaongea kwa lugha ambayo hata wengi wao hawaijui, naifungamanisha sana na umasikini. Maeneo ambayo ni dominance, ufukara na ujinga ndiyo nyumbani kwao.
Mudi anabeba lawama kubwa sana.
CC: Faiz Mudy
FaizaFoxy
Mwanangu unasema ukweli. Hata uislam wenye haujijui wala waislam hawaujui vinginevyo wangewaachia waarabu sawa na wakristo ambavyo walipaswa kuwaachia wazungu. Dini zote ni utumwa uliojificha kwenye umungu. Ni ukoloni mtupu. Angalia walivyotuza mijina yao michafu na kutufundisha uchafu wao kama ushoga ambao ulianzia huko kwao japo wengine wanajifanya kuuchukia wakati waliuanzisha huko Gomora na Sodoma.Usiuongelee Uislam, hauujuwi.
Usiuongelee Uislam, hauujuwi.
Kama ng'ombeWaislamu popote walipo ni fujo tu.
mudi ni gaidi.
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Najua sana kuwa wanaojiita wayahudi ni matapeli wa kizungu wanaotumika kutishia mataifa ya kiarabu wala si waisrael kama wanavyoiaminisha duniak
waisrael halisi kwa sasa kwani wako wapi kama hao walio hapo ni matapeli wa kizungu?Najua sana kuwa wanaojiita wayahudi ni matapeli wa kizungu wanaotumika kutishia mataifa ya kiarabu wala si waisrael kama wanavyoiaminisha dunia
mudi ni gaidi.
Mwanangu unasema ukweli. Hata uislam wenye haujijui wala waislam hawaujui vinginevyo wangewaachia waarabu sawa na wakristo ambavyo walipaswa kuwaachia wazungu. Dini zote ni utumwa uliojificha kwenye umungu. Ni ukoloni mtupu. Angalia walivyotuza mijina yao michafu na kutufundisha uchafu wao kama ushoga ambao ulianzia huko kwao japo wengine wanajifanya kuuchukia wakati waliuanzisha huko Gomora na Sodoma.
Naam, umeniita? Tatizo nini?Dini nyingi hawajitambui, lakini waislam ndiyo namba moja. Wewe mpaka karne hii wanaamini usipoitwa kwa jina la kiarabu na kusali kwa lugha ya kiarabu ibada ÿako ni bure kabisa. Kwa hiyo mungu wao ana vinasaba vya uarabu!? Huko ni kukosa maarifa na akili kwa hali ya juu sana.
CC: FaizaFoxy jitafakari kabla haijawa kuchelewa sana.
Naam, umeniita? Tatizo nini?
Bofya hapo:Itikia abee au rebeka bwana, nataka nijifunze uislam, lkn kitabu cha msingi cha mafunzo kiko katika lugha ya kiarabu ambayo siielewi. Ushauri wako jee?
Waarabu wenyewe wanajichukiaaa sasa utawapendaje watuu ambao wanajichukia wenyeweee Mfano wewe mwenyewe hujipendi utapendwajwe na watu
Sikupenda kujiingiza kwenye mjadala juu ya ugaidi na mauaji ya kimbari vinavyotokea Gaza, ila kinachoendelea kinatisha.
Sikupenda kwa sababu Waafrika yanapotukuta haya, huwa wenzetu hawajali ukiachia mbali kutubagua tunapokwenda kwao ingawa hatuwabagui wajapo kwetu.
Sijui kwanini wazungu wanawachukia hawa jamaa wasio na nchi kiasi hiki na kuwapenda na kuwakumbatia makaburu wa kiyahudi.
Je alichofanya marehemu sorry rais Joel bin Laden kweli kinafaa kwa mtu wa umri ule? Je nini kitafuatia baada ya watu kuchoka na kujua kuwa kumbe haki za binadamu wanazoimba hawa wanafiki ni uongo na mkenge mtupu?
Je wao watakuwa salama katika uonevu huu? Nalalamika tu
Ila waislamu wengi ni mashoga, ukibisha pitia uswahilini ulizia mashoga majina yao, lazima utamkuta Ali, Shaban, Mudi etc yaani mashoga asilimia 99 ni waislamuKwasababu muarabu hapendi ushoga alafu mzungu anaona kuwa shoga ni haki yake ya msingi
SIJUI kama hii ni sahihikimbari