Sio kweli.kinacho wafanya watu wa TISS wajimwambafai ni ule ukaribu wa sekta yao na RAIS ambae ndie sponsor...hicho tu ndio hufanya watu wawape special care watu wa TISS....
ila amini nakwambia TISS wana njaa kama waajiliwa wengine...
inawezekana JWTZ wakaWa na maisha mazuri kuliko TISS...
B… hizi akili gani umeamka nazo? LolsLabda niweke sawa kidogo kwenye hizo namba za mishahara. Unadhani namba za mishahara ya nchi hii zinasumbua? Wala. Zinazosumbua ni posho zao, ni kubwa mno.
Haya mambo ni upepo tu nadhani, maana zamani mtaani kila mtu anatamba kuwa yeye ni baharia, na ndiyo karejea nchini toka Italy, hata kama sio baharia.
Na hapa katikati kulikuwa na upepo wa maeneo ya kuishi, kila mtu alikuwa akitamba kuishi Upanga, hasa vijana. Hadi wanashinda maeneo ya Upanga ila kulala wanaenda Kwa Mtogole.
Ova
Mmhh,mdomo wako upo fireSawa.
Na lako liwe sahihi.
Ila huyo TISS siku anaenda bagamoyo (chuo chao) alilalia gheto kwangu, nikamsindikiza mpaka kwenye Costa yao (siku ya kwanza wanakusanywa kwenda chuo).
Na aliacha Kazi 2020, mpaka leo huwa tunakulana tuuu.
Then najua mengiii kwasababu nilikuwa naendaga kwake then nasoma mengii na kunihadithia mengii.
Kifupi: KAACHA KAZI.
Na pia hata huku tulipo, piss za TISS tunajigongea tu.
Kuna mwengine alinionyesha mpaka mshahara wake. Wanakatwa Bima tu ya afya.
Hawana chama cha wafanyakazi wala PSSF.
Na hupewa 150,000 ya dharura + house allowance. Ukijumlisha ndio inafika Mil 1.85
Ni watu wa kawaida sanaa ila tatizo MNAWAKUZAAAAA.
Usiku mwema.
#YNWA
We sio mzima mkuu,unaropokwa sanaBoss napiga pumbu huelewi nini?
Na tunawapiga pumbu tu.
Kuna mmoja nilimpatia kwenye kikao cha ofisi ya DS.
Akawa ananipa mpaka documents zao nasoma, kwamba wakiwa chuoni kwao bagamoyo huchagua staili ya kupigana na kujiendeleza kama karate au boxing.
Lakini pia huyo demu wangu wa kwanza niliyemsindikiza kwenye chuo baada ya miezi mi3 ya course/kambi Kuna siku waliachiwa kama assignment waende sokoni wakusanye taarifa fulani.
Alipita gheto tukakumbushia then akaendelea na assignment yake.
Ni wa kawaida sanaaaa Hawa watu, ila MNAWAKUZA SANAAAA.
#YNWA
Lols! B... kwani umepotelea wapi? Kila mahali haupo.B… hizi akili gani umeamka nazo? Lols
Nimecheka mnoooo.
Wajua sina pa kwenda, at home b…Lols! B... kwani umepotelea wapi? Kila mahali haupo.
Ova
Copycat tu huyo mkuu.Provoking question.! Bila shaka ni mmoja wao.
Huna unachokijua kalishesheNikipata muda nitaleta ninachokijua
Mitandao isikudanganye nduguHuna unachokijua kalisheshe
Huo ni uongo.Kweli wabongo ni matahira.
Ukifika kambi ya jeshi yoyote kuna ofisi ya wajeda wa tiss basi Jamaa wanaogopwa sana na wenzao.
Halafu kuna kadumba ile nyingine kila kwenye wajeshi iwe MAGEREZA, PILISI, UHAMIAIJI, FIRE n.k kuhisisiana kuwa fulani yuko kitengo.
Ukatili gani alifanya Sabaya kabla ya kuwa DC mpaka Magu akaona atafaa?U dc aliteuliwa sababu magu alikuwa anataka majambazi kama yy magu ulikuwa ukiwa katili lazima akupe cheo au ukimsifia
Huwa nashangaa mtu anasema mimi ni TISS.Intelligence...aliyebobea utamtambuwa kwa Ufunguo unaoitwa INTEGRITY
Hata akiwa baa kuanzia unywaji wake ukaaji interaction yake na walevi wahudumu omba omba wanaopita kwenye baa ...kimatendo utaona kabisa kuna Nidhamu katika matendo yake...Hajikwezi...Hujiamini ..hutoa heshima bila kujali Mwonekano wako...Kifupi huyu mtu hujifyuzi kwa kila mtu iliye kwenye Duara lake.....anaweza kwenda kwa Dj akamwambia piga ngoma flan...then hiyo ngoma ikivurumishwa unaona baa yote IMEFAYAA....Kifupi hutumia saikoloji UMEME kujuwa uwepo wa kila mmoja hapo....
Hawa watu wanauwezo kutimba hata huko Goma na kuchukuwa Taarifa anayoitaka bila Valuvalu zozote.....
Cc Yericko Nyerere
Njoo tulane KINYEO my wangu achana na mambo ya TEETHacha...hizo mimi ni Dereva wa boda boda mkuu...sina uhusiano na hiyo kazi japo nilitamani sana tena sana kuitumikia nchi yetu kupitia majeshi yetu...ila sijawahi kupata bahati hiyo kwa umri wangu hivi sasa najipambania tu mwenyewe kwa kuendesha boda. Mungu akipenda nitafungua biashara zangu maisha yataendelea....
sijawahi kusajiliwa na jeshi lolote
BABA KINYEO njoo geto kinyeo kinakusubirhapana na ndio kwa wakati mmoja...majeshi yetu ukiacha yale ya enzi ya Nyerere 😭... haya ya sasa yana lindana sana.
hivyo polisi kimajukumu anaweza kumchunguza TISS na ata kumkamata ikibidi ila inategemea na uzito wa kosa...matharani makosa yanayo husu uhai wa watu...hapo lazima polisi wafanye kazi yao.
ila kwa kifupi ukishitakiana na aina yoyote ya hawa walinda amani wetu kesi ukaipeleka polisi ni nadra sana wewe raia kupata haki yako...hawa watu wanalindana sana.
Hizi sasa ndo zile stori za mitaani zisizo na uhalisia wowote ule🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dogo ajui Hilo Dubwana lilivyo pana
Unaweza fungwa, ukateswa ila kwa malengo fulan na Bado ukaendelea kuwa mtiifu idarani
Dubwana Hilo upana wake hata Viongozi wa juu wengi awajui shape yake, rangi yake
Hata namba zile 3 za Juu wanajua 5% ya Ukweli wa Idarani labda ukute ni senior
Membe na ubobezi wake alichezewa na Intake ya 2014-16 na akasanda
GM
Poa mzeeHizi sasa ndo zile stori za mitaani zisizo na uhalisia wowote ule🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣