Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Sio kweli.
 
B… hizi akili gani umeamka nazo? Lols
Nimecheka mnoooo.
 
Mmhh,mdomo wako upo fire
 
We sio mzima mkuu,unaropokwa sana
 
Kuna comment ya mdau nimeisoma huko juu, kuhusu teeth kulinda maslahi ya ccm. Tukumbushane tu ccm ni ujamaa na ujamaa tunazungumzia urusi, china na cuba . Kwahiyo kusukwa kwa hii idara yetu , kumetegemewa syllabus na training manuals za urusi particularly by then kgb. Ndio maana ya chama dola sasa. Mostly wa maafisa kipindi hicho cha nyerere wamepatia mafunzo yao , urusi , cuba na china. Kwahiyo ukiona tiss iko merged na ccm msione ajabu .
 
Huo ni uongo.

Polisi, Magereza na JWTZ Wana vitengo vyao vya intelligence na ni askari wenzao ambao hawahusiani ja TISS.

Ni sawa tu, na MP (Military Police) wa JWTZ huwezi kusema MP ni police.

Kwanza TISS mafunzo yao ni mepesi na ya kawaida tu, ndio maana wanaitwa Jeshi Usu Kama ilivyo mgambo, polisi, Magereza, Uhamiaji. Wanaojifunza silaha nzito ni JWTZ pekee
 
U dc aliteuliwa sababu magu alikuwa anataka majambazi kama yy magu ulikuwa ukiwa katili lazima akupe cheo au ukimsifia
Ukatili gani alifanya Sabaya kabla ya kuwa DC mpaka Magu akaona atafaa?
 

Attachments

  • IMG_20231210_124913.jpg
    298.1 KB · Views: 15
Huwa nashangaa mtu anasema mimi ni TISS.
Kuna jamaa angu mmoja anapenda sana ajulikane hivyo.
Ana ki router chake ameki name TISS 😀😀 basi akiwa mahali wewe ukitaka kupata WIFI si utaona kuna hotspot on ila jina TISS, 😀
Mwana hata kwenye ndege lazima afanye showoff. Anapenda kweli na sijui kama ni tiss au geresha lake tu
 
Njoo tulane KINYEO my wangu achana na mambo ya TEETH
 
BABA KINYEO njoo geto kinyeo kinakusubir
 
Hizi sasa ndo zile stori za mitaani zisizo na uhalisia wowote ule🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…