Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

hauwafahamu ndio maana unazungumza habari za kahawa, manaacha kazi wengi tu, kati ya uongo uliodumu miongoni mwa jamii ni hili ati TISS hawezi kuacha kazi.

Wanaacha na wengine wanafukuzwa
Kuhusu kufukuzwa hilo halina ubishi wanafukuzwa sana kwasababu ya mwenendo usiofaa. Halafu utakuta mtu anasema hawafukuzwi kazi. Hapo ametoka kusikia stori za kwenye vijiwe vya kahawa.

Sasa kama hawa mfano wakusanya taarifa zisizo na tija ndiyo hufukuzwa kazi ama kupunguzwa karibu kila mara.

Informers ndiyo wengi na hawana kipato cha kueleweka wana njaa hatari. Watendaji waliobobea ni wachache na ndiyo wanaochakata taarifa muhimu zenye tija.
 
Acha ujuaji hawajaacha kazi,usalama wapo walimu, manesi,madaktar,madereva kila sekta wapo na huyo mkulima bado ni mtu wa usalama.

Kingine ww ni muongo umeamua kujiandikia tu et unamjua na blah blah ili kutetea hoja yako
Kwanini umelishwa upepo kwamba hawaachi/hawaachishwi kazi?

Hakuna kada dunia hii isiyokuwa na haki ya kuacha/kuachishwa kazi kutegemea na kanuni,taratibu na sheria walizojiwekea.

Kama top boss wao anatimuliwa kazi kwa kushindwa kutimiza wajibu wake ipasavyo vipi kuhusu hao wadogo wadogo wasiokuwa na taarifa zozote nyeti za kuathiri utendaji kazi kiujumla?
 
We vaa tu sutiKaunda nyoa kipara nenda kaunta kunywa WINDOKU ukiwa umesimama kaunta...macho yako yanaangaza angaaza kila kona
Utaona Wabongo wananong'onezana wengine hata kukimbia kaunta.....

MAUJIKO ..teh teh teh....yani kutisha tu watu
Kweli wabongo ni matahira.
Ukifika kambi ya jeshi yoyote kuna ofisi ya wajeda wa tiss basi Jamaa wanaogopwa sana na wenzao.
Halafu kuna kadumba ile nyingine kila kwenye wajeshi iwe MAGEREZA, PILISI, UHAMIAIJI, FIRE n.k kuhisisiana kuwa fulani yuko kitengo.
 
Basi na wewe katengeneze kitambulisho fake Cha TISS halafu ukikamatwa wakati kesi inaendelea utataeuliwa kuwa DC.
Huyo mteuaji wa wakati ule alikuwa anapenda watu wakatili sampuli ya kina Sabaya.

Ili ulambe uteuzi fasta ukiwa uvccm hakikisha unakuwa mkatili hasa hapo unalamba uteuzi.
 
On contrary, watu wa kitengo hufundishwa kutojiexpose. Hata kitambulisho hawatakiwi kuonesha au kujitambulisha. Akikamatwa na trafic police anatakiwa akubali fine na alipe na sio kutoa kitambulisho. Ukiona watu wanaojitambulisha ujue hao ni fake au ni wale wachache ambao wameingia kitengoni kwa mchongo na hawakutakiwa kuwapo huko. Sasa unafanya kazi ya kificho na huku hujifichi!?
 
We vaa tu sutiKaunda nyoa kipara nenda kaunta kunywa WINDOKU ukiwa umesimama kaunta...macho yako yanaangaza angaaza kila kona
Utaona Wabongo wananong'onezana wengine hata kukimbia kaunta.....

MAUJIKO ..teh teh teh....yani kutisha tu watu
Nakumbuka nilinyoa kipara...nikapiga kaunda suti nyeusi....nikaenda kufuatilia NIDA nilipewa huduma za kipekee...etc etc
 
On contrary, watu wa kitengo hufundishwa kutojiexpose. Hata kitambulisho hawatakiwi kuonesha au kujitambulisha. Akikamatwa na trafic police anatakiwa akubali fine na alipe na sio kutoa kitambulisho. Ukiona watu wanaojitambulisha ujue hao ni fake au ni wale wachache ambao wameingia kitengoni kwa mchongo na hawakutakiwa kuwapo huko.
Traffic akikukamata kuwa mnyenyekevu then mwambie...uko wizara ya fedha au mambo ya nje...kwa sauti ya chini..
.ndio code zao.
 
Mnawakuza yupo mmoja namfahamu amewahi kupewa kichapo heavy na polisi raider kwa kujifanya mjuaji.
 
hapana...! zile ni nguo za kumfanya mtu aonekane nadhifu tu...ila wana sare zao kama za jeshi zenyewe zinafanana na rangi ya CHUI....kaitazame ile video ya makonda alivyoenda kuvamia clouds.​
Aisee kumbe [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
acha...hizo mimi ni Dereva wa boda boda mkuu...sina uhusiano na hiyo kazi japo nilitamani sana tena sana kuitumikia nchi yetu kupitia majeshi yetu...ila sijawahi kupata bahati hiyo kwa umri wangu hivi sasa najipambania tu mwenyewe kwa kuendesha boda. Mungu akipenda nitafungua biashara zangu maisha yataendelea....

sijawahi kusajiliwa na jeshi lolote​
Kweli mkuu
 
Kuhusu kufukuzwa hilo halina ubishi wanafukuzwa sana kwasababu ya mwenendo usiofaa. Halafu utakuta mtu anasema hawafukuzwi kazi. Hapo ametoka kusikia stori za kwenye vijiwe vya kahawa.

Sasa kama hawa mfano wakusanya taarifa zisizo na tija ndiyo hufukuzwa kazi ama kupunguzwa karibu kila mara.

Informers ndiyo wengi na hawana kipato cha kueleweka wana njaa hatari. Watendaji waliobobea ni wachache na ndiyo wanaochakata taarifa muhimu zenye tija.
Taarifa zisizo na tija ni kama zipi mkuu
 
Sabaya ni TISS kweli Wala siyo kujifanya.

Tatizo kubwa mmejengwa vichwani kwenu TISS ni watu genius na akili kubwa sana na hivyo mtu Kama Sabaya hawezi kuwa na kiuhalisia ndio usalama wenu hao.

Kwa lugha rahisi Sabaya na yule aliyemtolea Nape bastola ni usalama na ni vichwa panzi tu.

Sabaya amepita jeshi gani ku-qualify kuwa TISS tapeli yule?
 
Sabaya ni TISS kweli Wala siyo kujifanya.

Tatizo kubwa mmejengwa vichwani kwenu TISS ni watu genius na akili kubwa sana na hivyo mtu Kama Sabaya hawezi kuwa na kiuhalisia ndio usalama wenu hao.

Kwa lugha rahisi Sabaya na yule aliyemtolea Nape bastola ni usalama na ni vichwa panzi tu.

Sabaya amepita jeshi gani ku-qualify kuwa TISS tapeli yule?
 
Peace upon ya'all,

Ebwana ni ajabu sana mtaani ukipita mtu anaesemekana ni TISS hutukuzwa na hata watu wengine wengi hujifanya TISS ili kuonekana maalumu na kutafuta maujiko

Hata hapa jf wengi hujifanya TISS ili kujipatia ujiko ajabu ni kwamba kama ilivyo nesi, daktari, mfamasia, dentist n.k wako katika kada ya afya (health sector) au walimu, wakufunzi wako kada ya elimu (education sector) au kama marubani, airhostess, astronuts n.k wako kada ya aviation ndivyo pia askari magereza, polisi, askari jeshi, mgambo na TISS wote ni kada ya ulinzi.

Kimsingi TISS ni kada ya ulinzi kundi moja, taaluma moja na mgambo wametofautiana juristiction chache ila wana mengi ya pamoja kuliko utofauti. Hata kimaslahi TISS ni wakawaida sana na wamepitwa na kada nyingi tu na hamna maajabu yoyote kwa hawa walinzi.

Kama reporting TISS officer analipwa 1,850,000 (1.8M) mbona ni kamshahara kadogo kuliko hata lecturer wa chuo cha umma achilia mbali daktari mwandamizi au hata tu mkandarasi wa electrical installation wa mradai wa pale Stigler anaelipwa zaidi ya 3M.

Ni ushamba tu wa Watanzania kuona ati walinzi hawa ni watu wa hadhi kubwaaaa, na ujinga huo ndio unawafanya watu kama Sabaya mwaka 2018 - 19 kujifanya TISS huku akisafiri bure, na kupata huduma katika mahotel makubwa bure akiwaonyesha kitambulisho tu.

Kitu ambacho hata angekua kweli ni TISS hakuna upendeleo wa kupata huduma bure hata sio invoice hapana anatakiwa kulipa labda vingvyo iwe argency ya serikali.
yaani umesema,kuna dereva mmoja mjinga yupo dodoma,anadanganya watu kuwa yeye ni tiss,mara ana udugu na mwigulu,kumbe ni dereva tu pale hazina
 
Wabongo kwa vitisho mpo vizuri sana. Unampangia hadi mtu cha kuwaza?
Rafiki yangu umeona yeye kabisha ?
Au kuna member mbali na wewe aliyekuja kuongea chochote kuhusu kauli yangu ?

Basi relax kaka mkubwa , karibu Mbeya leo ni weekend njoo tuenjoy mapacha lounge hapa nitakuwepo kuanzia saa kumi alasiri .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom