Kwanini wimbo wa Killy na Harmonize 'ni wewe' hautambi?

Kwanini wimbo wa Killy na Harmonize 'ni wewe' hautambi?

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nauzungumzia huu wimbo wa Killy aliyomshirikisha Harmonize uitwao 'ni wewe'. Jamani, huu wimbo unachosababisha usitambe ni nini haswaa kama sio uchawi tu?!!!

Melody nzuri,
Mashairi mazuri,
Beat poa kabisa ya kizamani na kisasa iliyotulia,
Shooting ni njema kabisa.

Vyote vinastahili kusikilizwa harusini, clubs na hata mitaani. Ajabu ni kuwa napita humo mwote na ni nadra kuusikia.

Nazisikia nyimbo zingine zinazopigwa mara kwa mara,..... nabaki nashangaa tu!

Mwishowe nimeona nihitimishe tu kuwa kumbe hapa Bongo kwenye muziki inabidi uroge pia, yaani ni WACHAWI KUMBE!
 
Mchawi wake ni boss wake, kila siku anatoa nyimbo anataka kusikika yeye. Huyo dogo bora angebaki kwa Kiba au angeamua kuwa mwenyewe.

Harmonize hawapi nafasi wasanii wake na hana muda ya kuwapromoti na mwezi huu wa tano anatoa album nyingine, huku akiacha kuipromoti EP ya Killy iliyotoka mwezi wa pili.
 
Mchawi wake ni boss wake,kila siku anatoa nyimbo anataka kusikika yeye. Huyo dogo bora angebaki kwa Kiba au angeamua kuwa mwenyewe.

Harmonize hawapi nafasi wasanii wake na hana muda ya kuwapromoti na mwezi huu wa tano anatoa album nyingine ,huku akiacha kuipromoti EP ya Killy iliyotoka mwezi wa pili.
Kumbe! Kama hivyo bora ajitokee zake
 
nawasalimu kwa jina la JMT!
Nauzungumzia huu wimbo wa Killy aliyomshirikisha Harmonize uitwao 'ni wewe'. Jamani, huu wimbo unachosababisha usitambe ni nini haswaa kama sio uchawi tu?!!!

Melody nzuri,
Mashairi mazuri,
Beat poa kabisa ya kizamani na kisasa iliyotulia,
Shooting ni njema kabisa.

Vyote vinastahili kusikilizwa harusini, clubs na hata mitaani. Ajabu ni kuwa napita humo mwote na ni nadra kuusikia.

Nazisikia nyimbo zingine zinazopigwa mara kwa mara,.....nabaki nashangaa tu!

Mwishowe nimeona nihitimishe tu kuwa kumbe hapa Bongo kwenye muziki inabidi uroge pia, yaani ni WACHAWI KUMBE!
Pia Skiza Anjella Ft KondeBoy - Kioo
 
nawasalimu kwa jina la JMT!
Nauzungumzia huu wimbo wa Killy aliyomshirikisha Harmonize uitwao 'ni wewe'. Jamani, huu wimbo unachosababisha usitambe ni nini haswaa kama sio uchawi tu?!!!

Melody nzuri,
Mashairi mazuri,
Beat poa kabisa ya kizamani na kisasa iliyotulia,
Shooting ni njema kabisa.

Vyote vinastahili kusikilizwa harusini, clubs na hata mitaani. Ajabu ni kuwa napita humo mwote na ni nadra kuusikia.

Nazisikia nyimbo zingine zinazopigwa mara kwa mara,.....nabaki nashangaa tu!

Mwishowe nimeona nihitimishe tu kuwa kumbe hapa Bongo kwenye muziki inabidi uroge pia, yaani ni WACHAWI KUMBE!
Wimbo mbona unasikilizwa sana. Sema haupo kwenye cycle yako.

Mtu muda wote unasikiliza Wasafi fm, Wasafi TV na Instagram una follow Wacb halafu unategemea kusikia nyimbo za Kondegang, kweli???
 
Wimbo mbona unasikiliza sana. Sema haupo kwenye cycle yako.

Mtu muda wote unasikiliza Wasafi fm, Wasafi TV na Instagram una follow Wacb halafu unategemea kusikia nyimbo za Kondegang, kweli???
Kweli kiongozi?!!!
 
Back
Top Bottom