Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lemme save my MBsWa kawaida sana hata usijisumbue...
Labda nikupostie wa Mabantu...
Ibilisi wa mtu ni mtu... Uchawi wa nje ni 25% tuu uchawi mkubwa uko nap mwenyewenawasalimu kwa jina la JMT!
Nauzungumzia huu wimbo wa Killy aliyomshirikisha Harmonize uitwao 'ni wewe'. Jamani, huu wimbo unachosababisha usitambe ni nini haswaa kama sio uchawi tu?!!!
Melody nzuri,
Mashairi mazuri,
Beat poa kabisa ya kizamani na kisasa iliyotulia,
Shooting ni njema kabisa.
Vyote vinastahili kusikilizwa harusini, clubs na hata mitaani. Ajabu ni kuwa napita humo mwote na ni nadra kuusikia.
Nazisikia nyimbo zingine zinazopigwa mara kwa mara,.....nabaki nashangaa tu!
Mwishowe nimeona nihitimishe tu kuwa kumbe hapa Bongo kwenye muziki inabidi uroge pia, yaani ni WACHAWI KUMBE!
Karibu nikuwekee movie mpaka ulale...Lemme save my MBs
Mabantu jau 🤣
Neno!Ibilisi wa mtu ni mtu... Uchawi wa nje ni 25% tuu uchawi mkubwa uko nap mwenyewe
Mashabiki hawataki kiki wa majisifu na bifu za kitoto watakupa kisogo ukimbiwe mpaka na kivuli chako
Hivi hujawahi kuona mwanasiasa mwenye familia ndugu jamaa na marafiki anapata kura moja?
sawa!Kumbe ndio huu? Ni mzuri ila hauna hadhi ya kufunguliwa uzi. Mimi mwenyewe sijawahi kuupenda sana
Yapi hayo?!!!Muanzisha mada itakua tayari yamekukuta 😂
Aisee, hivi ugonjwz huu jf utaisha lini?!!!!Jamaa utakuwa ndio Killy mwenyewe umeamua kuja kutushirikisha huu ya wimbo wako. Any ways siujui ila kwa kuwa unalalamika nitajitahidi niutafute niusikilize
Nyimbo Kali sana! Imetulia Ila Wakianza kuimba mashairi Yao ya Kichoko eti "usizinyoe nikusuke mabutu" like wtf! mashairi ya namna hii nayachukia sana! Hapo Harmoize Bado hajaanza Kuchanganya R na L Yani ndo nachoka kbsaHuu wimbo sichoki kuusikiliza bonge moja la Pini .....!!!
Selection zimetoka umepangwa shule gani?Naxhindwa kuunganisha aisee!
Unapolishika hilo rungu , usiruhusu nikapiga puchu zimezingua pia Ila wimbo mkaliNyimbo Kali sana! Imetulia Ila Wakianza kuimba mashairi Yao ya Kichoko eti "usizinyoe nikusuke mabutu" like wtf! mashairi ya namna hii nayachukia sana! Hapo Harmoize Bado hajaanza Kuchanganya R na L Yani ndo nachoka kbsa
Ile yako unayoimiliki.Selection zimetoka umepangwa shule gani?
Acha nikaisikilizenawasalimu kwa jina la JMT!
Nauzungumzia huu wimbo wa Killy aliyomshirikisha Harmonize uitwao 'ni wewe'. Jamani, huu wimbo unachosababisha usitambe ni nini haswaa kama sio uchawi tu?!!!
Melody nzuri,
Mashairi mazuri,
Beat poa kabisa ya kizamani na kisasa iliyotulia,
Shooting ni njema kabisa.
Vyote vinastahili kusikilizwa harusini, clubs na hata mitaani. Ajabu ni kuwa napita humo mwote na ni nadra kuusikia.
Nazisikia nyimbo zingine zinazopigwa mara kwa mara,.....nabaki nashangaa tu!
Mwishowe nimeona nihitimishe tu kuwa kumbe hapa Bongo kwenye muziki inabidi uroge pia, yaani ni WACHAWI KUMBE!