Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Amfuate hukoBibi bado ana wenge la kuondokewa na MEKO kama ana ganzi hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amfuate hukoBibi bado ana wenge la kuondokewa na MEKO kama ana ganzi hivi.
Haya mfuate alipo
Kama Gambo sijui kapata ubongo wa nani aisee!😃Kuna hatari wengine wakachukua ubongo wa mtu mwingine maana walikuwa wanakabidhi bila kupewa receipt.
Hatuwezi kuvaa tena barakoa maana Corona tuliishinda tangu tarehe 17 march. Maombi tuliyapiga na Mungu akatujibia.Nani anavaa barakoa?
Ni wewe kweri!?Inaashiria usaliti na ni jinsi gani walikuwa Wanajipendekeza, nchi ilikuwa inatawaliwa na misingi ya kujipendekeza pendekeza tu.
Matokeo yake Corona ikaja kumcorona mwenyeweYaani magu fool was a distaster, disgrace to our nation,
Eti anasema corona imeondoka tanzania KWA sababu tumefanya maombi na mungu kajibu maombi yetu?what's so special mungu ajibu tuh maombi ya watz na ayaache ya watu wa mataifa mengine??...af alikuwa serious eti yule jamaa dah
Nasikia kachukua wa KibajajKama Gambo sijui kapata ubongo wa nani aisee![emoji2]
Kina Mdee ni CCM masalia, CDM iliwatema!Mwenyezi Mungu anatupenda. I believe he scenes in the script were meant to end up where he has ended up. Tunashukuru for what he has done. Tugange yanayokuja.
I was wondering hivi bunge ni la chama kimoja? Kumbe kuna kina mdee. Kweli maendeleo hayana chama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mamburula kweli kweli yaani!Nchi hii watendaji wajuu hasa mawaziri wametufedhehesha sana. Kusadiki vitu ambavyo havikutafitiwa na kupuuza sayansi halisi. Matokeo yake siku hizi wamepunguza mihemko kimya Kama siyo wao.
Mkuu nikiona ID yako nakumbuka slogan ya "...gesi haiondoki hata kwa mrija wa peni..."Yaani magu fool was a distaster, disgrace to our nation,
Eti anasema corona imeondoka tanzania KWA sababu tumefanya maombi na mungu kajibu maombi yetu?what's so special mungu ajibu tuh maombi ya watz na ayaache ya watu wa mataifa mengine??...af alikuwa serious eti yule jamaa dah
Mkuu, labda ni staili fulani hivi za kebehi, na yawezekana baada migandamizo yake na wenzake kuzaa "matunda" kwa upande fulani. 🙂🙂Hii imetoka moyoni kweli au na wewe umeandika tu kama na wao wanavyoandika?