martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 863
- 1,462
- Thread starter
-
- #101
Sijaelewa hata kimojaSasa baada ya zile pilikapilika za kuandika mashudu kila siku mzungu hivi mzungu vile, mara kikosi hakieleweki mara kocha amefukuzwa mara barbara hivi mara simba vile nyuzi zilikua zinaongozana mpk kero. Sasa kaeni kwa kutulia maana mpk mcheze na hyo Aly Hilali mtakua mmetoa matusi yotee na mkifungwa sasa mnayarudia hahah. Tulieni na nyie dawa iwaingie
Angalia rekodiMapopoma wanaingelea Yanga tu wamesahau timu lao bovu tambala la bibi
Huyu Aly hilali ulomwandika hapo ni mtu au?Sasa baada ya zile pilikapilika za kuandika mashudu kila siku mzungu hivi mzungu vile, mara kikosi hakieleweki mara kocha amefukuzwa mara barbara hivi mara simba vile nyuzi zilikua zinaongozana mpk kero. Sasa kaeni kwa kutulia maana mpk mcheze na hyo Aly Hilali mtakua mmetoa matusi yotee na mkifungwa sasa mnayarudia hahah. Tulieni na nyie dawa iwaingie
Usikute hapo alipo ni domo zege il kuandika bwana wa wanaume wenzie nyuma ya simu anaona kayapatia maisha hahhhhhh .Masikini wa akili ww!!
SINA HAJA YA KUKUJIBU MAANA TAYARI NIMEPIMA UELEWA WAKO KUTOKANA NA MANENO YAKO
Big pointSasa kama 40% ya wachezaji wamefundishwa na uyo Ibenge huoni kuwa ni Advantage pia kwa Yanga maana mbinu nyingi za uyo kocha zitakuwa zinajulikana?
Sijui ni nani. By the way sio kwamba sijui kuandika nimeamua tuu ..Al hilalHuyu Aly hilali ulomwandika hapo ni mtu au?
Soma vzr utaelewa. Nawaambia utopolo na nyuzi zao kuhusu simba zilifululiza humu mpk kero. Sasa wanasema Yanga ni kubwa kisa mnaiongele daily watafungwa na Al hilalySijaelewa hata kimoja
Mashabiki wenzangu wa msimbazi wakati mwingine mnatudharirisha, sisi tunamfunga al ahly tulikhwa na rekodi gani bora kuliko wao, kikosi chetu kilikuwa cha thamani gani, si ndio walikuwa wametoka kumsajili ramadan sobhi, kiasi utopolo wakawa wanatuimba tutatokea wapi.. Kipi kilijiri?
Aaaah!!! Ok wao wenyewe wanaelewa kam safari yao imewadiaSoma vzr utaelewa. Nawaambia utopolo na nyuzi zao kuhusu simba zilifululiza humu mpk kero. Sasa wanasema Yanga ni kubwa kisa mnaiongele daily watafungwa na Al hilaly
But don't be so sure mpira ni dkk 90.Aaaah!!! Ok wao wenyewe wanaelewa kam safari yao imewadia
Kuna vitu vinaonekana wazi kabisa, yanga hachomoki na akichomoka mechi ya taifa basi hafuzuBut don't be so sure mpira ni dkk 90.
Wewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?Upo sahihi boss, hao Al Hilal wanafungika kawaida tu kama Yanga ikijiandaa vizuri.
Hata OKW BOBAN SUNZU Scars njaakalihatari GENTAMYCINE Kalpana wanakubaliana na hili.
Kila laheri Simba na Yanga kwenye hatua zinazofuata.
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 redio Nyenyere Shadeeya Championship
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?
Huyu jamaa ana shobo sana!!!Wewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huyu ndio GENTA sasa.Wewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?
Ninashukuru ssna kwa Kunielewa mno.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huyu ndio GENTA sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani upoooo???Mechi ni yetu Timu ya Wananchi lakini mnavyoivalia vibwebwe sasa. lol.
Mkuu nmeuliza mihamala ni nini hayo mengine sitaki kujuaKwani hamjui kama utopolo mnaongoza kwa kuhonga pesa wapinzani!!??
Sa sijui round hii mtawaonga nn wale watu