Kwanini Yanga ataondolewa kimataifa

Kwanini Yanga ataondolewa kimataifa

Sasa baada ya zile pilikapilika za kuandika mashudu kila siku mzungu hivi mzungu vile, mara kikosi hakieleweki mara kocha amefukuzwa mara barbara hivi mara simba vile nyuzi zilikua zinaongozana mpk kero. Sasa kaeni kwa kutulia maana mpk mcheze na hyo Aly Hilali mtakua mmetoa matusi yotee na mkifungwa sasa mnayarudia hahah. Tulieni na nyie dawa iwaingie
Sijaelewa hata kimoja
 
Sasa baada ya zile pilikapilika za kuandika mashudu kila siku mzungu hivi mzungu vile, mara kikosi hakieleweki mara kocha amefukuzwa mara barbara hivi mara simba vile nyuzi zilikua zinaongozana mpk kero. Sasa kaeni kwa kutulia maana mpk mcheze na hyo Aly Hilali mtakua mmetoa matusi yotee na mkifungwa sasa mnayarudia hahah. Tulieni na nyie dawa iwaingie
Huyu Aly hilali ulomwandika hapo ni mtu au?
 
Mashabiki wenzangu wa msimbazi wakati mwingine mnatudharirisha, sisi tunamfunga al ahly tulikhwa na rekodi gani bora kuliko wao, kikosi chetu kilikuwa cha thamani gani, si ndio walikuwa wametoka kumsajili ramadan sobhi, kiasi utopolo wakawa wanatuimba tutatokea wapi.. Kipi kilijiri?
 
Soma vzr utaelewa. Nawaambia utopolo na nyuzi zao kuhusu simba zilifululiza humu mpk kero. Sasa wanasema Yanga ni kubwa kisa mnaiongele daily watafungwa na Al hilaly
Aaaah!!! Ok wao wenyewe wanaelewa kam safari yao imewadia
 
Wewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom