Kwanini Yanga SC imetumia Nguvu Kubwa na Kujiandaa Kupitiliza kwa Mechi ya Rivers United FC wakati kwa 99% Wameshafuzu?

Kwanini Yanga SC imetumia Nguvu Kubwa na Kujiandaa Kupitiliza kwa Mechi ya Rivers United FC wakati kwa 99% Wameshafuzu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.

Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
 
Tayari wameshashitakiwa CAF kwa kupulizia sumu kwenye basi la rivers
Timu masikini inayotembea na mamilioni ya Dola? Kwa Hilo nasimama na Yanga. Wao walipolalamikiwa kuwapa Yanga daladala kama ya Mbagala rangitatu tuliwaambia Yanga mmekwenda kucheza mpira siyo kutalii, hata mngepewa basi kama za Mwika - Machame zimepakia ndizi na mbege pamoja na watu chezeni. Kwa hiyo na wao wamekuja kucheza mpira wacheze waondoke. Kama walivyosema timu Yao haina hela hawawezi kuja mapema, Sasa hayo madola wamekuja kulangua uduvi?
 
Tayari wameshashitakiwa CAF kwa kupulizia sumu kwenye basi la rivers
Rivers walikalili kuwa Yanga ndio ile ile walioipiga nje ndani msimu uliopita, wakawachukulia poa. Sasa wameona wana mlima mrefu sana wanatafuta namna ya kupata sababu ili wapate ushindi wa mezani au tu kuichafua Yanga. Kabla ya Yanga kucheza na Rivers, ilishacheza mechi na timu nyingi tena zingine ni ngumu zaidi ya hao Rivers na zingine zilishatangulia kumfunga wakiwa kwao lakini timu zote zilizocheza na Yanga hakuna hata timu moja iliyowahi kuripoti kuhujumiwa na Yanga kwa sumu.

Leo hii timu iliyofungwa goli mbili wakiwa kwao ndio eti waje wahujumiwe na Yanga kwa kipi zaidi wakati timu ipo mbele kwa goli mbili? Mambo mengine yanachekesha sana
 
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.

Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Kwanini Makolokolo walitumia nguvu nyingi sana kumfunga Yanga NBC PL 2022/2023 hadi goli la mchongo lililotokana na kona feki?
 
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.

Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Hakuna kubweteka daima mbele,nyuma mwiko🏃
 
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.

Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Walichowafanya Jwaneng Galaxy Yanga wamekifanyia home work.

Yanga itaingia uwanjani leo kama ndio ilifungwa 2 bila kule Nigeria, hakuna mzaha kwenye mechi hii.
 
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.

Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Tumeonganisha na sherehe kabisa
 
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.

Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Elewa pia wachezaji wanaitaka bonus ya Rais Samia.
 
Hii ni hatua muhimu na ya kihistoria pia tukivuka hapa uwezekano wa kwenda final utakuwa mkubwa na historia au bar tutakayoset itaishi mda mrefu sana
 
Back
Top Bottom