Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Huyo ni Nani aliye mtimilifu wa energy na unathibitisha vipi uwepo wake Lwiva
kiranga alikimbia maswali yake mwenyewe kama wewe unavyo uliza ...ni energy. Wacha nikupo somo kidogo kuhusu wanasayansi ....wanasayansi wanakubali kuwa kisayansi vitu vyote ni energy na vimeumbwa na energy.....hivyo wanakubali kuwa Nguvu iliyo umba vitu vyote ni energy....wanachopinga wanasayansi ni hiki wanapinga kuwa hizo nguvu zilizo umba vitu vyote 👉 (zina ufahama na utashi) ...wao wanasema hizo nguvu zimeumba vitu vyote kwa kubahatisha tu kama ajali tu ila siyo kwamba hizo nguvu zina JITAMBUA zina UFAHAMU zina AKILI....hivyo wanasayansi wanakubali kuwa vitu vimeumbwa na nguvu za asili ambazo ndiyo ENERGY ila wanakataa kuwa
1) HIZO NGUVU ZINA AKILI
2)ZINA UFAHAMU
3)ZINA JITAMBUA
4)ZINA UTASHI
 
Miungu ni mingi,

Mungu ni MMOJA tu,

Na Jina la Mungu huyo mmoja,Jina tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa, ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH

Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:

Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.

Luka 22.42-43

Hapa tunaona mambo matatu muhimu:
  1. Yesu anamwomba Mungu. Yesu anamwabudu Mungu. Wawili hao ni mbali mbali, na vyeo vyao ni mbali mbali. Yesu ni mtumwa mnyonge mwenye kuomba na kuabudu. Na Mungu ni Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wote na mwenye kustahiki kuabudiwa pekee, hata na Yesu, mwenye kutakiwa msaada pekee, hata na Yesu.
  2. Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti. Yesu hana azma hata chembe ya kufa msalabani, kifo cha mhalifu, kifo cha laana kama maadui zake Mayahudi walivyoazimia kumpatilisha nacho. Lakini anakiri kuwa ni mapenzi ya Mungu sio yake yeye yatendeke. Yeye hana hila wala nguvu za kuzuia kudra ya Mwenyezi Mungu.
  3. Yesu, Mwana wa Adamu, anakata tamaa. Imani inampunguka. Kavunjika moyo. Ikabidi "Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu."
Jee, yaelekea kuwa Yesu ndiye Mungu?

Yaelekea kuwa yeye na Mungu kuwa ni sawa?

Kama upo wasiwasi wo wote wa kujibu hayo, mwenyewe Yesu anajibu kama anavyo hadithiwa na Yohana kuwa kasema:

Baba ni mkuu kuliko mimi.

Yohana 14.28
 
Duh! Kumbe binadamu wote sisi ni miungu
Yupo sahihi ila siyo binadamu wote ...nashangaa nimekupa siri kubwa sana ila unashindwa kuzitumia kufumbua mafumbo ya mungu ...hao wanadamu wanahadhi ya uungu kwa sababu ya ROHO MTAKATIFU ANAKAA NDANI YAO ..Kasome nimekuambia roho MTAKATIFU NI NINI?
 
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:

Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.

Luka 22.42-43

Hapa tunaona mambo matatu muhimu:
  1. Yesu anamwomba Mungu. Yesu anamwabudu Mungu. Wawili hao ni mbali mbali, na vyeo vyao ni mbali mbali. Yesu ni mtumwa mnyonge mwenye kuomba na kuabudu. Na Mungu ni Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wote na mwenye kustahiki kuabudiwa pekee, hata na Yesu, mwenye kutakiwa msaada pekee, hata na Yesu.
  2. Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti. Yesu hana azma hata chembe ya kufa msalabani, kifo cha mhalifu, kifo cha laana kama maadui zake Mayahudi walivyoazimia kumpatilisha nacho. Lakini anakiri kuwa ni mapenzi ya Mungu sio yake yeye yatendeke. Yeye hana hila wala nguvu za kuzuia kudra ya Mwenyezi Mungu.
  3. Yesu, Mwana wa Adamu, anakata tamaa. Imani inampunguka. Kavunjika moyo. Ikabidi "Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu."
Jee, yaelekea kuwa Yesu ndiye Mungu?

Yaelekea kuwa yeye na Mungu kuwa ni sawa?

Kama upo wasiwasi wo wote wa kujibu hayo, mwenyewe Yesu anajibu kama anavyo hadithiwa na Yohana kuwa kasema:

Baba ni mkuu kuliko mimi.

Yohana 14.28
(John 10:30-38)
I and the FATHER are one.

Mimi na BABA tu umoja.

Mungu ni MMOJA tu, na jinale ni YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH.
 
Yupo sahihi ila siyo binadamu wote ...nashangaa nimekupa siri kubwa sana ila unashindwa kuxitumia kufumbua mafumbo ya mungu ...hao wanadamu wanahadhi ya uungu kwa sababu ya ROHO MTAKATIFU...Kasome nimekuambia roho MTAKATIFU NI NINI?
Hayo mambo ni magumu kueleweka
 
Hayo mambo ni magumu kueleweka
BIBLIA ni codes,

Neno la Mungu ni Siri,

Ila Wana wa Ufalme tumepewa kuzijua Siri hizo, ndio maana hata Yesu alihubiri Kwa mafumbo, Ili kusikia wasikie lakini wasielewe.

Mwamini Yesu Ili akupe uwezo wa kufanyika Mwana wa Mungu Kisha ujizue Siri zake.
 
BIBLIA ni codes,

Neno la Mungu ni Siri,

Ila Wana wa Ufalme tumepewa kuzijua Siri hizo, ndio maana hata Yesu alihubiri Kwa mafumbo, Ili kusikia wasikie lakini wasielewe.

Mwamini Yesu Ili akupe uwezo wa kufanyika Mwana wa Mungu Kisha ujizue Siri zake.
Mimi nataka nizijue kwanza siri zake
 
Mimi nataka nizijue kwanza siri zake
Sasa nani atakufungulia codes pasipo kuamini?

Lazima ufichwe usizijue,

Maana Si vyema kutoboa pua ya nguruwe na kutia Pete ya dhahabu,

Nguruwe hawezi ithamini dhahabu, ataitia topeni!
 
Sasa nani atakufungulia codes pasipo kuamini?

Lazima ufichwe usizijue,

Maana Si vyema kutoboa pua ya nguruwe na kutia Pete ya dhahabu,

Nguruwe hawezi ithamini dhahabu, ataitia topeni!
👍
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa

YESU SI MUNGU:

KWA SABABU MUNGU NI MMOJA TU

Baadhi ya Wakristo wanatafuta sababu na udhuruwa kumfanya Yesu kuwa Mungu. Kwa mfano husema kwamba Yesu ni Mungu au mwana wa Mungu au Yesu ni Mungu mdogo au Yesu ni nafsi moja ya Mungu.

Mambo haya yote ni kufuru tupu iliyovuka mipaka. Kwa sababu sawa na Biblia Mungu ni mmoja tu. Hakuna
Mungu mdogo wala Mungu mwana.Biblia inasema:-

1. Wewe naam, wewe peke yako ndiye Mungu wa falme zote za dunia; wewe ndiwe uliyeziumba mbingu na nchi.
(2 Wafalme 19:15).

2. Kwa kuwa ndiwe mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza, ndiwe Mungu peke yako. (Zaburi 86:10).

3 Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma, (Yohana 17:3).

Sasa wakati Mungu wa pekee ni mmoja, hivyo Mungu zaidi ya mmoja ni wa uwongo.

4. Mwawezaje kuamini ninyi, mnaopokeana utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti? (Yohana 5:44).

5. ...Hakuna Mungu ila mmoja tu. Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni au duniani; kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi. Lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu. aliye baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake.

(1 Wakorintho 8:4-6).

Sawa na aya hizi hakuna MunguSawa na aya hizi hakuna Mungu ila mmoja tu.

Ingawa miungu wa bandia wanatajwa tajwa mbinguni na ardhini. Basi sasa ambaye anaamini mungu minghairi ya Mwenyezi Mungu anatoka katika imani na anaingia katika ushirikina kwa sababu ya kuwaita miungu zaidi ya mmoja ambaye ni wa kweli na wa pekee.

6. ..Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu. (Marko 2:7). Aya hii inathibitisha
kwamba mwenye kufuta na kuondoa dhambi ni mmoja tu ambaye ni Mungu. Yaani hakuna mungu wa pili wala
45:21-22, 46:9; Marko 12:32; Luka 18:19; Mathayo 4:10; Warumi 3:30; Timotheo 1:17, 2:5.

Hakuna aya hata moja inayosema kwamba Yesu ni Mungu.
 
Hayo mambo ni magumu kueleweka
Siyo magumu nimekuambia kasome upya injili ukitumia fafanuzi nilizo kupa kisha utagundua kitu ...tatizo lenu mnashindwa kuelewa hii siri ya
1)MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI.

2)YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA MWANADAMU (hivyo yesu siyo mtu kwa sababu siyo nafsi ya binadamu iliyopo ndani yake ) jini likimpanda mtu kunakuwa na nafsi mbili au zaidi kutokana na idadi ya majini ...mfano mwanadamu akipandwa na jini moja maana yake ni nafsi mbili ndani ya mwili mmoja muda ule ambao jini lime mpanda tunamtambua yule mtu kuwa ni jini ....swali mfano mtu kafa ila nafsi ya jini ikaweza kuutumia mwili wake... hapo utasema huyo ni yule mtu au ni jini ?

3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU (yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja ) hapa ndipo ilipo siri ya ilo neno Miungu.
 
Alikufa akafufuka. Wakati anakufa alikuwa ameuvaa mwili wa kibinadamu ili damu imwagike tupate ondoleo na msamaha wa dhambi.

HAKUNA USHAHIDI WOWOTE NDANI YA BIBLIA UNAOONYESHA BWANA yESU ALIKUFA
 
Siyo magmu nimekuambia kasome upya injili ukitumia fafanuzi nilizo kupa kisha utagundua kitu ...tatizo lenu mnashindwa kuelewa hii siri ya
1)MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2)YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA MWANADAMU (hivyo yesu siyo mtu kwa sababu siyo nafsi ya binadamu iliyopo ndani yake ) jini likimpanda mtu kunakuwa na nafsi mbili au zaidi kutokana na idadi ya majini ...mfano mwanadamu akipandwa na jini moja maana yake ni nafsi mbili ndani ya mwili mmoja mudaule ambao jini limempanda tunamtambua yule mtu kuwa ni jini ....swali mfano mtu kafa ila nafsi ya jini ikaweza kuutumia up mwili hapo utasema huyo ni yule mtu au ni jini ?
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU (yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja ) hapa ndipo ilipo siri ya ilo neno
Ok
 
Siyo magumu nimekuambia kasome upya injili ukitumia fafanuzi nilizo kupa kisha utagundua kitu ...tatizo lenu mnashindwa kuelewa hii siri ya
1)MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2)YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA MWANADAMU (hivyo yesu siyo mtu kwa sababu siyo nafsi ya binadamu iliyopo ndani yake ) jini likimpanda mtu kunakuwa na nafsi mbili au zaidi kutokana na idadi ya majini ...mfano mwanadamu akipandwa na jini moja maana yake ni nafsi mbili ndani ya mwili mmoja mudaule ambao jini limempanda tunamtambua yule mtu kuwa ni jini ....swali mfano mtu kafa ila nafsi ya jini ikaweza kuutumia up mwili hapo utasema huyo ni yule mtu au ni jini ?
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU (yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja ) hapa ndipo ilipo siri ya ilo neno Miungu.

Lete ushahidi kutoka biblia Bwana Yesu anasema mimi ni Mungu niliyevaa mwili wa binadamu ??
 
YESU SI MUNGU:

KWA SABABU MUNGU NI MMOJA TU

Baadhi ya Wakristo wanatafuta sababu na udhuruwa kumfanya Yesu kuwa Mungu. Kwa mfano husema kwamba Yesu ni Mungu au mwana wa Mungu au Yesu ni Mungu mdogo au Yesu ni nafsi moja ya Mungu.

Mambo haya yote ni kufuru tupu iliyovuka mipaka. Kwa sababu sawa na Biblia Mungu ni mmoja tu. Hakuna
Mungu mdogo wala Mungu mwana.Biblia inasema:-

1. Wewe naam, wewe peke yako ndiye Mungu wa falme zote za dunia; wewe ndiwe uliyeziumba mbingu na nchi.
(2 Wafalme 19:15).

2. Kwa kuwa ndiwe mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza, ndiwe Mungu peke yako. (Zaburi 86:10).

3 Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma, (Yohana 17:3).

Sasa wakati Mungu wa pekee ni mmoja, hivyo Mungu zaidi ya mmoja ni wa uwongo.

4. Mwawezaje kuamini ninyi, mnaopokeana utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti? (Yohana 5:44).

5. ...Hakuna Mungu ila mmoja tu. Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni au duniani; kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi. Lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu. aliye baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake.

(1 Wakorintho 8:4-6).

Sawa na aya hizi hakuna MunguSawa na aya hizi hakuna Mungu ila mmoja tu.

Ingawa miungu wa bandia wanatajwa tajwa mbinguni na ardhini. Basi sasa ambaye anaamini mungu minghairi ya Mwenyezi Mungu anatoka katika imani na anaingia katika ushirikina kwa sababu ya kuwaita miungu zaidi ya mmoja ambaye ni wa kweli na wa pekee.

6. ..Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu. (Marko 2:7). Aya hii inathibitisha
kwamba mwenye kufuta na kuondoa dhambi ni mmoja tu ambaye ni Mungu. Yaani hakuna mungu wa pili wala
45:21-22, 46:9; Marko 12:32; Luka 18:19; Mathayo 4:10; Warumi 3:30; Timotheo 1:17, 2:5.

Hakuna aya hata moja inayosema kwamba Yesu ni Mungu.
1
(Yohana 10:30-38)
Yesu amesema Yeye ni Mungu.
 
Uhusiano wa Neno na Mungu: Yohana 1:1 inaonyesha kuwa Neno alikuwa "kwa Mungu," na si kwamba Neno alikua Mungu mwenyewe. Hii inaweza kueleweka kama kuwepo kwa tofauti kati ya Mungu na Neno, huku Neno likiwa na uhusiano wa karibu na Mungu lakini si Mungu mwenyewe.
Wewe hata kusoma tu hapo kwenye huo mstari unashindwa? Yesu ni jina alilopewa alipokuja duniani lakini yeye ni NIKO AMBAYE NIKO. Ni Mungu mkuu. Munguvwa kweli! Maana hata shetani anajiita mungu. Mungu sio jina bali ni cheo.
 
Lete ushahidi kutoka biblia Bwana Yesu anasema mimi ni Mungu niliyevaa mwili wa binadamu ??
Ushahidi haupo kwenye injili tu hata kwenya torati tena mwingi mno ...kasome injili upya kwa kutumia fafanuzi nilizo toa utagundua unapata ufahamu mpya na bora zaidi wa injili ya kweli .
 
(Yohana 10:30-38)
Yesu amesema Yeye ni Mungu.

Yohana 10:38

Yesu hasemi kuwa Yeye ni mungu

Hebu tuangalie Yohana 10:30 "Mimi (Yesu) na Baba tu Umoja."

Mstari huu haueleweki kabisa na umetolewa nje ya muktadha, kwa sababu kuanzia mstari wa Yohana 10:23 tunasoma (katika muktadha wa 10:30) kuhusu Yesu akizungumza na Wayahudi.

Katika mstari wa Yohana 10:28-30, akizungumza juu ya wafuasi wake kuwa kondoo wake, yeye asema: “...Wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wala hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.

Mistari hii inathibitisha tu kwamba Yesu na Baba ni wamoja kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kuwanyakua kondoo kutoka mkononi mwa wawili hao. Haisemi kabisa kwamba Yesu ni sawa na Mungu katika kila jambo. Kwa hakika maneno ya Yesu, “Baba yangu, aliyenipa wao ni mkuu kuliko WOTE...,” katika Yohana 10:29 yanakanusha kabisa dai hili, la sivyo tunabaki na mkanganyiko tu sentensi tofauti.

Yote inajumuisha kila mtu hata Yesu (Luka 2:52: MUNGU alisamehe dhambi za Yesu na alikuwa "mfadhili" pamoja naye).


Pia kaangalie mstari wa Yohana 17:20-22 "
 
Ushahidi haupo kwenye injili tu hata kwenya torati tena mwingi mno ...kasome injili upya kwa kutumia fafanuzi nilizo toa utagundua unapata ufahamu mpya na bora zaidi wa injili ya kweli .

Naona ushahidi umeuleta mwingi hapa
 
Yohana 10:38

Yesu hasemi kuwa Yeye ni mungu

Hebu tuangalie Yohana 10:30 "Mimi (Yesu) na Baba tu Umoja."

Mstari huu haueleweki kabisa na umetolewa nje ya muktadha, kwa sababu kuanzia mstari wa Yohana 10:23 tunasoma (katika muktadha wa 10:30) kuhusu Yesu akizungumza na Wayahudi.

Katika mstari wa Yohana 10:28-30, akizungumza juu ya wafuasi wake kuwa kondoo wake, yeye asema: “...Wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wala hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.

Mistari hii inathibitisha tu kwamba Yesu na Baba ni wamoja kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kuwanyakua kondoo kutoka mkononi mwa wawili hao. Haisemi kabisa kwamba Yesu ni sawa na Mungu katika kila jambo. Kwa hakika maneno ya Yesu, “Baba yangu, aliyenipa wao ni mkuu kuliko WOTE...,” katika Yohana 10:29 yanakanusha kabisa dai hili, la sivyo tunabaki na mkanganyiko tu sentensi tofauti.

Yote inajumuisha kila mtu hata Yesu (Luka 2:52: MUNGU alisamehe dhambi za Yesu na alikuwa "mfadhili" pamoja naye).


Pia tuangalie mstari wa Yohana 17:20-22 " WOTE WAFANYWE
Unajua maana ya I AND THE FATHER ARE ONE?

Unataka ushahidi upi?

Na ikiwa unakataa kuhusu kufufuka wa Yesu, kwanini utimie vifungu vya BIBLIA kupinga uungu wa Yesu ikiwa unapingana na ushahidi wa maandiko juu ya kufufuka Kwa Yesu?
 
Back
Top Bottom