Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Dini ya kweli ya mwafrika ni ile iliyokuwepo kabla ya ujio wa watu weupe. Tutapigana,tutachukiana,na kupalangana Sana na hatuelewi hizo chuki zatoka wapi. Tunapigana na kuchukiana bure tu...🏃
Nakubaliana na wewe
Ni utumwa ndio unetufikisha hapa Yani mtu tunabishania mambo ya Jerusalem na uarabuni utasema tulikuwepo 😀😀😀
 
Yesu sio Mungu
Yohana 14:28 – “Mlisikia jinsi nilivyowaambia, ‘Ninakwenda zangu, nami nitarudi kwenu.’ Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuniliko.”

Yohana 17:3 – "Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma."

Mathayo 27- 46 "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
Rudi nyuma nilielezea hayo yote neno mwana ni mwili wa yesu na neno baba ni nafsi ya yesu ambayo ndiyo mungu ....hivyo yesu akisema nakwenda kwa baba umaanisha nafsi yake ...ambayo ni kuu kuliko mwili wake ....nukuu wanafunzi wa Yesu wakamuuliza kiama itakuwa lini ? Yesu akajibu hata mwana ajui ila baba ...wwnafunzi wake wakadhani kawaambia kuwa ajui siku ya kiama kumbe maana ya yale maneno yalikuwa ni mwili aujui ila nafsi yangu inajua ...baba ndiyo nafsi ya yesu
 
Haya eleza hapa mkuu. Mungu ni Nini Lwiva
Mungu ni energy katika utumilifu wake wote na ufahamu wote ...vitu vyote ni energy hata mimi na wewe ni sehemu ya energy ila sisi hatuna utimilifu wa energy hivyo tunamipaka tuliyo wekewa na huyo aliye na utimilifu wa mamlaka ya ulimwengu wa energy
 
Nakubaliana na wewe
Ni utumwa ndio unetufikisha hapa Yani mtu tunabishania mambo ya Jerusalem na uarabuni utasema tulikuwepo 😀😀😀
Wewe ni dini gani ? au ni mpagani kama mimi ? Najua utaniulixza kama wewe ni mpagani mbona unatetea mungu tena katika ukristo siyo uislamu ? Jibu ninalo pia
 
Huyo ni Nani aliye mtimilifu wa energy na unathibitisha vipi uwepo wake Lwiva
 
Wewe ni dini gani ? au ni mpagani kama mimi ? Najua utaniulixza kama wewe ni mpagani mbona unatetea mungu tena katika ukristo siyo uislamu ? Jibu ninalo pia
Neno upagani limeletwa na watu weupe kwa lengo la kuwafanya watu weusi waogope dini na Imani zao wafuate za kuzungu,usihadAike na propaganda za hao watu.
 
Yesu sio Mungu
Yohana 14:28 – “Mlisikia jinsi nilivyowaambia, ‘Ninakwenda zangu, nami nitarudi kwenu.’ Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuniliko.”

Yohana 17:3 – "Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma."

Mathayo 27- 46 "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha ...nafsi yangu nafsi yangu mbona unauacha mwili....maana yake ni tendo la Nafsi ya Mungu kutoka katika mwili wa Yesu ....sijui uelewi nini ndiyo maana nasema kilicho kufa msalabani ni mwili maana nafsi ya huo mwili iliyo mungu ilitoka na kuuachq mwili ukiwa mfu ...mwili bila ya nafsi unakuwa ni mfu umekufa
 
Neno upagani limeletwa na watu weupe kwa lengo la kuwafanya watu weusi waogope dini na Imani zao wafuate za kuzungu,usihadAike na propaganda za hao watu.
Mungu yupo hata kisayansi siyo kidini tu
 
Tusiongopeane hapa, yesu siyo Mungu, Wala hakuwahi kuwa Mungu. Hata mnapomwita ni mtoto wa Mungu mnafanya.makosa mkubwa kabisa. Mungu kama Mungu hakuwahi kuwa na mtoto, hana mke, hakuzaa Wala hakuzaliwa, sasa hizo mambo mnatoa.wapi!!! Acheni uongo, pia hakuna kitabu Cha Mungu kinaitwa biblia, kila Mtume alipewa kitabu, ila hakuna aliepewa biblia.
 
Dini ya kweli ya mwafrika ni ile iliyokuwepo kabla ya ujio wa watu weupe. Tutapigana,tutachukiana,na kupalangana Sana na hatuelewi hizo chuki zatoka wapi. Tunapigana na kuchukiana bure tu...🏃
poa mkuu nimekupata
 
Neno upagani limeletwa na watu weupe kwa lengo la kuwafanya watu weusi waogope dini na Imani zao wafuate za kuzungu,usihadAike na propaganda za hao watu.
Neno upagani alikuanzia kwa waafrica lilianzia kwa wazungu wao kwa wao kuitana hivyo ...siyo kama unavyo sema wewe kuwa ni neno maususi kwa waafrica.
 
Sahihi ndiyo maana kuna mwanafunzi wake mmoja anaitwa Filipo... alimwambia Yesu tuonyeshe 'Baba' yatosha, Yesu akamjibu kwa kumshangaa kuwa 👉filippo umekuwa nami siku zote usinijue! anionaye mimi kamwona Baba, mimi na baba ni kitu kimoja...mwisho wa kunukuu.
Marko 10:18
"Yesu akamwambia, Mbona uniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu."

Sasa hapo kwanini yesu alikataa kuitwa mwema na kusisitiza mwema ni mmoja tu ambaye ni Allah.
 
Marko 10:18
"Yesu akamwambia, Mbona uniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu."

Sasa hapo kwanini yesu alikataa kuitwa mwema na kusisitiza mwema ni mmoja tu ambaye ni Allah.
Hakukataa tumia akili ...nikama alivyo wajibu wanafunzi wake kuwa mwana ajui ila baba ...nikitu kilekile ...Yesu akuwa mwenye kuji dhihilisha wazi wazi uungu wake katika nafsi bali utaja baba au baba yangu au mungu ...akimaanisha nafsi yake hata hapo ...maana yake hakuna aliye mwema isipokuwa nafsi ya mungu ambayo ndiyo yeye mwenyewe.
 
Hakukataa tumia akili ...nikama alivyo wajibu wanafunzi wake kuwa mwana ajui ila baba ...nikitu kilekile ...Yesu akuwa mwenye kuji dhihilisha wazi wazi uungu wake katika nafsi bali utaja baba au baba yangu au mungu ...akimaanisha nafsi yake hata hapo ...maana yake hakuna aliye mwema isipokuwa nafsi ya mungu ambayo ndiyo yeye mwenyewe.
.......
 
Naye ataitwa Immanuel,yaani Mungu pamoja na WANADAMU,

Yesu ni Mungu katika NAFSI na Roho, akivaa mwili wa mwanadamu,

Mungu alikuja kufanya ujasusi duniani na akafanikiwa.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Back
Top Bottom