Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Soma majibu yangu kwa kutuliza akili ...kisha kasome biblia upya kwa kutumia fafanuzi zangu utajua yesu ni naniSasa hebu kuwa specific mungu mmoja anayetajwa ni yupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma majibu yangu kwa kutuliza akili ...kisha kasome biblia upya kwa kutumia fafanuzi zangu utajua yesu ni naniSasa hebu kuwa specific mungu mmoja anayetajwa ni yupi
Kwa hiyo yesu ndiye huyohuyo mungu babaSoma majibu yangu kwa kutuliza akili ...kisha kasome biblia upya kwa kutumia fafanuzi zangu utajua yesu ni nani
Yesu anapo sema "mwana" umaanisha mwili wake ...na anapo sema "mungu Baba" umaanisha nafsi yake kasome upya injili ...ndiyo maana yesu alikuwa anafutia dhambi watu hadi mafarisayo wakamshutumu kuwa anakufuru wakisemq ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja tu ndiye Mungu.Kwa hiyo yesu ndiye huyohuyo mungu baba
Hiv yesu ni mtu au sio mtuYesu anapo sema 'mwana' umaanisha mwili wake ...na anapo sema 'mungu Baba umaanisha nafsi yake kasome upya injili ...ndiyo maana yesu alikuwa anafutia dhambi watu hadi mafarisayo wakamshutumu kuwa anakufuru wakisemq ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja tu ndye Mungu.
Hivi mti ni mti au siyo mti ...? Hivi moto ni moto au siyo moto ...? Basi mtume Musa alikutana na mti utoao moto akasema ni mungu na huo mti na ule moto ulijitambulisha kwake kuwa ni Mungu...tumia akili.. FaizaFoxy adriz Malaria 2 Bwana Utam Mufti kuku The InfinityHiv yesu ni mtu au sio mtu
Niambie tu yesu ni mtu au siyo mtuHivi mti ni mti au siyo mti ...? Hivi moto ni moto au siyo moto ...? Basi mtume Musa alikutana na mti utoao moto akasema ni mungu na huo mti na ule moto ulijitambulisha kwake kuwa ni Mungu...tumia akili
Hivi mti ni mti au siyo mti ...? Hivi moto ni moto au siyo moto ...? Basi mtume Musa alikutana na mti utoao moto akasema ni mungu na huo mti na ule moto ulijitambulisha kwake kuwa ni Mungu...tumia akili
Yesu ni emmanuel yaani mungu pamoja nasi hivyo yesu siyo mtu kwa sababu nafsi yake siyo ya mwanadamu bali nafsi yake ni munguNiambie tu yesu ni mtu au siyo mtu
Niambie mti ni mti au la na moto ni moto au la ...maana na mimi nataka kumuuliza Mtume musa hilo swali maana anasema kakutana na mungu mti uwakao motoNiambie tu yesu ni mtu au siyo mtu
Mbona yeye mwenyewe kasema yeye ni mtu?Yesu ni emmanuel yaani mungu pamoja nasi hivyo yesu siyo mtu kwa sababu nafsi yake siyo ya mwanadamu bali nafsi yake ni mungu
😁😁😁😁 umeanza vituko kuna mtu alikuwako milele 😁😁😁😁Mbona yeye mwenyewe kasema yeye ni mtu?
Nimekuuliza tu 😃😀😄😁😁😁😁 umeanza vituko
😀😀😀😀Wanaomuita yesu ni Mungu hao wote ni katika watu waliokufuru, na ibada za watu hao waliokufuru huomba kwa jina la mwanadamu huyo anaeitwa yesu badala ya kuomba kwa jina la Mungu mmoja aliemuumba huyo yesu.
Yeye ni NENO siyo mtu hata msahafu unasema hivyo hivyo kuwa yesu ni neno wa munguNimekuuliza tu 😃😀😄
Sasa mbona yeye kasema yeye ni mtuYeye ni NENO siyo mtu hata msahafu unasema hivyo hivyo kuwa yesu ni neno la mungu
Mwili wa mtu nafsi ya mungu ...yesu alisema nafsi ndiyo itiayo uzima mwili haufai kitu ....mwili ndiyo mwili wa mtu nimekuambia sana kuwa neno Yesu ni mambo mawiliSasa mbona yeye kasema yeye ni mtu
Hadithi ya mtume BUKHARI 3435 Unasema Yesu ni neno wa mwenyzi MUNGU. "kallima tu Allah"😀Sasa ulijuaje kwamba huyo neno ni yesu
Huyu jamaa ni muislam original kabisa ana kichwa kigumu huyu.Sasa mbona yeye kasema yeye ni mtu
Lakini yesu si mtu?Mwili wa mtu nafsi ya mungu ...yesu alisema nafsi ndiyo itiayo uzima mwili haufai kitu ....mwili ndiyo mwili wa mtu nimekuambia sana kuwa neno Yesu ni mambo mawili
...Yesu ni MUNGU MFANO WA MTU (MWANADAMU) moto na mti alio uona na kuzungumza nao Mtume Musa ...ni MUNGU MFANO WA (MTI NA MOTO)
Inasema ametokana na neno lake la "kuwa" Na akawaHadithi ya mtume BUKHARI 3435 Unasema Yesu ni neno wa mwenyzi MUNGU. "kallima tu Allah"😀