Kuna watu mia na arobaini na nne elfu wataingia Mbinguni Kwa kumwamnii Yesu,
Mia arobaini na nne elfu ni coded,
Ni wengi sana idadi Yao ni maelfu elfu wataingia Mbinguni Kwa kumwamnii Yesu.
Believe in Jesus, be saved!
Amen
Kuna watu mia na arobaini na nne elfu wataingia Mbinguni Kwa kumwamnii Yesu,
Mia arobaini na nne elfu ni coded,
Ni wengi sana idadi Yao ni maelfu elfu wataingia Mbinguni Kwa kumwamnii Yesu.
Believe in Jesus, be saved!
Amen
Hakuna Mungu mwenye nafsi tatu ...huo upumbavu wa nafsi tatu ni wa madhehebu....siyo injili ya kweli .Nenda kasome tena jilo fungu maana inaonekana hukuwahi kuelewa:
Hapo mwanzo kulikuwako na Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, Naye Neno alikuwa ni Mungu. Hakuna chochote kilichofanyika kilichoweza kufanyika kilichofanyika pasipo yeye.
NB: suala la utatu mtakatifu ni fumbo ambalo hakuna mwanadamu aliyeweza kulifumbua. Tunajua kuna nafsi 3 za Mungu, lakini ni nini maana ya nafsi 3: Je, ni yule yule mmoja bali anaweza kujitokeza katika nafsi 3? Je, ni entities 3 zenye ushirikiano, na kwa ujumla wake ndiyo huitwa Mungu? Yesu anasema yuko ndani ya Baba, na Baba yupo ndani yake. Ukimwona yeye umemwona Baba.
Mimi kwa fikra zangu, siyo za kufundishwa, naamini Mungu ni mmoja, bali ana uwezo wa kutokea na kujigawanya katika hizo nafsi, na akitaka anaweza kujitokeza katika countless nafsi. Fikiria ukubwa wa Ulimwengu, lakini tunaambiwa kuwa siku ya Yesu kurudi Duniani, kila mtu atamwona. Kwa uwezo wa mwanadamu unaweza kusema hili litatokeaje!!!
Thibitisha uwepo wa Mungu acha kuzungumzia habari za sayaansi na energykiranga alikimbia maswali yake mwenyewe kama wewe unavyo uliza ...ni energy. Wacha nikupo somo kidogo kuhusu wanasayansi ....wanasayansi wanakubali kuwa kisayansi vitu vyote ni energy na vimeumbwa na energy.....hivyo wanakubali kuwa Nguvu iliyo umba vitu vyote ni energy....wanachopinga wanasayansi ni hiki wanapinga kuwa hizo nguvu zilizo umba vitu vyote 👉 (zina ufahama na utashi) ...wao wanasema hizo nguvu zimeumba vitu vyote kwa kubahatisha tu kama ajali tu ila siyo kwamba hizo nguvu zina JITAMBUA zina UFAHAMU zina AKILI....hivyo wanasayansi wanakubali kuwa vitu vimeumbwa na nguvu za asili ambazo ndiyo ENERGY ila wanakataa kuwa
1) HIZO NGUVU ZINA AKILI
2)ZINA UFAHAMU
3)ZINA JITAMBUA
4)ZINA UTASHI
Huwezi kujibu hoja kwa hasira mkuu,watu wanakuuliza wewe unaasema warudi nyuma kwenye comment au wakasome injili Nini dhamira ya kuleta topic hapa?Umeelewa kasome biblia injili au rudi nyuma kwenye comment zangu utakuta
Mtu ambae alizaliwa, akawa anakula, akafa is simply can not be A God.1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10
3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)
4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."
5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.
Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Tatizo hapa jf mimi ni mchangiaji sikuanzisha uzi hivyo wakati mwingine majibu nimesha yatoa kwa kumjibu mtu mmoja ila comment niliyo jibu ujaiona wewe hivyo kuleta usumbufu wa kujibu swali moja zaidi ya mara 10 ndiyo maana nakuambia kasome mlolongo wa maswali ninayo ulizwa na majibu huko nyuma hili upate mtililiko kamili wa majibu na maswali .Huwezi kujibu hoja kwa hasira mkuu,watu wanakuuliza wewe unaasema warudi nyuma kwenye comment au wakasome injili Nini dhamira ya kuleta topic hapa?
Mtu ambae alizaliwa, akawa anakula, akafa is simply can not be A God.1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10
3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)
4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."
5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.
Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Waulize wanasayansi ulimwengu umeumbwa na nini ? Watakupa jibu kuwa umeumbwa na NGUVU ZA ENERGY hizo nguvu zilizo umba ulimwengu ndiyo munguThibitisha uwepo wa Mungu acha kuzungumzia habari za sayaansi na energy
Yesu ni mtume na amesema hayo mwenywe na pia hakusema aabudiwe ila dunia ilifosi ili Muumba asiabudiwe rejea mistari hii baadhi1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."
Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10
3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)
4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."
5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.
Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Kwa jina la Baba,mwana na roho mtakatifu. Kwa Nini isianze kwa jina la roho mtakatifu, mwana na baba?? Na yesu alikuwa Mungu katika mwana mwenye umbo no la mwanadamu. Kiukweli yesu alikuja duniani kusimama kama kielelezo yaani Kama taswira kuwa ili mwanadamu aufikie uzima wa milele basi afuate matendo aliyokuwa anayafanya yesu Mungu katika Hali ya uanadamu..Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
Luka 22.42-43
Hapa tunaona mambo matatu muhimu:
Jee, yaelekea kuwa Yesu ndiye Mungu?
- Yesu anamwomba Mungu. Yesu anamwabudu Mungu. Wawili hao ni mbali mbali, na vyeo vyao ni mbali mbali. Yesu ni mtumwa mnyonge mwenye kuomba na kuabudu. Na Mungu ni Mwenyezi Mungu mwenye uwezo wote na mwenye kustahiki kuabudiwa pekee, hata na Yesu, mwenye kutakiwa msaada pekee, hata na Yesu.
- Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti. Yesu hana azma hata chembe ya kufa msalabani, kifo cha mhalifu, kifo cha laana kama maadui zake Mayahudi walivyoazimia kumpatilisha nacho. Lakini anakiri kuwa ni mapenzi ya Mungu sio yake yeye yatendeke. Yeye hana hila wala nguvu za kuzuia kudra ya Mwenyezi Mungu.
- Yesu, Mwana wa Adamu, anakata tamaa. Imani inampunguka. Kavunjika moyo. Ikabidi "Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu."
Yaelekea kuwa yeye na Mungu kuwa ni sawa?
Kama upo wasiwasi wo wote wa kujibu hayo, mwenyewe Yesu anajibu kama anavyo hadithiwa na Yohana kuwa kasema:
Baba ni mkuu kuliko mimi.
Yohana 14.28
Nataka uniambie weweWaulize wanasayansi ulimwengu umeumbwa na nini ? Watakupa jibu kuwa umeumbwa na NGUVU ZA ENERGY hizo nguvu zilizo umba ulimwengu ndiyo mungu
Umeambiwa toa sababu kama Yesu sio Mungu alafu unauliza sijui niniKwa nn Yesu Hakuoa, na Je kwa Nini Shetani alingea na mwanamke ktk Bustani ya Edeni
Nikuambie nini tena?Nataka uniambie wewe
Kabla ya moja kuna nini?Hapo mwanzo..
je kabla ya mwanzo kulikuwa na nini na nani?
Wewe akili zako zinafuta maelezo ya muhammad...injili yote toka mwanzo inathibitisha kuwa Yesu ni mungu ...hata namna ya alivyokuwa anafundisha ilikuwa ni tofauti na mitume wote na manabii imeandikwa alikuwa na fundisha kama mtu mwenye MAMLAKA ....SIKU NITAKUJA KUWAAMBIA WAISLAMU KWANINI MUHAMMAD ANAPINGA SANA KUHUSU YESU KUWA NI MUNGU PIA ANAPINGA SAMA KUHUSU KUSULUBIWA KWA YESU ....KUNA SABABU KUBWA SANA ZA KISHETANI NDANI YAKE.Ukitumia akili na maarifa, utagundua kuwa Yesu hajawahi kujiita Mungu, ila walio muita Mungu ni wengine na unachokisoma kwenye Biblia kama ushahidi; kilindikwa miaka mingi mingi baada ya Yesu kutwaliwa
Uamuzi ni wako;
Kumuamini Yesu ambaye hajajiita Mungu na muda mwingi alitumia muda wake kumuomba Mungu amsaidie katika kutimiza majukumu aliyokuwa amepewa au uamini walio amua kumuita kuwa ni Mungu miaka mingi baada ya yeye kutwaliwa!
Wewe ni mkristo? Kama sio mkristo kina chokuuma nini?pumbafu.Wanaomuita yesu ni Mungu hao wote ni katika watu waliokufuru, na ibada za watu hao waliokufuru huomba kwa jina la mwanadamu huyo anaeitwa yesu badala ya kuomba kwa jina la Mungu mmoja aliemuumba huyo yesu.
Sasa mbona alipofufuka hukatai kuwa wa milele.Sasa kama alikufa kwa nini unasema ni wa milele
NakataaSasa mbona alipofufuka hukatai kuwa wa milele.