Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Wewe akili zako zinafuta maelezo ya muhammad...injili yote toka mwanzo inathibitisha kuwa Yesu ni mungu ...hata namna ya alivyokuwa anafundisha ilikuwa ni tofauti na mitume wote na manabii imeandikwa alikuwa na fundisha kama mtu mwenye MAMLAKA ....SIKU NITAKUJA KUWAAMBIA WAISLAMU KWANINI MUHAMMAD ANAPINGA SANA KUHUSU YESU KUWA NI MUNGU PIA ANAPINGA SAMA KUHUSU KUSULUBIWA KWA YESU ....KUNA SABABU KUBWA SANA ZA KISHETANI NDANI YAKE.

Yaani hata kwa akili ya kawaida
Mungu analala usingizi, sasa si anapitwa na mambo mengi,
Mungu anazaliwa na Binadamu kweli?
Mungu anasikia njaa, kula nk
ACHENI KUDHALILISHA UKUU WA MUNGU!
 
Shalom Mtumishi.

Yesu siyo Mungu maana yeye mwenyewe ana Mungu. Kwenye Yohana 20:17 anasema hivyo.

Yesu akamwambia, “Usinishike; sijaenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: Naenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”

Andiko la Yohana 1:1 limepotoshwa. Maneno Mungu yaliyoandikwa mara mbili hayamaanishi kitu kimoja. Biblia enzi hizo iliandikwa kwa Kigiriki. Ukiangalia andiko hilo kwa kigiriki utaona tofauti ya Mungu hizo. Mungu moja in V mwishoni na nyingine ina S. Hiyo ya pili inamaanisha yesu alikuwa na sifa za kimungu, na siyo kwamba alikuwa Mungu.

View attachment 3253058View attachment 3253059

Yesu hajilinganishi na Mungu. Huko juu alisema naenda kwa baba yangu na baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu. Hapa chini anakazia kuwa huyo baba ni mkuu kuliko yeye. Na kuwa hawako sawa.

Yohana 14 28

Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Wewe yaonyesha ni msomi sana.Kutafsiri kitabu kutoka lugha moja kwenda nyingine ni tatizo kubwa,ndio maana Qur'an inabaki kwenye lugha moja tu,nyingine zinahesabika ni tafsiri ya Qur'an.Kila lugha ina utamaduni wake,kwa mfano kwa waingereza,mwanamme anaolewa na mwanamke anaolewa,mwanamme anasema,Will you merry me?anamwambia mwanake, utanioa?Kwenye kiswahili,ukitafsiri kama ilivyo,haikubaliki.Hata kwenye kiarabu,hakuna,baba mkubwa,akiwa sio baba aliyekuzaa au mama aliyekuzaa,wote ni baba na mama mdogo tu.
 
Kwahiyo kuna Mungu wangapi ?

Binadamu yeyote Ana uungu ndani yake Ila Binadamu hawezi kuwa Mungu.

Jesus Christ ni God's messenger ambaye Alikuja duniani kutimiza mission yake na kuondoka.

At his age 33 alikuwa amefanya mambo mamkubwa katika kuijenga Imani sehemu aliyotumwa.

Bible is fiction book na watu wachache ndo wamefanikiwa kukielewa hiki kitabu in deep.✊🏿
 
Shalom Mtumishi.

Yesu siyo Mungu maana yeye mwenyewe ana Mungu. Kwenye Yohana 20:17 anasema hivyo.

Yesu akamwambia, “Usinishike; sijaenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: Naenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”

Andiko la Yohana 1:1 limepotoshwa. Maneno Mungu yaliyoandikwa mara mbili hayamaanishi kitu kimoja. Biblia enzi hizo iliandikwa kwa Kigiriki. Ukiangalia andiko hilo kwa kigiriki utaona tofauti ya Mungu hizo. Mungu moja in V mwishoni na nyingine ina S. Hiyo ya pili inamaanisha yesu alikuwa na sifa za kimungu, na siyo kwamba alikuwa Mungu.

View attachment 3253058View attachment 3253059

Yesu hajilinganishi na Mungu. Huko juu alisema naenda kwa baba yangu na baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu. Hapa chini anakazia kuwa huyo baba ni mkuu kuliko yeye. Na kuwa hawako sawa.

Yohana 14 28

Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Wewe,msomi,umetuelewesha vizuri.
 
Wanaomuita yesu ni Mungu hao wote ni katika watu waliokufuru, na ibada za watu hao waliokufuru huomba kwa jina la mwanadamu huyo anaeitwa yesu badala ya kuomba kwa jina la Mungu mmoja aliemuumba huyo yesu.
Jina la Huyo Mungu mmoja ni lipi?
 
Yaani hata kwa akili ya kawaida
Mungu analala usingizi, sasa si anapitwa na mambo mengi,
Mungu anazaliwa na Binadamu kweli?
Mungu anasikia njaa, kula nk
ACHENI KUDHALILISHA UKUU WA MUNGU!
Yesu aliye weza kuyaona mambo ya nyoyoni mwa watu ndiyo analala usingizi je usingizi na kifo kipi chenye nguvu basi jua tu yesu alishinda mauti kwa kuwa awezi kufa japo.mwili umekufa ...mungu akifumba macho siyo kwamba haoni au kalala ...mwili ni mwili na nafsi ni nafsi nafsi ya yesu ni mungu nafsi yake aijawai kufa hata sekunde moja wala aiwezi kulala ...si kulala usingizi wala kulala mautini
 
Yaani hata kwa akili ya kawaida
Mungu analala usingizi, sasa si anapitwa na mambo mengi,
Mungu anazaliwa na Binadamu kweli?
Mungu anasikia njaa, kula nk
ACHENI KUDHALILISHA UKUU WA MUNGU!
UNAPO SIKIA NENO YESU NI MAMBO NAWILI
1)MWILI na
2)NAFSI ....
kilicho lala ni mwili siyo nafsi ata wachawi wanaweza kuuacha mwili umelala ila nafsi zao zipo zinawanga ....kuhusu kula na kunya ni mwili .....UUNGU WA YESU UPO KATIKA NAFSI YAKE AMBAYO NDIYO BABA AMBAYO NDIYO MFALME AMBAYO NDIYO MUNGU MWENYEZI...SIYO KATIKA KIWILIWILI ....Tatizo lenu waislamu mnashindwa kujua tofauti ya nafsi na mwili ... YESU NI MWILI WA BINADAMU WENYE NAFSI YA MUNGU MWENYEZI PEKEE.
 
Shalom Mtumishi.

Yesu siyo Mungu maana yeye mwenyewe ana Mungu. Kwenye Yohana 20:17 anasema hivyo.

Yesu akamwambia, “Usinishike; sijaenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: Naenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”

Andiko la Yohana 1:1 limepotoshwa. Maneno Mungu yaliyoandikwa mara mbili hayamaanishi kitu kimoja. Biblia enzi hizo iliandikwa kwa Kigiriki. Ukiangalia andiko hilo kwa kigiriki utaona tofauti ya Mungu hizo. Mungu moja in V mwishoni na nyingine ina S. Hiyo ya pili inamaanisha yesu alikuwa na sifa za kimungu, na siyo kwamba alikuwa Mungu.

View attachment 3253058View attachment 3253059

Yesu hajilinganishi na Mungu. Huko juu alisema naenda kwa baba yangu na baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu. Hapa chini anakazia kuwa huyo baba ni mkuu kuliko yeye. Na kuwa hawako sawa.

Yohana 14 28

Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Basi Yesu Kristo ni mwana wa Mungu.
 
Hii imemaliza kila kitu!
Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
 
UNAPO SIKIA NENO YESU NI MAMBO NAWILI
1)MWILI na
2)NAFSI ....
kilicho lala ni mwili siyo nafsi ata wachawi wanaweza kuuacha mwili umelala ila nafsi zao zipo zinawanga ....kuhusu kula na kunya ni mwili .....UUNGU WA YESU UPO KATIKA NAFSI YAKE AMBAYO NDIYO BABA AMBAYO NDIYO MFALME AMBAYO NDIYO MUNGU MWENYEZI...SIYO KATIKA KIWILIWILI ....Tatizo lenu waislamu mnashindwa kujua tofauti ya nafsi na mwili ... YESU NI MWILI WA BINADAMU WENYE NAFSI YA MUNGU MWENYEZI PEKEE.

Na mara zote alipo kuwa anawaaga wanafunzi wake kuwa anakwenda kuomba na mara nyingine anaomba hadi analalia huko; unafikiri alikuwa akwenda kuomba kwa nani; na kwa nini aombe kama yeye ndiye Mungu ?
Watu wangu wata angamia kwa kukosa maarifa!
 
Na mara zote alipo kuwa anawaaga wanafunzi wake kuwa anakwenda kuomba na mara nyingine anaomba hadi analalia huko; unafikiri alikuwa akwenda kuomba kwa nani; na kwa nini aombe kama yeye ndiye Mungu ?
Watu wangu wata angamia kwa kukosa maarifa!
Yesu ni kielelezo kasome ...ni mwalimu..walimu utoa mifano kwa vitendo tumia akili...ndani ya uislamu kuna sehemu Allah ana sema ...na nukuu 👉Na apa kwa yeye aliye ziumba mbingu na ardhi ....sasa ana apa kwa nani ikiwa yeye ndiye mungu aliye ziumba mbingu na ardhi
 
Kwa jina la Baba,mwana na roho mtakatifu. Kwa Nini isianze kwa jina la roho mtakatifu, mwana na baba?? Na yesu alikuwa Mungu katika mwana mwenye umbo no la mwanadamu. Kiukweli yesu alikuja duniani kusimama kama kielelezo yaani Kama taswira kuwa ili mwanadamu aufikie uzima wa milele basi afuate matendo aliyokuwa anayafanya yesu Mungu katika Hali ya uanadamu..

mkuu, yesu ni Mungu ila alikuja duniani kutupa njia na mwanga kuwa uzima wa milele unafikiwaje. Maybe Mungu Angekuja na nguvu zake,ukuu wake na utakatifu wake hakuna hata binadam mmoja angemsogelea hivyo ingeshindikana kufikisha ujumbe kwa wanadamu. Yesu alifanya maombi,aliishiwa nguvu,aliogopa kifo alilia ila aliomba Sana kwa Mungu mkuu kweli akamletea malaika wake wakamtia nguvu vivo hivyo nasi tunatakiwa kufanya wanadamu aliye juu tayari alishatupaa njia

Sorry, nimejibu kiuelewa

Hayo ni maneno yako au maneno ya mafundisho ya mchungaji wako

Ungalituwekea walau aya moja kuthibitisha maneno yako
 
Yesu ni kielelezo kasome ...ni mwalimu..walimu utoa mifano kwa vitendo tumia akili...ndani ya uislamu kuna sehemu Allah ana sema ...na nukuu 👉Na apa kwa yeye aliye ziumba mbingu na ardhi ....sasa ana apa kwa nani ikiwa yeye ndiye mungu aliye ziumba mbingu na ardhi

Biblia inasema kwamba Mungu sio mwanadamu​


‘Mungu sio mwanadamu’ (Hesabu 23:19)


‘Kwa maana mimi ni Mungu, wala sio mwanadamu’ (Hosea 11:9)


Yesu anaitwa mtu mara nyingi katika Biblia​


‘mtu ambaye amewaambia iliyo kweli’ (Yohana 8:40)


‘Yesu Mnazareti, mtu aliyeshuhudiwa na Mungu kwa miujiza na maajabu na ishara ambazo Mungu alizifanya kwa yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mjuavyo.’ (Matendo 2:22)
 
Jina la Huyo Mungu mmoja ni lipi?
Jina la Huyo Mungu ni Allah lakini waliokutafsiria Biblia katika harakati zao za kutafuta ugali kwa udanganyifu wamelitoa hilo jina

NOW YOU SEE IT



1740922266552.jpeg
 

Attachments

  • 1740922266585.jpeg
    1740922266585.jpeg
    74.5 KB · Views: 1

Biblia inasema kwamba Mungu sio mwanadamu​


‘Mungu sio mwanadamu’ (Hesabu 23:19)


‘Kwa maana mimi ni Mungu, wala sio mwanadamu’ (Hosea 11:9)


Yesu anaitwa mtu mara nyingi katika Biblia​


‘mtu ambaye amewaambia iliyo kweli’ (Yohana 8:40)


‘Yesu Mnazareti, mtu aliyeshuhudiwa na Mungu kwa miujiza na maajabu na ishara ambazo Mungu alizifanya kwa yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mjuavyo.’ (Matendo 2:22)
Je mungu ni mti au mungu ni moto? Mtume musa aliona mti uwakao moto akasema ni mungu ...hivyo mungu kuonekama kama mtu akumfanyi yeye kuwa mtu ...Yesu akuwa na nafsi ya binadamu bali nafsi ya Mungu.... hivyo nafsi ya mungu siyo mtu.
 
Back
Top Bottom