Wewe akili zako zinafuta maelezo ya muhammad...injili yote toka mwanzo inathibitisha kuwa Yesu ni mungu ...hata namna ya alivyokuwa anafundisha ilikuwa ni tofauti na mitume wote na manabii imeandikwa alikuwa na fundisha kama mtu mwenye MAMLAKA ....SIKU NITAKUJA KUWAAMBIA WAISLAMU KWANINI MUHAMMAD ANAPINGA SANA KUHUSU YESU KUWA NI MUNGU PIA ANAPINGA SAMA KUHUSU KUSULUBIWA KWA YESU ....KUNA SABABU KUBWA SANA ZA KISHETANI NDANI YAKE.
Yaani hata kwa akili ya kawaida
Mungu analala usingizi, sasa si anapitwa na mambo mengi,
Mungu anazaliwa na Binadamu kweli?
Mungu anasikia njaa, kula nk
ACHENI KUDHALILISHA UKUU WA MUNGU!