Kwanini Yesu hakuwa na wanafunzi wanawake?

Kwanini Yesu hakuwa na wanafunzi wanawake?

Wanawake wana mambo kibao mkuu....
Wangeanza kujipamba,kwenda hedhi,kubeba mimba,kusengenyana na mwisho wangemtamani jesus mwenyewe...

Japo hata wale wanaume hawakukamilika lakni atlisti wanavumilika
Na hapo Bado hawajaanza kuchambana
 
Mkuu, kuna tofauti kati ya wanafunzi na mitume. Bwana Yesu, mwokozi wangu. Alikuwa na wanafunzi wengi. Na ndani yake kulikuwepo wanawake. Rejea LUKA 8:2-3. "na wanawake kadha wa kadha..." ktk LUKA 10:1-, "Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine, SABINI, AKAWATUMA.." Na miongoni mwa wanafunzi hao, aliwachagua watu 12 kuwa mitume. LUKA 6:13 "hata kulipokuwa mchana aliwaita wanafunzi wake; akachagua kumi na wawili MIONGONI mwao, ambao aliwaita MITUME.
 
Naombeni majibu wakubwa.
Kama hauna majibu ni bora ukakaa pembeni.

Sitarajii kebehi
"Mwalimu,mi niko period so sitoenda nawe nazaleti"

2. "Mwalimu, boyfriend wangu anakuja weekend hii kutoka galilaya,sitoenda nawe mlimani kusali"

3." Mwalimu, danga langu lile nalokwambiaga lipo ofisi ya pilato limeniita"

4."Mwalimu leo umedamshi,jamani we mkaka unajua kuvaa"
 
It was first century Judea and Galilee. Women were not permitted to leave the house without a male escort; they were not allowed to sit in the main area of the synagogues; they were not allowed on the Temple grounds; they were not allowed to speak openly with a man who was not a relative; and if a male visitor showed up at the house, they were required to leave the room until he was gone.

That poses some serious challenges to any woman who might want to travel around the countryside sleeping in ditches, bathing in rivers, and living in close quarters with a group of men. It would have been unthinkable at the time, and deeply offensive to their culture.

The early Church flaunted custom, allowing women to teach and attend services with the men, and that created massive backlash. The idea of men and women worshipping together was so scandalous to the Romans that Christians were accused of engaging in cannibalism, incest, and orgies during their services, and even as late as the fourth century, the Emperor Licenius forced all Christians to worship in open fields where the soldiers could keep the men and women separated.
Ingawa ni kilatini, ila mada ifungwe tu!
 
Kipindi kile watu walikuwa wanafuata Torati.na ilikuwa sheria kuwa mwanamke akiwa hedhi lazima atengwe siku 7 kwa kuwa anakuwa mchafu.
Sasa kazi ya ukombozi inahitaji watu safi.ndo Mana wanawake hawakuwepo.Hata Leo mwanamke anatakiwa asiwe mchungaji kwa Hali yake.
 
Naombeni majibu wakubwa.
Kama hauna majibu ni bora ukakaa pembeni.

Sitarajii kebehi
🙏

Wanafunzi wa kike? SubutuuuuView attachment 2580629

Bila kebehi na bila kudharau wanawake - tunatakiwa kutumia akili kutambua asili ya uumbaji na mgawanyo wa majukumu kwa jinsia

WANAWAKE WALIFANYA MENGI KATIKA KUMFUATA KRISTO YESU JAPO HAWAKUWA KATI YA MITUME 70 WALA WALE 12

MITUME WALIJENGA MAZOEA WAKAKOSA KUYAONA ALIYOBEBA KRISTO, HAWAKUWA NA MAONO YA KIFO KILICHOKUA MBELE YA KRISTO ILA WANAWAKE WALIONA NA WALIELEWA YULE NDIYE ALIYEBEBA HATMA YA ULIMWENGU

MARKO 14: 3-9
1 Naye alipokuwapo Bethania, nyumbani mwa Simoni mkoma, ameketi chakulani, alikuja mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya nardo safi ya thamani nyingi; akakivunja kibweta akaimimina kichwani pake.
4 Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwani kupoteza marhamu namna hii?
5 Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi, wakapewa maskini. Wakamnung'unikia sana yule mwanamke.
6 Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;
7 maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamnami sikuzote.
8 Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.
9 Amin, nawaambia, Kila ihubiriwapo Injili katika ulimwengu wote, na hili alilotenda huyu litatajwa kwa kumbukumbu lake.



HAKUNA MAHALI WANAFUNZI WA KRISTO WALIHUSIKA KUMZIKA WALA KUFIKA MAHALA ALIPOZIKWA HADI ALIPOZIKWA ILA WANAWAKE WALIHUSIKA

LUKA 23:55-56
55 Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa.
56 Wakarudi, wakafanya tayari manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.

LUKA 24:10-12
10 Nao ni Mariamu Magdalene, na Yoana, na Mariamu mamaye Yakobo, na wale wanawake wengine waliokuwa pamoja nao;
11 hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo.
12 Maneno yao yakaonekana kuwa kama upuzi kwao, wala hawakuwasadiki. Lakini Petro aliondoka akaenda mbio hata kaburini, akainama akachungulia ndani, akaviona vile vitambaa vya sanda tu; akaenda zake akiyastaajabia yaliyotukia.


WANAWAKE WALIKUA MSAADA MKUBWA KWA JAMII

YOHANA 11: 3;21
3 Basi wale maumbu wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye hawezi.
21 Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.
 
 
Kipindi kile watu walikuwa wanafuata Torati.na ilikuwa sheria kuwa mwanamke akiwa hedhi lazima atengwe siku 7 kwa kuwa anakuwa mchafu.
Sasa kazi ya ukombozi inahitaji watu safi.ndo Mana wanawake hawakuwepo.Hata Leo mwanamke anatakiwa asiwe mchungaji kwa Hali yake.
hata sasa biblia imekataza kumshika mwanamke aliye hedhi
 
[emoji120]



Bila kebehi na bila kudharau wanawake - tunatakiwa kutumia akili kutambua asili ya uumbaji na mgawanyo wa majukumu kwa jinsia

WANAWAKE WALIFANYA MENGI KATIKA KUMFUATA KRISTO YESU JAPO HAWAKUWA KATI YA MITUME 70 WALA WALE 12

MITUME WALIJENGA MAZOEA WAKAKOSA KUYAONA ALIYOBEBA KRISTO, HAWAKUWA NA MAONO YA KIFO KILICHOKUA MBELE YA KRISTO ILA WANAWAKE WALIONA NA WALIELEWA YULE NDIYE ALIYEBEBA HATMA YA ULIMWENGU

MARKO 14: 3-9
1 Naye alipokuwapo Bethania, nyumbani mwa Simoni mkoma, ameketi chakulani, alikuja mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya nardo safi ya thamani nyingi; akakivunja kibweta akaimimina kichwani pake.
4 Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwani kupoteza marhamu namna hii?
5 Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi, wakapewa maskini. Wakamnung'unikia sana yule mwanamke.
6 Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;
7 maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamnami sikuzote.
8 Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.
9 Amin, nawaambia, Kila ihubiriwapo Injili katika ulimwengu wote, na hili alilotenda huyu litatajwa kwa kumbukumbu lake.



HAKUNA MAHALI WANAFUNZI WA KRISTO WALIHUSIKA KUMZIKA WALA KUFIKA MAHALA ALIPOZIKWA HADI ALIPOZIKWA ILA WANAWAKE WALIHUSIKA

LUKA 23:55-56
55 Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa.
56 Wakarudi, wakafanya tayari manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.

LUKA 24:10-12
10 Nao ni Mariamu Magdalene, na Yoana, na Mariamu mamaye Yakobo, na wale wanawake wengine waliokuwa pamoja nao;
11 hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo.
12 Maneno yao yakaonekana kuwa kama upuzi kwao, wala hawakuwasadiki. Lakini Petro aliondoka akaenda mbio hata kaburini, akainama akachungulia ndani, akaviona vile vitambaa vya sanda tu; akaenda zake akiyastaajabia yaliyotukia.


WANAWAKE WALIKUA MSAADA MKUBWA KWA JAMII

YOHANA 11: 3;21
3 Basi wale maumbu wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye hawezi.
21 Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.
Nini kilichosababisha wanawake wasiwe wanafunzi wa yesu?
 
🙏



Bila kebehi na bila kudharau wanawake - tunatakiwa kutumia akili kutambua asili ya uumbaji na mgawanyo wa majukumu kwa jinsia

WANAWAKE WALIFANYA MENGI KATIKA KUMFUATA KRISTO YESU JAPO HAWAKUWA KATI YA MITUME 70 WALA WALE 12

MITUME WALIJENGA MAZOEA WAKAKOSA KUYAONA ALIYOBEBA KRISTO, HAWAKUWA NA MAONO YA KIFO KILICHOKUA MBELE YA KRISTO ILA WANAWAKE WALIONA NA WALIELEWA YULE NDIYE ALIYEBEBA HATMA YA ULIMWENGU

MARKO 14: 3-9
1 Naye alipokuwapo Bethania, nyumbani mwa Simoni mkoma, ameketi chakulani, alikuja mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya nardo safi ya thamani nyingi; akakivunja kibweta akaimimina kichwani pake.
4 Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwani kupoteza marhamu namna hii?
5 Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi, wakapewa maskini. Wakamnung'unikia sana yule mwanamke.
6 Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;
7 maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamnami sikuzote.
8 Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.
9 Amin, nawaambia, Kila ihubiriwapo Injili katika ulimwengu wote, na hili alilotenda huyu litatajwa kwa kumbukumbu lake.



HAKUNA MAHALI WANAFUNZI WA KRISTO WALIHUSIKA KUMZIKA WALA KUFIKA MAHALA ALIPOZIKWA HADI ALIPOZIKWA ILA WANAWAKE WALIHUSIKA

LUKA 23:55-56
55 Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa.
56 Wakarudi, wakafanya tayari manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.

LUKA 24:10-12
10 Nao ni Mariamu Magdalene, na Yoana, na Mariamu mamaye Yakobo, na wale wanawake wengine waliokuwa pamoja nao;
11 hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo.
12 Maneno yao yakaonekana kuwa kama upuzi kwao, wala hawakuwasadiki. Lakini Petro aliondoka akaenda mbio hata kaburini, akainama akachungulia ndani, akaviona vile vitambaa vya sanda tu; akaenda zake akiyastaajabia yaliyotukia.


WANAWAKE WALIKUA MSAADA MKUBWA KWA JAMII

YOHANA 11: 3;21
3 Basi wale maumbu wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye hawezi.
21 Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.
Swali linasema kwann Yesu hakuwa na wanafunzi wanawake????

Na sio kwamba kwann Yesu hakuwataja wanawake!!
 
Swali linasema kwann Yesu hakuwa na wanafunzi wanawake????

Na sio kwamba kwann Yesu hakuwataja wanawake!!
Hawachomoki Leo,,,,kinachonifurahisha majibu hawana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alikuwepo Joana mke wa Kuza mfanyakazi mkuu wa Herode
 
Mwanaume ameumbwa kwa mfano wa mungu ili atawale viumbe vyote soma biblia mwanzo 1:26 kwa hiyo yesu aliwachagua kuwa wanafunzi wake ili awafunndishe kazi.
Mungu si mtu,,,mbona mnapingana,

Tushike lipi?
Screenshot_20230408-135102.jpg
 
Back
Top Bottom