GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ya kwa Mpiga Busu matata Msumbiji baada ya kutoka kupanda Dala Dala kwa Marehemu Mkoloni Wetu na hata ya sasa ya kwa Mwarabu wa Dubai ni mfano Hai wa ninachokiuliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefumba tu kwa Kumaanisha najua aliko mpanda 'Dala Dala' wa Taifa.Ni Qatar sio Dubai.
Hali si shwari Moto unafukuta Chino kwa chiniYa kwa Mpiga Busu matata Msumbiji baada ya kutoka kupanda Dala Dala kwa Marehemu Mkoloni Wetu na hata ya sasa ya kwa Mwarabu wa Dubai ni mfano Hai wa ninachokiuliza.
Mama kaenda kwa katibu kumkataza asimtumie ujumbe mtamuYa kwa Mpiga Busu matata Msumbiji baada ya kutoka kupanda Dala Dala kwa Marehemu Mkoloni Wetu na hata ya sasa ya kwa Mwarabu wa Dubai ni mfano Hai wa ninachokiuliza.
Afya ni suala la Muungano ?Endelea kujiuliza kama mtu fulani ansuliza jambo fulani ile tangazo la ebola kusainiwa na mawaziri wawili wa JMT na SMZ!!!
Kwani SMZ si sehemu ya JMT?! Au hadhi ya SMZ Sasa ina inashabiriana na JMT?!
Yule mtu fulani bado anajiuliza hoja hiyo, nami napata na mfadhaiko wa tafukuri yake ya mtu fulani...
Ashagundua misukule ya marehemu dikteta huwa inaumia roho akisafiri, maana mwehu wao alikuwa anaogopa kusafiri kozi lugha ilikuwa inamsumbua na kingine uogaYa kwa Mpiga Busu matata Msumbiji baada ya kutoka kupanda Dala Dala kwa Marehemu Mkoloni Wetu na hata ya sasa ya kwa Mwarabu wa Dubai ni mfano Hai wa ninachokiuliza.
tafuta mtu akupige grisi kupoeHali si shwari Moto unafukuta Chino kwa chini
Nchi imeshauzwa na wenye nchi, wewe mfugwaji unataka uambiwe umeuzwa bei gani?Ya kwa Mpiga Busu matata Msumbiji baada ya kutoka kupanda Dala Dala kwa Marehemu Mkoloni Wetu na hata ya sasa ya kwa Mwarabu wa Dubai ni mfano Hai wa ninachokiuliza.
"Wapinzani wametuchelewesha"Kanyaga twende mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa zaidi ya miaka 7