moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 931
- 940
Ukitangaziwa kabla ndio unapata nini!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nongwa..mna nongwa,tukisafiri keleleNimefumba tu kwa Kumaanisha najua aliko mpanda 'Dala Dala' wa Taifa.
Daah usitake kutuaminisha huyu Hangaya anaijua lugha mbona hotuba zake nyingi za kiingereza lazima asome madesa?? Mie nafikiri hata kuondolewa kwa Mama Libe ni shauri ya Inferiority complex tu hamna jingine. Mulamula shule kaenda na anatema mayai huyo mwingine mpaka asome tu.Ashagundua misukule ya marehemu dikteta huwa inaumia roho akisafiri, maana mwehu wao alikuwa anaogopa kusafiri kozi lugha ilikuwa inamsumbua na kingine uoga
kwaiyo twende na mama au turudishiwe wasojulikana?Nimeelekezwa kwa mnayemsemasema huyo mtu ninyooke na ninyi
Kwahiyo ni kosa kusoma hotuba iliyokwisha andikwa? Kwamba hata kwa kiswahili pia hawasomagi hotuba iliyokwisha andikwa sababu wanaijua vizuri lugha ya kiswahili au!?Daah usitake kutuaminisha huyu Hangaya anaijua lugha mbona hotuba zake nyingi za kiingereza lazima asome madesa?? Mie nafikiri hata kuondolewa kwa Mama Libe ni shauri ya Inferiority complex tu hamna jingine. Mulamula shule kaenda na anatema mayai huyo mwingine mpaka asome tu.
Najua jinsi ulivyo Mpumbavu kabisa.Ukitangaziwa kabla ndio unapata nini!!?
Huyu ndiye Mnyakyusa wa kwanza kuijua lugha ya Kiingereza , kwa ufasahaMwehu wao alikuwa anaogopa kusafiri kozi lugha ilikuwa inamsumbua na kingine uoga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ya kwa Mpiga Busu matata Msumbiji baada ya kutoka kupanda Dala Dala kwa Marehemu Mkoloni Wetu na hata ya sasa ya kwa Mwarabu wa Dubai ni mfano Hai wa ninachokiuliza.
"not to that extent"kwaiyo twende na mama au turudishiwe wasojulikana?