Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Kwani hao unafikiri walikuwa mafisadi wao pesa walizipeleka wapi? Pesa hazikosi sehemu ya kupeleka ndugu. We unajua akina jokate mwegelo walikuwa wanahongwa nini ili kuuingiziwa dudu?Hizo pesa alizopiga kazipeleka wapi? Acheni propaganda za kipumbavu za wanasiasa wachumia tumbo.
Ni kweli hakuna mahali CAG kasema zimefisadiwa ni kama zile trilion 1.5 CAG alizosema hazionekani ila akasema ni kazi bunge kuuliza huku mbona hazipo ?zimekwenda wapi? Chakushangaza mkamfukuza mkamtoa kinyemela kinyume na utaratibu na bunge likapiga kimya sasa mnamlaumu zitto kwa lipi?Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Ushindwe nq kulegea kwa kutetea ufisadi.Hii nchi ilichezewa sanaKama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Hao wahuni na mwenzao mwenye sura Kama Ana hv wanapoteza muda tu.Wananchi wanajua ukweli wote.Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Wewe umekimbia lindo Chato umeamkia JF kuharisha.Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Mbona Nyerere hasemwi na ukimsema unaonekana kama unakufuru vile ina maana Nyerere hakuwa na makosa?Huamini kwamba JPM alikuwa fisadi namba moja kipindi cha udikteta uchwara wake???
Hutaki asemwe??!-----au nawewe ulikuwa na maslahi naye??!!
Rwanda kwa Kagame.Hizo pesa alizopiga kazipeleka wapi? Acheni propaganda za kipumbavu za wanasiasa wachumia tumbo.
Tulikubaliana hakuna msafi pale ccm ila ajabu inaonekana Tanzania tatizo letu lilikuwa Magufuli tu.Kwa nini CAG anaandika report inayoifanya zitto amkosoe JPM?
Kwa nini serikali Inamuajiri CAG aandike report ya kumchafua JPM?
Kwa nini printers na makaratasi zinakubali kutumia kuandikiwa report ya kumchafua JPM
Jibu ni jepesi
'kwa sababu alikuwa mchafu'
Wewe ni mbwa kweli, unazani Nyerere alijipachika Umungu mtu?Mbona Nyerere hasemwi na ukimsema unaonekana kama unakufuru vile ina maana Nyerere hakuwa na makosa?
Lissu alijaribu kuondoa hiyo nidhamu ya uwoga na kumchambua Nyerere kuwa alikuwa muongo ila akaishia kushambuliwa kwamba hakupaswa kumsema Baba wa taifa.
Jikite kwenye hoja acha kujamba kisa tu huko nyuma pako wazi.Wewe umekimbia lindo Chato umeamkia JF kuharisha.
Kwenye katiba mpya napendekeza mafisadi na majizi kama Magufuli hata wakifa ufisadi wao ukija kubainika maiti zao zifukuliwe na zinachalazwe mijeledi ili kukomesha hii tabia.
Jitu linajifanya mzalendo namba moja kumbe jizi tu.
Hivi mtu mwenye akili timamu unaanzaje kumtetea muuwaji?Mashetani tu na waliojaa roho za vampire ndo wanaweza kumtetea Magufuli, hakuna mwenye Roho ya ubinadamu anaweza mtetea yule mtu!!
Lindeni legacy's ila hata kabla jiwe haja twaliwa aliyekuwa C.A.G Prof Assad alishamchana na zito akapigilia mlemle kuwa magufuli aache kupika data. Mbona mnamshupalia zitto na C.A.G kichere. Wewe ulitaka bunge lipi lijadili madudu ya jiwe..? Yaani wale wabunge wa jiwe aliowanunulia ushindi kwa dhulma eti wachambue mapungufu au ripoti ya C.A.G tena kiuweledi..? Acheni kutapatapa kila kukicha. Ukweli ni kwamba jiwe alikua raisi wa hovyoooooooo kupita hovyoooo yenyeweKama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Modus operandi ikoje ili tujue ubadhirifu umefanyika?Lindeni legacy's ila hata kabla jiwe haja twaliwa aliyekuwa C.A.G Prof Assad alishamchana na zito akapigilia mlemle kuwa magufuli aache kupika data. Mbona mnamshupalia zitto na C.A.G kichere. Wewe ulitaka bunge lipi lijadili madudu ya jiwe..? Yaani wale wabunge wa jiwe aliowanunulia ushindi kwa dhulma eti wachambue mapungufu au ripoti ya C.A.G tena kiuweledi..? Acheni kutapatapa kila kukicha. Ukweli ni kwamba jiwe alikua raisi wa hovyoooooooo kupita hovyoooo yenyewe
Wewe ni mjinga na unafikiri kwa kutumia makalio.Mwizi huwa anapiga pesa kiwaziwazi??!!----- wewe sasa ndiye unathibitisha kuwa hakupiga pesa kiwaziwazi hivyo alikuwa fisadi,🤣
Magufuli alijifanya yeye ni mtu safi na ni mzalendo kuliko watu wote wakati si kweli hata kidogo, wenzake wapo wazi na tumeshakubaliana kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake hatuna tatizo nao, kinachofanya Magufuli atachukiwa milele ni haya.Tulikubaliana hakuna msafi pale ccm ila ajabu inaonekana Tanzania tatizo letu lilikuwa Magufuli tu.
Bila ushahidi kuthibitiha haya yote itabaki story tu.Magufuli alijifanya yeye ni mtu safi na ni mzalendo kuliko watu wote wakati si kweli hata kidogo, wenzake wapo wazi na tumeshakubaliana kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake hatuna tatizo nao, kinachofanya Magufuli atachukiwa milele ni haya.
• Katili
•Muuwaji
•Fisadi
•Roho mbaya
JPM tangu akiwa hai alikuwa anaishi kwenye shimo la tope, Sasa mtu anayeishi kwenye shimo la tope anaweza kulalamika kuwa kachafuliwa?Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.